Is Lowassa again?

Is Lowassa again?

Kwa wale wanaojua bei za viwanja na nyumba hapa DSM ni kuwa mkoloni Rostam amejinunulia nyumba maeneo ya ghymkana kwa bei poa.

Hii ni nyumba ambayo alikuwa anakaa DR. SHABA , na imenunuliwa kwa shilingi milioni mia nne tuu ile hali wizara ilikuwa imefanya valuation na kuonyesha kuwa bei ya nyumba pamoja na shamba la zaidi ya ekari tatu zilizopo eneo hilo ni shilingi bilioni moja na milioni mia nane. 1.8 billioni yeye kapew kwa milioni mia nne tuu.

Shame to the government and JK as well kwni yeye ndio anawalea hawa mafisadi.

WanaJF sidhani kama kiuafrika ni jambo zuri kuanza kumuita mtanzania mwenzetu mkoloni.Naona watu wanaangalia tu ukiitwa udhibitishe ni vipi Mhesh Rostam ni mkoloni unaweza?(kama unaweza dhibitisha).Au kisa rangi yake
 
WanaJF sidhani kama kiuafrika ni jambo zuri kuanza kumuita mtanzania mwenzetu mkoloni.Naona watu wanaangalia tu ukiitwa udhibitishe ni vipi Mhesh Rostam ni mkoloni unaweza?(kama unaweza dhibitisha).Au kisa rangi yake

Kwani wewe ndio msemaji wa mkoloni, mkwepa kodi na mwizi Rostam Aziz? Yeye ameitwa mkoloni hapa JF.... kama kinamuuma sana inabidi atafune nyembe au aje kujisemea mwenyewe....

Au ndio,......... ohhh ohoooooooo
 
Kwani wewe ndio msemaji wa mkoloni, mkwepa kodi na mwizi Rostam Aziz? Yeye ameitwa mkoloni hapa JF.... kama kinamuuma sana inabidi atafune nyembe au aje kujisemea mwenyewe....

Au ndio,......... ohhh ohoooooooo

Daah! Mwafrika dhibitisha kuwa Mhesh Rostam ni Mkoloni,mkwepaji kodi na mwizi.
 
Daah! Mwafrika dhibitisha kuwa Mhesh Rostam ni Mkoloni,mkwepaji kodi na mwizi.

Hii ni homework yako kupitia thread zote za JF kuona uthibitisho uliowekwa hapa b4 today....

Hii homework ina deadline ambayo ni kesho saa tatu asubuhi kabla ya kipindi cha Chemistry.
 
Hii ni homework yako kupitia thread zote za JF kuona uthibitisho uliowekwa hapa b4 today....

Hii homework ina deadline ambayo ni kesho saa tatu asubuhi kabla ya kipindi cha Chemistry.

Tehe teeeh! umenifanya nicheke sana mwafrika
 
Tehe teeeh! umenifanya nicheke sana mwafrika

That's good to hear......
Sometimes unahitaji break kidogo kutoka kwenye kazi unayotaka kuanza hapa ya kumtetea Rostam Azizi ambaye ni mwizi, mkoloni na mkwepa kodi ambaye pia ni mwanamtandao wa Kikwete na kiongozi wa CCM!
 
Mimi ni muumini wa sera barabara ziwe za cuf,UMD,TLP..Mwafrika muumini wa chama gani?
 
Mimi ni muumini wa sera barabara ziwe za cuf,UMD,TLP..Mwafrika muumini wa chama gani?

Sijui tafsiri ya neno imani unayotumia lakini kwa tafsiri yangu ya neno imani, mimi sio muumini wa chama chochote........

Ila pia.... nimejitambulisha wazi hapa kuwa niko biased against CCM kwa vile mwizi, mkwepa kodi na mkoloni Rostam Azizi ni kiongozi wa hicho chama!
 
Huyu Karavina Ndio Maana Alipowekwa Pale Watu Walijua Kuwa Amepewa Hiyo Nafasi Muhimu Psrc Kishkaji Ni Muungwana Ili Kutekelezwa Matakwa Ya Mafia Wanaotawala...
 
naombeni nikubaliane na mpaka kieleweke,ni kweli rostam amenunua nyumba hiyo,nyumba hiyo alikuwamo akiishi mmoja kati ya madactari wakongwe wa muhimbili aitwaye pro shaba,kwa wale mnaokumbuka kuna wakati alifiwaga na mtoto wake aitwaye dr james shaba(alikuwa ni mmoja kati ya watu waliofanya research juu ya ugonjwa wa cycocell na msiba huu uliuspread jijini).Na kwa atakayetaka kujua nyumba hiyo ilipo,kama unakuja na barabara ya agakhan hospital kuelekea ikulu kwa muungwana acha kona ya kwanza ya kuelekea viwanja vya gymkhana bali kata kona ya pili kama unakuja ocean load hospital na palepale kuna maghorofa ya national housing sasa ukisogea kidogo kama unakuja kwenye main entrance ya ocean road kuna round about kubwa sasa izunguke kisha kata kulia kama unakuja holiday inn,nyumba ya kwanza acha ya pili ndo huyu mkoloni kanunua,

