Is God fair ?

Is God fair ?

Hoja yangu ni logic.

Kwamba ukweli una logical consistency.

Maelezo yenu ya mungu (regardless ya yalipotoka) hayana logical consistency.

Nje ya vitabu vya dini hakuna suala la kuwapo kwa mungu unayemsema.

Inamaana kumbe wewe haujapinga uwepo wa Mungu ila unapinga Mungu wa kwenye vitabu?
 
tumalize maswali yangu then tuhamie kwenye unayotaka kujibiwa...
angalizo sisi hutajaathiriwa ubongo na sayansi; hivyo mimi najua binadamu ni mwili pamoja na viuongo vyake vitendavyo kazi,nafsi na roho.
mwili ni matter ambao unamaelezo ya lisayansi kwa kuwa sayansi inauwezo wa kujua mattera pekee.
hivyo ukitaka kupewa jibu la kisayansi itakuwa ni swala la lugha gongana.
sina hakika kama waelewa

Hapana, siwezi kukujibuni mkupuo mara zaidi ya nne huku nyie hamjibu maswali yangu.

Hata penalty kick huwa hazipigwi zote tano na timu moja halafu tano zingine zipigwe na timu nyingine.

Unajuaje kwamba katika majibu yenu siwezi kupata zaidi ya kujadili?

Unanimyima haki yangu ya kujadili sawa na kujibiwa maswali yangu.

Zaidi, unaonekana unaogopa kujibu kwa sababu huna majibu.
 
Ndiyo maana nikakwambia jenga hoja ya kupinga Mungu nje ya vitabu vya dini.


Ila Uwezo wa kukuthibitishia kuwa ni maneno ya Mungu ninao na huwezi kupinga hata chembe.

Hoja yangu ya kupinga mungu nje ya vitabu vya dini mbona nishaisema hapa?

Wewe hufuatilii tu.
Nimeaema, mungu aliyekamilika yote hana haja ya kuumba chochote, kwa sababu kakamilika kwa yote.

Kiwepo kwetu kunainyesha hakuna mungu aliyekamikika kwa yote.

Ambaye ndiye mungu pekee worth debating.
 
Hoja yangu ni logic.

Kwamba ukweli una logical consistency.

Maelezo yenu ya mungu (regardless ya yalipotoka) hayana logical consistency.

Nje ya vitabu vya dini hakuna suala la kuwapo kwa mungu unayemsema.


LOGIC LOGIC !Logic ni nini na ni nini/nani kazitengeneza ?

umekuwa ukijitawala kushusha kariri zako bila kutolea maelezo nawe wapeta tu kutujazia majinga majinga tu.
 
Hapana, siwezi kukujibuni mkupuo mara zaidi ya nne huku nyie hamjibu maswali yangu.

Hata penalty kick huwa hazipigwi zote tano na timu moja halafu tano zingine zipigwe na timu nyingine.

Unajuaje kwamba katika majibu yenu siwezi kupata zaidi ya kujadili?

Unanimyima haki yangu ya kujadili sawa na kujibiwa maswali yangu.

Zaidi, unaonekana unaogopa kujibu kwa sababu huna majibu.

mbona wewe kila jibu unalopewa linazaa swali lakini wewe unataka ujibiwe tu.
mbona kuna maswali yameulizwa mara nyingi lakini una act vile kama huyaoni ?
 
Hoja yangu ya kupinga mungu nje ya vitabu vya dini mbona nishaisema hapa?

Wewe hufuatilii tu.
Nimeaema, mungu aliyekamilika yote hana haja ya kuumba chochote, kwa sababu kakamilika kwa yote.

Kiwepo kwetu kunainyesha hakuna mungu aliyekamikika kwa yote.

Ambaye ndiye mungu pekee worth debating.

Sasa ndiyo nini ulichokiongea hebu weka vizuri hoja yako,yani kuwepo sie binadamu ndiyo ushahidi ya kuwa hakuna Mungu?au mie sijakuelewa?
 
Sasa ndiyo nini ulichokiongea hebu weka vizuri hoja yako,yani kuwepo sie binadamu ndiyo ushahidi ya kuwa hakuna Mungu?au mie sijakuelewa?

Mungu mwenye uwezo wote, ukamilifu wote na ujuzi wote kwa nini ahitaji kuumba binadamu?

Kuhitaji kokote, pamoja na kuhitaji kuumba, si kupungua ukamilifu?

Mungu mkamilifu angejitosheleza mwenyewe.

Kwa nini kaumba binadamu?
 
Sasa kama hakuna kinachotokea ambacho si matakwa yake, wanaofanya dhambi watahukumiwa kwa nini na wanaofanya mema watapewa thawabu kwa nini?

Si mambo yote kapanga mungu?

Mungu atamhukumu vipi mwanadamu kwa kufanya mabaya wakati yote kayapanga yeye mwenyewe?

Yeye ndiye muumbaji na ndiye mwenye haki ya kufanya atakavyo.
 
kwa mantiki hiyo hiyo huu mjadala hauna mwisho
kwa kuwa wewe kila utachoambiwa utahoji kwanini isipokuwa wewe ukisema sababu ni nguvu za uvutano so and so waona umejibu.
yatizo ni ubongo wako umeghoshiwa hauwezi kukubali elimu mpya.
unawaza kisayansi ambapo unahusika na matter pekee ndiyo sababu huishiwi maswali ya majinga majinga yanayoonyesha kiwango cha juu sana cha upumbavu.
dunia na viluvyomo matter and spirits ni mfumo mmoja unaotenda kazi pamoja. kuumba vyenye akili ilikuwa ni kuweka utambulisho wa visvyo na akili sawa na vingine malengo na madhumuni ya Mungu kuweka hivi vilivyo na namna wenye maarifa sawia ya kibinadam wanavyoelewa ni tofauti na wanadam wasio na maarifa ya mfumo kama Kiranga et al
hivyo contradiction unayoiona wewe ni mind illusion yako na waliokosa maarifa wenzako.
umelumbushwa mara nyingi juu ya FALLACY OF DEFINITION ambayo ndiyo msingi wa illusion inayokukabili lakini hustuki hata...

