kwa mantiki hiyo hiyo huu mjadala hauna mwisho
kwa kuwa wewe kila utachoambiwa utahoji kwanini isipokuwa wewe ukisema sababu ni nguvu za uvutano so and so waona umejibu.
yatizo ni ubongo wako umeghoshiwa hauwezi kukubali elimu mpya.
unawaza kisayansi ambapo unahusika na matter pekee ndiyo sababu huishiwi maswali ya majinga majinga yanayoonyesha kiwango cha juu sana cha upumbavu.
dunia na viluvyomo matter and spirits ni mfumo mmoja unaotenda kazi pamoja. kuumba vyenye akili ilikuwa ni kuweka utambulisho wa visvyo na akili sawa na vingine malengo na madhumuni ya Mungu kuweka hivi vilivyo na namna wenye maarifa sawia ya kibinadam wanavyoelewa ni tofauti na wanadam wasio na maarifa ya mfumo kama
Kiranga et al
hivyo contradiction unayoiona wewe ni mind illusion yako na waliokosa maarifa wenzako.
umelumbushwa mara nyingi juu ya FALLACY OF DEFINITION ambayo ndiyo msingi wa illusion inayokukabili lakini hustuki hata...