SASA WANA JF CHA KUSHANGAZA NYUMBA ILE NI YA SERIKALI,IWEJE HUYO MKOLONI ANUNUE?MANA YEYE NI MBUNGE NA WALA SI MTUMISHI WA SERIKALI,NA THATS WHY PROF SHABA ALIKUWA ANAKAA PALE COZ NI MTUMISHI WA SERIKALI,
KISHA NACONCLUDE KWA KUSEMA HATA MAGUFULI NAE MWIZI MANA HAIWEZIKANI HASIJUE UTUMBO HUU UNAOENDELEA
 
wana jf naomba nimpinge mtu,MIMI NINA ISHI JIRANI NA NYUMBA HIYO,NA SI MBALI KABISA NA NYUMBA YA MHE RC KANDORO,ROSTAM ANAKUJA NA CRUISER YAKE TUNAMUONA KAMA UNABISHA WAULIZE HATA WAGONJWA WA OCEAN ROAD MANA VYUMBA VYAO HAVINA MAPAZIA NA WANAONA YOTE YA NJE,SASA KIPOSITION ROSTAM ANA MADARAHKA GANI SIKU HIZI YA KUDEAL NA NYUMBA ZA SERIKALI?I MEAN ANAHUSUKA VIPI MPAKA AJE KUFANYA SURVEY KWENYE GOVERNMENT PROPERTY?MANA SIO WAZIRI WA MIUNDO MBINU,NI KWELI NI MJUMBE WA KAMATI YA BUNGE YA MIUNDO MBINU,LAKINI HAIJAWAI KUTANGAZWA KUWA WANA SURVEY NYUMBA ZA SERIKALI,PILI SIO HATA MJUMBE WA BODI YA PCRS,SASA HUYU MKOLONI HII NYUMBA KAINUNUA
 
kabla sijachangia ningependa kufahamu kuwa dr. shaba anaendeleaje? maana kuna siku mwaka juzi almanusura nimgonge kwa gari usiku saa nane alukuwa kalewa halafu ameketi katikati ya barabara hatua chache kutoka holiday inn. Jamani huyu mtaalam wa upasuaji maiti anaendeleaje?? na kama Rostam (kibaka) amenununa hiyo nyumba atakuwa amemuhamisha kiprofesa huyu mtu???
niko gizani pls pls pls
 
wana jf naomba nimpinge mtu,MIMI NINA ISHI JIRANI NA NYUMBA HIYO,NA SI MBALI KABISA NA NYUMBA YA MHE RC KANDORO,ROSTAM ANAKUJA NA CRUISER YAKE TUNAMUONA KAMA UNABISHA WAULIZE HATA WAGONJWA WA OCEAN ROAD MANA VYUMBA VYAO HAVINA MAPAZIA NA WANAONA YOTE YA NJE,SASA KIPOSITION ROSTAM ANA MADARAHKA GANI SIKU HIZI YA KUDEAL NA NYUMBA ZA SERIKALI?I MEAN ANAHUSUKA VIPI MPAKA AJE KUFANYA SURVEY KWENYE GOVERNMENT PROPERTY?MANA SIO WAZIRI WA MIUNDO MBINU,NI KWELI NI MJUMBE WA KAMATI YA BUNGE YA MIUNDO MBINU,LAKINI HAIJAWAI KUTANGAZWA KUWA WANA SURVEY NYUMBA ZA SERIKALI,PILI SIO HATA MJUMBE WA BODI YA PCRS,SASA HUYU MKOLONI HII NYUMBA KAINUNUA

hii hoja naiunga mkono maana mtoa hoja ameleta picha halisi aliyoishuhudia na kazi kwenu mnaotetea mtuletee picha yenye rangi nyingine.....
leteni nondo wakubwa maana mada tamu hii
NB
Usidandie mkuki kwa mbele
 
Maskini Prof Shaba................duh

ile nyumba ilikuwa aondolewe siku nyingi sana, nafikiri ni Mwl JKN (RIP) aliingilia kati na kuiomba serikali wakati ule wamuache.......anyway

Huyu Rostam..................we acha tu ipo siku hivi vyote vitarudi kwa wananchi
 
mbona hatuuzi IKULU,ndio haina kazi,zaidi ya kufungua vioski vya wajasirimali?Halafu huyu mkoloni RA ana rangi gani?RA ni mwiba wa kuogopa nchini,eee BUSH tusaidie kuna Osami bin RA nchini mwetu.
 
Hata mimi nashangaa,sidhani kama prof alitakiwa kuhama katika nyumba ile,ninahisi kuwa wamemhamisha,sina uhakika lakini,ila tukumbuke oysterbay nayo ilitoke a pale kapuya alipomhamisha bwana kafanabo katika nyumba yake ya serikali halafu yeye akapelekwa katika vijikota vya masaki so is quite possible
 
Mimi nadhani hapa tunazungumzia vitu viwili tofauti gazeti la ThisDay linazungumzia kuhusu underdeveloped plot ambayo ilikuwa inamilikiwa na NAFCO wakati na sisi tunajadili nyumba aliokuwa anakaa Prof Shaba.

Ni bora tuta establish kwanza kama tunajadili kitu kimoja au vitu viwili tofauti?
 
Mnadhani alikuwa anampigia kampeni JK bure? Kila mtu aliyechangia JK kupata urais ni lazima alipwe. Sasa nyie militegemea nini? Militaka JK atoe pesa zake mfukoni?

Haya ndio mambo watu wanatakiwa wakubaliane nayo kwamba serikali ya kikweti imetumia mapesa mengi kwa ajili ya kampeni zake. na kama tunafikiri 2005 ilitumia pesa wait and see 2010 pesa itakayotumika. nadhani wataanza kutuuza na watu kwa sababu vya kuuzwa vitakuwa vimeshaisha
 
Back
Top Bottom