Is God fair ?

Is God fair ?

Kabla ya kusema "whatever god chooses to do, it is his choice" thibitisha kwanza kwamba mungu yupo.

Na kwa nini iwe "his choice" na si "her choice".

Mungu wenu anaendekeza mfumodume?

Kiranga weledi wa lugha ni muhimu sana ktk majadiliano km haya.

Na ukiwa HUNA ELIMU hii ya LUGHA basi siku zote Utapata tabu sana.

Sasa labda kabla ya kukufundisha km tuko Shule nikuulize hapa kidogo.

Kwanini Nchi yyt Duniani Tunaipa cheo cha (SHE) na sio (HE)? Kwani hizi nchi ni Mfumojike?

Na hata Meli kubwa au Vyombo vya usafiri tunavipa vyeo vya (SHE).
Na hizi meli pia ni MFUMOJIKE?

Je! Unafahamu maana ya "Singular of RESPECT?

Ukiweza kupata majibu hayo Utafahamu KWANINI MUNGU akapewa Cheo cha "HE" na sio "SHE".

We will get there my friend.

Patience is required here.

Mungu mkuu akuonyeshe Mwanga Kijana wetu kiranga. Na akuondolee uchache wa weledi .

Amen.
 
Swali nilijibu mara ngapi.

Nishakwambia sijui.

Unajua kusoma?

Unaona sasa matatizo yako.!
Wewe vitu VINGI TU HUJUI lkn UNAKUBALI KUWA VIPO 100%.

Lkn Linapokuja SUALA LA MUNGU unataka MPAKA UJUE ndipo Ukubali kuwa YUPO.

Ndio nikakushauri USIWE ARROGANT.

Kwani Iko siku Utakuja kujuta kabisa kwa hii arrogance yako.
 
Nikikwambia siju, hilo ndio litathibitisha kuwapo kwa mungu?

Mimi kutokujua jibu la swali hili kunathibitishaje kuwapo kwa mungu?

Logical "non squitur".

It does not follow.

Just because I do not know the answer to this question, it does not follow that your answer must be the right one.

Just because I do not know the answer to the square root of 2, it does not mean your answer of eight is correct.

Moreover, I may know that a certain answer is wrong even without knowing the correct answer.

If I know that the quare root of two must be smaller than two, I will know that your answer of eight is wrong.

Even without knowing the right answer precisely.

Ushaelewa jinsi swali lako lisivyo na mantiki katika habari nzima ya kuthibitisha kuwepo kwa mungu?

Lakini kutokuelewa ushahidi upewao kuwepo kwa Mungu kunathibitisha kwamba Hayupo ? Mindless
 
Ushahidi wa kwanza wa mtu anayetaka kucheza kwenye ignore list.

Bado hujajibu QM ni nini.

Na wala hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Ukikumbushwa kuwa mkarirshwa au MTU mwenye Chuki na Mungu unataka kukimbilia ignore list
Uzima wa mind Kama unayo unashaka Sana.
No wander unashangazwa na uwepo wa muweka free will na morals Kama QM ni kichina kwako.
Na wewe hujathibitisha kwamba Mungu hayupo au umejuaje kutokuwepo kwake ? Je hayupo yako ni matokea ya athari za mwezi mchanga au imani Tu na labda kuna ujuzi nyuma yake...
Umebakia kuhoji uthibitisho wa vithibitisho ili kurefusha mjadala.
Mindless
 
quote_icon.png
By Kiranga

Ushahidi wa kwanza wa mtu anayetaka kucheza kwenye ignore list.

Bado hujajibu QM ni nini.

Na wala hujathibitisha kwamba mungu yupo.
Unaomba msaada baada ya kushindwa swali = mindless
 
Unaona sasa matatizo yako.!
Wewe vitu VINGI TU HUJUI lkn UNAKUBALI KUWA VIPO 100%.

Lkn Linapokuja SUALA LA MUNGU unataka MPAKA UJUE ndipo Ukubali kuwa YUPO.

Ndio nikakushauri USIWE ARROGANT.

Kwani Iko siku Utakuja kujuta kabisa kwa hii arrogance yako.

Kujua ni nini?
 
Kiranga weledi wa lugha ni muhimu sana ktk majadiliano km haya.

Na ukiwa HUNA ELIMU hii ya LUGHA basi siku zote Utapata tabu sana.

Sasa labda kabla ya kukufundisha km tuko Shule nikuulize hapa kidogo.

Kwanini Nchi yyt Duniani Tunaipa cheo cha (SHE) na sio (HE)? Kwani hizi nchi ni Mfumojike?

Na hata Meli kubwa au Vyombo vya usafiri tunavipa vyeo vya (SHE).
Na hizi meli pia ni MFUMOJIKE?

Je! Unafahamu maana ya "Singular of RESPECT?

Ukiweza kupata majibu hayo Utafahamu KWANINI MUNGU akapewa Cheo cha "HE" na sio "SHE".

We will get there my friend.

Patience is required here.

Mungu mkuu akuonyeshe Mwanga Kijana wetu kiranga. Na akuondolee uchache wa weledi .

Amen.

Hujathibitisha mungu yupo, ushampa "he".

Angalau meli inaonekana.

Mungu unamthibitishaje kwamba yupo?
 
Hilo ndiyo jibu sio unauliza maswali halafu useme ndiyo jibu.

Ok umesema hujui Je,kuna uwezekano wa kwamba huu ulimwengu kutokea tu wenyewe?

Sijui.

