Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Karibu kila kona ninakopita naona wajawazito wengi mno kuliko waja wepesi. Sasa nimeanza kujiuliza kama ndio matatizo ya kiuchumi yamewafanya watu wawe nyumbani muda mrefu na "kufarijiana" au ni kawaida ya majira haya ili watu watime kujifungua wakati wa Krismasi na mwanzo wa mwaka?