Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,767
- 145,554
Lugha inakupa tabu rafiki.
Nadhani itakuwa kazi kubwa kukufundisha lkn tutakwenda tu polepole.
Kama hakuna uhusiano kati ya kifo na mungu, kwa nini umetaja habari yangu ya kutoelewa kifo ni nini kama kikwazo cha mimi kumtambua mungu?