Hujajibu maswali.

Umeyakimbia tu.
 
Last edited by a moderator:
Vitabu vya dini si hoja.

Hoja ni mantiki.

Kama una maelezo kutika kitabu cha dini yenye mantiki yalete hapa, mimi sina matatizo na kitabu.

Tatizo langu ni pale utakapofanya kile kisicho na mantiki kina mantiki kwa kuwa tu kinatoka katika kitabu cha dini.

Na tatizo ni wewe kwa kuhoji vitu visivyo na mantiki baada ya kujibiwa maswali yako vizuri.
 
Mungu mwenye uwezo wote, ukamilifu wote na ujuzi wote kwa nini ahitaji kuumba binadamu?

Kuhitaji kokote, pamoja na kuhitaji luumba, si kupungua ukamilifu?

Mungu mkamilifu angejitosheleza mwenyewe.

Kwa nini kaumba binadamu?
kirangaa unatisha asee bravooooo
 
Huwezi kuwalaumu matajiri.

Matajiri hawana ujuzi wote, hawana uwezo wote wala hawana upendo wote.

Unachekesha wewe unayefananisha mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote na matajiri.

Na hata hao matajiri tunawaona wanatoa kusaidia maskini. Bill Gates anasaidia mitadi ya kutokomeza maradhi, Zuckerberg kagoa dola milioni 25 kutokomeza Ebola.

Mungu ambaye anaweza kutokomeza Ebola kwa fikra tu mbona hatokomezi?

Ndio upendo wote huu?

Hoja ni upendeleo,ndiyo nikakupa huo mfano kwahiyo ikiwa hao matajiri hawataki kuwasaidia watu basi sie hatuwezi kuwalaumu,Je vp umlaumu Mungu aliyeumba viumbe(vyake) na kuchagua yupi awe hayawani na yupi asiwe hivyo? Hakuna wa kumuhoji hata angetaka wote muwe machizi nani atahoji? kama matajiri tu hatuwezi kuwahoji hela zao pindi wasipotaka kuzitoa.
 
Hujajibu maswali.

Umeyakimbia tu.

Hakuna swali nimelikimbia na sina sababu ya kukimbia swali toka kwa mtu ambaye nafahamu uwezo wake wa kufikiri umeghoshiwa.
nimekumbusha kwamba usitake upewe jibu la roho kisayansi na sijui kama visivyovya kisayansi ubongo wako unavihimili...
umejibiwa sana kuhusu ROHO sijajua ni kwa nini warejea swali mara kwa mara
 
Mungu mwenye uwezo wote, ukamilifu wote na ujuzi wote kwa nini ahitaji kuumba binadamu?

Kuhitaji kokote, pamoja na kuhitaji luumba, si kupungua ukamilifu?

Mungu mkamilifu angejitosheleza mwenyewe.

Kwa nini kaumba binadamu?

Umesahau kuwa ana sifa ya kuumba, na sie hatumsaidii chochote wala kumpunguzia chochote,anaonesha uwezo wake wa uumbaji na sie ndiyo wahitaji kwake.
 
Hakuna swali nimelikimbia na sina sababu ya kukimbia swali toka kwa mtu ambaye nafahamu uwezo wake wa kufikiri umeghoshiwa.
nimekumbusha kwamba usitake upewe jibu la roho kisayansi na sijui kama visivyovya kisayansi ubongo wako unavihimili...
umejibiwa sana kuhusu ROHO sijajua ni kwa nini warejea swali mara kwa mara

Kabla ya kusema sana habari za roho, unaweza kuthibitisha kwamba roho ipo na si hadithi za uongo tu?
 
mbona wewe kila jibu unalopewa linazaa swali lakini wewe unataka ujibiwe tu.
mbona kuna maswali yameulizwa mara nyingi lakini una act vile kama huyaoni ?

Nimejibu maswali yenu ya upepo ni nini na unapimwaje

Nijibu na wewe roho ni nini na inapimwaje na kuthibitishwaje kwamba ipo na si hadithi za uongo tu?
 
Umesahau kuwa ana sifa ya kuumba, na sie hatumsaidii chochote wala kumpunguzia chochote,anaonesha uwezo wake wa uumbaji na sie ndiyo wahitaji kwake.

Anaonyesha uwezo wake wa uumbaji kwa nani? Ili iweje? Anahitaji nini mpaka atake kuonyesha uwezo wake hivyo? Asipoonyesha atakosa nini?
 
I am in a deep thoughts,Is God really fair?

For instance...how come mtu unajitunza for so long timeas as a woman or a man)then it reaches a point unadecide kuwa na maisha...you open up your heart to sb...you give him/her everything full committed then what you get in return ni maumivu yasiyoeleweka na HIV juu

Kinachosikitisha ni kuwa....wale ambao ni waru waru,are enjoying life to the fullest...IS GOD REALLY FAIR?

NISAIDIENI cause spmetimes i do fail to explain

God is fair,righteiuos and just.Shetani huleta matatizo aangushe watu wa Mungu,ila Mungu hutumia matatizo kukutana na watu wake..Mema yote tuyaonayo,ni ufumbuzi wa matatizo..Matatizo yanaleta ladha ya maisha.akisema kuwa yy ndo mponyaji,it means hawezi kukuponya bila wewe kuugua..ndo maana akawa mponyaji..#misuliyaimani #ambwene
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom