Is God fair ?


Mbona matuc kaka....
 
Last edited by a moderator:
Yeye ndiye muumbaji na ndiye mwenye haki ya kufanya atakavyo.

Sijauliza nani muumba, sijauliza nani ana haki ya kufanya nini.

Nimeuliza kwa nini kaumba hivyo? Kwa nini anaji contradict kama a bad Greek drama?

Hujajibu hili swali. Kama hujui sema tu hujui.

Sio unajibu swali ambalo hujaulizwa na ambalo umeulizwa unaliacha hujalijibu.
 
Mbona matuc kaka....

Huyu kwa kumjua ana matatizo ya matusi kama haya nilimuweka "ignore list" zamani sana.

Hata sioni anachoandika mpaka mtu mwingine amnukuu.

Na mtu baki kama wewe kuja kuona ana matusi unanizidishia kuona nilivyofanya ilikuwa sawasawa tu.

Sitaki kujibizana kwa matusi, nataka hoja.
 

Shetani katoka wapi?

Kawezekanaje kuwapo hapa duniani?
 
Anaonyesha uwezo wake wa uumbaji kwa nani? Ili iweje? Anahitaji nini mpaka atake kuonyesha uwezo wake hivyo? Asipoonyesha atakosa nini?

Kwanza bado mkuu hadi sasa hujaeleweka,kwani uwezo wake yeye na kutuumba sie kuna husika vp hadi kuwa ni ushahidi wa kutokuwepo kwa Mungu?
Hebu fafanua hoja yako kwanza.
 

Nimekujibu kuwa hufanya vile atakavyo.
 
Roho ni uwezo unaomuewezesha kiumbe kuwa na uhai,kwahiyo kiumbe hata kiwe na viungo vyote lakini bila roho kinakuwa hakina uhai.

Hujajibu inapimwa kwa kipimo gani na utathibitishaje kwamba ipo kweli na si hadithi tu za uongo.
 
Sababu unajengea hoja kwa kutumia maneno ya Mungu,hivyo jenga hoja nje ya maneno ya Mungu.

Nipe ushahidi wa kuwepo kwa mungu, kitoka popote pale, hata kwenye vitabu hi yo inavyosema ni vya mungu, ili mradi uwe logically consistent tu.

Siyo mara mungu ana uwezo na upendo wote, mara kaumba viumbe kwenye ulimwengu ambao tabu na mateso ni kitu cha kawaida.
 
Kwanza bado mkuu hadi sasa hujaeleweka,kwani uwezo wake yeye na kutuumba sie kuna husika vp hadi kuwa ni ushahidi wa kutokuwepo kwa Mungu?
Hebu fafanua hoja yako kwanza.

Mungu mwenye ukamilifu wote kwa nini ahitaji kuumba chochote?
 
Shetani katoka wapi?

Kawezekanaje kuwapo hapa duniani?

Kiranga..God has made u in a simple way,but u have made uaself very complicated...watu wa kizazi hiki,mkipigiwa nyimbo za maombolezo hamlii,mkipigiwa ngoma pia hamchezi..if u keep that attitude of urz,u will look and look but u shall not see,u will seek but u shall not find,u will listen but you shall not understand..
 

Hujajibu swali uliloulizwa, wewe ndiye una complicate mambo kwa kutojibu swali uliloulizwa na kuanza kujibu usiyoulizwa.

Shetani katokeaje?
 
Still, utukufu wa Mungu utaonekana daima na milele..

Hujajibu swali.

Unalikimbia.

Ama shetani hakuumbwa na mungu katoka sehemu tofauti, in which case mungu si muumba wa yote na muweza wa yote.

Ama shetani kaumbwa na mungu na kaachiwa afanye mabaya na mungu, in which case huwezi kumlaumu shetani kidampa tu aliyeumbwa na mungu kwa kufanya mabaya ukamuachia mungu aliyemuumba shetani bila lawama.

Any way you cut it mungu wako kachemsha.

Of course, the correct answer is hakuna mungu, mungu katungwa tu na binadamu.

Ndiyo maana ana logical faults kibao ukimchunguza.
 
Kabla ya kusema sana habari za roho, unaweza kuthibitisha kwamba roho ipo na si hadithi za uongo tu?

ukiombwa uthibitisho wa gravity unaleta porojo.
umeambiwa ROHO sio matter ambapo ingekuwa rahisi sana kukutjibitishia mtu ambaye u
akaririshwa yahusuyo matter.
Mimi roho najua ipo na inatenda kaxi sambamba na viungo vingine vya mwili...Roho ndiye anauesimamia na kurudufu uwezo wa kuandika hapa. ninayoyaandika yapo kwenye fikra xangu na ni sehemu ya mimi katika nafsi na roho.
 
Hujajibu inapimwa kwa kipimo gani na utathibitishaje kwamba ipo kweli na si hadithi tu za uongo.

Kila kitu kina sifa zake, hawezi akaja mtu na kukuuliza sauti yako ina rangi gani? Hivyo kama nilivyoeleza kwamba roho ni uwezo unaowezesha kiumbe kuwa na uhai..sasa sijajua unauliza kipimo kwa vp
 

Kwa hiyo umeshindwa kuthibitisha uwepo wa roho?
 
Kila kitu kina sifa zake, hawezi akaja mtu na kukuuliza sauti yako ina rangi gani? Hivyo kama nilivyoeleza kwamba roho ni uwezo unaowezesha kiumbe kuwa na uhai..sasa sijajua unauliza kipimo kwa vp

Sauti yangu kwa kweli huwezi kuipima kwa rangi.

Lakini unaweza kuipima kwa decibel.

Sasa hiyo roho unaipima kwa kipimo gani?
 

halafu mkuu hivi kwa nn? aliumba kunguni,mbu,panya na etc...
 

Huu ulimwengu na viumbe vilivyomo ni ushahidi tosha kuwa kuna Mungu na hata vitabu vimesema hivyo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…