Uniteme kwani mm cheche ay mi pipi???
non of the above ...wewe sio cheche wala sio pipi wewe ni Tumboo wangu
Last edited by a moderator:
Uniteme kwani mm cheche ay mi pipi???
Ujana wake umeisha lini? mvi tayari?
kutembea na kilaza haimaanishi na wewe utakuwa kilaza wewe utabaki kuwa binti2013 mfana mzuri nina date na Tumboo mbona yeye hajawa kilaza???? (hataivyo nina mpango wa kumtema siku sio nyingi )
........I see u still have that feeling kwa jamaa kama bado unampenda mkubalie tuu sasa utafanyaje hahahahahahaha ninavyojua mimi sisi tunarudishaga "majeshi" kwa manzi wanasema ku"retreat" kwa sababu tunazozijua lakini sio kwasababu tumejuta (usiombe kuzijua hizo sababu)
..........
mkuu naomba kuzijua pliz
siri ya kambi
siri ya kambi
Mkuu ukimwambia tu nakukata masikio....
Maana utakuwa umeharibu status za wanaume wooote....kwa kuwa hiyo ndio spana tunayoitegemea wanaume wote katika ufundi wetu wa mahaba....
chonde chonde mkuuu....
Hahahah ntakua kilaza wa pili sasa....no I'm not in a relationship now. Asante kwa ushauri lakini
Shoga Matege ukiambiwa niambie na mimi wamenifanya niwe curious hawa watu KikulachoChako na Kilaza.....si mtuambie tuuuuuuu wajameni