Free will niiitoe wapi wakati hata tumbo langu siwezi kuli control?
Wewe una free will?
so with your line of argument, you are not free. your freedom is withheld somewhere..... si ndio?
Free will niiitoe wapi wakati hata tumbo langu siwezi kuli control?
Wewe una free will?
so with your line of argument, you are not free. your freedom is withheld somewhere..... si ndio?
Kwa sababu linataka kula kila baada ya masaa fulani, hata pale mimi nisipokuwa nataka kula.
Utasemaje nina free will wakati siwezi hata kusema mwezi huu sina hela ya kula hivyo nisile mwezi mzima?
kwa nini unakula ??
kwa nini usiache kula ??
Nakula ili nipate virutubisho na nishati za kuendelea kuishi na kufurahia maisha.
Siachi kula kwa sababu nataka kufurahia maisha.
Hujajibu suala la free will kuwa ni uongo mtupu.
Huyu mwizi ameacha kubeba box amekuja kuiba je hii ni free will au sio free will ??
Sijasema lolote kuhusu mungu lakini. Usitake kunichomekea.
Ninachisema ni kuwa hii habari ya freewill ni uongo.
Nikikuletea ugali unaweza kunionyesha hivyo virutibisho ??
je ukila hufi ??
jibu hili swali
The ramblings of a meansering illogic.
Virutubisho unataka kuviona in living color au in black and white?
Kabla ya kujujibu, tuende kwenye msingi kabisa wa wizi kuwezekanika katika ulimwengu huu.
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao wizi inawezekanika baina ya viumbe vyake wakati alikuwa na uwezo wa kutosha na upendo wa kutosha kuumba ulimwengu ambao wizi hauwezekaniki?
Huyu mwizi ameacha kubeba box amekuja kuiba je hii ni free will au sio free will ??
Nikikuletea ugali unaweza kunionyesha hivyo virutibisho ??
je ukila hufi ??
jibu hili swali
nijibu hapa tuendelee...!!
Lol@ god doing the shmoney dance.
At that rate I won't be a bit surprised if he also is 'in love with the Coco'.
Sijasema lolote kuhusu mungu lakini. Usitake kunichomekea.
Ninachisema ni kuwa hii habari ya freewill ni uongo.
The ramblings of a meansering illogic.
Virutubisho unataka kuviona in living color au in black and white?
Kabla ya kujujibu, tuende kwenye msingi kabisa wa wizi kuwezekanika katika ulimwengu huu.
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao wizi inawezekanika baina ya viumbe vyake wakati alikuwa na uwezo wa kutosha na upendo wa kutosha kuumba ulimwengu ambao wizi hauwezekaniki?
Huyo Lucifer ulafi wa madaraka na kutoridhika alivipata wapi?
Mungu alishindwa kuwaumba malaika wakiwa na utashi kamili katika ulimwengu usio na kutoridhika?
Those idiotic non theist talking points don't work with me son. You need to figure that out.
Nomekuuloza swali la msingi wa wizi, hujalijibu.
Siwezi kwenda kujadili swali la matawi wakati kuna la mzizi.
I deal with fundamentals, not fleeting appearances.
That is neither gere not there.
Hujajibu swali.
Hata Socrates aliuliza maswali kutwa, sijaanza mimi.
But I doubt you even know who that is.
I am in a deep thoughts,Is God really fair?
For instance...how come mtu unajitunza for so long timeas as a woman or a man)then it reaches a point unadecide kuwa na maisha...you open up your heart to sb...you give him/her everything full committed then what you get in return ni maumivu yasiyoeleweka na HIV juu
Kinachosikitisha ni kuwa....wale ambao ni waru waru,are enjoying life to the fullest...IS GOD REALLY FAIR?
NISAIDIENI cause spmetimes i do fail to explain
Kunikwaza unahitqji kiwa na akili za ziada, maana si kazi ndogo.
So do not flatter yourself.
Unaniambia habari za kuamini mungu, mimi sitaki kuamini, nataka kujua.
Wewe unaamini au unajua?
Unaelewa hata tofauti kati ya kuamini na kujua ni ipi?
Kama wewe hutaki kuamini na kila kitu kilichopo unataka kujua.
Hebu nisaidie Kujua "KIFO" ni nini?
Nipe Maana Halisi ya kifo Ambacho Hutokea Kila mara kwa viumbe hai.
Ili na mimi nijifunze kujua kila kitu
.
Na ukimaliza hili pia naomba unisaidie kujua "BUSARA au Intelligence) ni kitu gani.
Anza na hivyo viwili ambavyo UNA HAKIKA 100% kuwa vipo.