Lakini hilo halothibitishi kiwepo mungu.

Ukitokea wenyewe si lazima mungu awepo.

Usipotokea wenyewe si lazima mungu awepo.
 
Ukikumbushwa kuwa mkarirshwa au MTU mwenye Chuki na Mungu unataka kukimbilia ignore list
Uzima wa mind Kama unayo unashaka Sana.
No wander unashangazwa na uwepo wa muweka free will na morals Kama QM ni kichina kwako.
Na wewe hujathibitisha kwamba Mungu hayupo au umejuaje kutokuwepo kwake ? Je hayupo yako ni matokea ya athari za mwezi mchanga au imani Tu na labda kuna ujuzi nyuma yake...
Umebakia kuhoji uthibitisho wa vithibitisho ili kurefusha mjadala.
Mindless

Hujathibitisha keamba mungu yupo.

Kisichopo hakithibitishiki.

Unaweza kuthibitisha na kunipa alama za vidole za mwizi asiyekuwapo wala kuwahi kuwapo?
 
Hauhitaj degee,masters wala phd kuamini uwepo wa mungu..change your mind one utakijutia ulichoandka
 
Mungu hayupo.

Huwezi kubadili mungu awe fair wakati hayupo.

Katungwa tu na watu ili kurahisisha maswali magumu yasiyo na majibu yawe rahisi.

Kama yupo thibitisha.

Kuna watu wamezaliwa na negativities mda wrote ila maswali ya hivi mie siwezi kujiuliza hats siku moja make hatari take no kubwa kuliko na mpaka unakufa kamwe hautoweza kupata jibu unaloluhitaji wewe sasa ya mini inisumbue mind yangu
 
Kuna watu wamezaliwa na negativities mda wrote ila maswali ya hivi mie siwezi kujiuliza hats siku moja make hatari take no kubwa kuliko na mpaka unakufa kamwe hautoweza kupata jibu unaloluhitaji wewe sasa ya mini inisumbue mind yangu

Kuuliza swali si negative mind. Ukiuliza una matumaini ya kujibiwa na kuongeza uelewa.

Kusema huwezi kuuliza na kuhitimisha kwamba swali halina jibu kabla hata hujauliza ndiyo negative mind.

Ushahitimisha swali halina jibu kabla hujauliza, now that's negative.
 
Hujathibitisha keamba mungu yupo.

Kisichopo hakithibitishiki.

Unaweza kuthibitisha na kunipa alama za vidole za mwizi asiyekuwapo wala kuwahi kuwapo?

Dismissals are not refutations. You lack any refutations.

You lack any evidence or arguments to justify your blind non theist faith.

You are too lazy and dishonest to engage and think.
 
Sijui.

Lakini hilo halothibitishi kiwepo mungu.

Ukitokea wenyewe si lazima mungu awepo.

Usipotokea wenyewe si lazima mungu awepo.

More slop. No substance.

You have been provided and outline of massive evidences. You can't defeat any of them. You ignore them.

All of my arguments are for God's existence. You have no answers, just empty dismissals.
 
Kuuliza swali si negative mind. Ukiuliza una matumaini ya kujibiwa na kuongeza uelewa.

Kusema huwezi kuuliza na kuhitimisha kwamba swali halina jibu kabla hata hujauliza ndiyo negative mind.

Ushahitimisha swali halina jibu kabla hujauliza, now that's negative.

You have demonstrated obtuseness and willingness to brazenly lie for appearances..You've given us nothing but obvious contradictions and blatant obtuseness, darwinian serial liar. It's sad, I know, but you keep proving my point for me.

This should be common sense.
Proof is virtual 100% certainty, but very few things can be proven.
You cannot prove the world is real. You cannot prove your the world is not a hallucination. You can merely give evidence.

We build criminal cases on cumulative evidence. If we had absolute proof, we would not need evidence or juries.
 
Sijui.

Lakini hilo halothibitishi kiwepo mungu.

Ukitokea wenyewe si lazima mungu awepo.

Usipotokea wenyewe si lazima mungu awepo.

Jibu hapo ni hujui.

Ok sasa sie watu tunaoamini Uwepo wa Mungu tunaamini kwamba huu ulimwengu pamoja na sie viumbe, huu wote ni uumbaji uliyofanywa na Mungu,kwa maana kwamba yeye ndiye Muumbaji na yeye ndiye pekee mwenye SIFA hiyo ya kuumba,hivyo uumbaji ni moja ya SIFA ktk za SIFA zake Mungu.Kwahiyo kinyume na hivyo inamaana kwamba huu ulimwengu umetokea tu wenyewe.


Twende taratibu mpaka hapo wewe unasemaje?
 
Kiranga MUNGU yupo,Mungu ni Nature na Ndio source ya Uhai.......!Hivi ulishawahi kujiuliza kwa nini Sayansi imeshindwa kuvipa viumbe uhai?

Ulishawahi kujiuliza kwa nini Kifo kimemshinda Binadamu?

Ushawahi kujiuliza binadamu,wanyama source yetu ni nini?( Achana na theories za uongo za kuwa binadamu alitokana na sokwe wakati hao sokwe mpaka sasa.wameshindwa kumtengeneza tena binadamu)
 
You are not answering my questions.

Why would a perfect god need laws?

Zee la kukariri ! Habari ya mwaka mpya mkuu.
Unaandika kila unachofikiri na kukiwekwa katika swali la "huyu hakuna mungu " kwanini alifanya hivi kwa nini hakufanya vile...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom