The Hunter
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 1,049
- 305
Naamini mfumo wa bongo ni mbovu toka chini mpaka juu, na swala la kumuona Lowasa tuu ndo mchafu wakati uongozi wote umeoza si sawa! CCM watuaminishe ivi leo alie msafi awe wa kwanza kumnyooshea kidole lowasa, tukumbuke haya:-
.Mkataba wa Bulyanhulu ----Jakaya Kikwete
.IPTL ----Jakaya Kikwete
.Uuzwaji wa vitalu, na ujenzi wa ---- Msekwa
.Hoteli holela pale Serengeti
.TPA(Kuhodhi vitengo muhimu) ------Kinana
Unexplainable -----Mkapa& Anna Mkapa
.SDA ----- Sita
.Mkataba wa Bulyanhulu ----Jakaya Kikwete
.IPTL ----Jakaya Kikwete
.Uuzwaji wa vitalu, na ujenzi wa ---- Msekwa
.Hoteli holela pale Serengeti
.TPA(Kuhodhi vitengo muhimu) ------Kinana
Unexplainable -----Mkapa& Anna Mkapa
.SDA ----- Sita