Is God fair ?

Is God fair ?

Kutwa kuuliza maswali ya ubishi halafu unadai kuna watu wanakuelewa.

That is neither gere not there.

Hujajibu swali.

Hata Socrates aliuliza maswali kutwa, sijaanza mimi.

But I doubt you even know who that is.
 
Lama yeye mungu anajiamulia tu mwenyewe amuumbe nani, kqa wakati gani, wapi, kivipi etc, utasemaje sie viumbe tunaojikuta tumeshaumbwa tu bila kuulizwa wala kupewa uchaguzi tuna free will?

Mbona unajipinga mwenyewe?

Unafahamu free will ni nini?

free will inaanzia wapi? navyoelewa kitu ambacho hakipo hakiwezi kuwa na utashi. utashi unakuja baada ya mtu kuwepo. so God anafacilitate existence ya mtu then thereafter u choose your path as a free being. kama wewe ulivyoamua kuwa atheist
 
free will inaanzia wapi? navyoelewa kitu ambacho hakipo hakiwezi kuwa na utashi. utashi unakuja baada ya mtu kuwepo. so God anafacilitate existence ya mtu then thereafter u choose your path as a free being. kama wewe ulivyoamua kuwa atheist

Utasemaje kitu ambacho hakipo hakiwezi kuwa na utashi wakati tunamjadili mungu muweza vyote?

Mungu alishindwa kuwapa namna viumbe waamue kama wanataka kuumbwa au hawataki?

Kama alishindwa, huyu mungu ni muweza yote kweli?

Lama aliweza na hakutupa namna hiyo, je, huyu mungu anathamini free will kweli kwa kutuumba bila kutuuliza kama tunataka kuumbwa?
 
Utasemaje kitu ambacho hakipo hakiwezi kuwa na utashi wakati tunamjadili mungu muweza vyote?

Mungu alishindwa kuwapa namna viumbe waamue kama wanataka kuumbwa au hawataki?

Kama alishindwa, huyu mungu ni muweza yote kweli?

Lama aliweza na hakutupa namna hiyo, je, huyu mungu anathamini free will kweli kwa kutuumba bila kutuuliza kama tunataka kuumbwa?

exactly, ni Mungu muweza wa yote hivyo anaamua yeye nini kiwepo na kisiwepo. kwa nini unataka uulizwe kama unataka kuexist ama la? kwa sababu hukuulizwa huwezi kuhitimisha kuwa yeye si muweza wa yote.
hakika ni muweza wa yote ndo maana tuko huru na wewe unampinga na hakufanyi chochote. laiti angetuumba misukule ungesema hajiamini
 
Kiranga nakushauri usifanye moyo wako kuwa mgumu. huwezi kuelewa kila kitu hapa duniani. na watu kama nyie ndo mnadhibitisha uwepo wa Mungu huyu mwenye upendo usio na kifani. God is God of diversity. you pple are really inspiring
 
Last edited by a moderator:
Leo hii mtu unaamua kusema hakuna Mungu, unasema Mungu ni imaginary creature like spider man alafu unasema huna free will? sio kweli
 
exactly, ni Mungu muweza wa yote hivyo anaamua yeye nini kiwepo na kisiwepo. kwa nini unataka uulizwe kama unataka kuexist ama la? kwa sababu hukuulizwa huwezi kuhitimisha kuwa yeye si muweza wa yote.
hakika ni muweza wa yote ndo maana tuko huru na wewe unampinga na hakufanyi chochote. laiti angetuumba misukule ungesema hajiamini

Kama ni muweza yote na anaamua yeye tu basi huwezi kusema viumbe tuna free will.
 
Kama ni muweza yote na anaamua yeye tu basi huwezi kusema viumbe tuna free will.

kwa nini unapenda ubishi? wewe umeamua kuwa atheist...... hiyo siyo free will? isn't that freedom???? kwa hiyo wewe shida yako ni Mungu kuweza yote? kuna mdau alisema God is nature, nature is law. u can't change the law of nature, it was meant to be that way. kiranga kwa nini unamchukia Mungu?
 
kwa nini unapenda ubishi? wewe umeamua kuwa atheist...... hiyo siyo free will? isn't that freedom???? kwa hiyo wewe shida yako ni Mungu kuweza yote? kuna mdau alisema God is nature, nature is law. u can't change the law of nature, it was meant to be that way. kiranga kwa nini unamchukia Mungu?

Huwezi kusema mungu anaamua peke yake nimuumbe Kiranga, halafu Kiranga akajikuta ameumbwa tu, hajaomba wala ku negotiate aumbweje au wapi, halafu ukasema Kiranga ana free will.

Utakuwa unachekesha.

Habari ya freewill ni changa la macho.
 
Huwezi kusema mungu anaamua peke yake nimuumbe Kiranga, halafu Kiranga akajikuta ameumbwa tu, hajaomba wala ku negotiate aumbweje au wapi, halafu ukasema Kiranga ana free will.

Utakuwa unachekesha.

Habari ya freewill ni changa la macho.

swali rahisi tu
hivi mwizi anapopigwa ni fair au sio fair ??
 
swali rahisi tu
hivi mwizi anapopigwa ni fair au sio fair ??

Kwa nini mungu muweza yote, mjuzi wa yote, mwenye upendo wote aumbe ulimwengu ambao kiumbe wake anaweza kuwa mwizi na kupigwa wakati ana uwezo wa kuumba ulimwengu ambao wizi hauwezekaniki?
 
Kwa nini mungu muweza yote, mjuzi wa yote, mwenye upendo wote aumbe ulimwengu ambao kiumbe wake anaweza kuwa mwizi na kupigwa wakati ana uwezo wa kuumba ulimwengu ambao wizi hauwezekaniki?

hebu jibu hili swali

swali rahisi tu
hivi mwizi anapopigwa ni fair au sio fair ??
 
Huwezi kusema mungu anaamua peke yake nimuumbe Kiranga, halafu Kiranga akajikuta ameumbwa tu, hajaomba wala ku negotiate aumbweje au wapi, halafu ukasema Kiranga ana free will.

Utakuwa unachekesha.

Habari ya freewill ni changa la macho.

wewe una free will?
 
wewe unapoibiwa ni fair sio fair ??

Sio fair.

In a fair world nobody can steal from anybody, because everybody has tye same mental capacity. Hakuna aliyemzidi mwingine.

That is a world pointing to intelligent design.

The fact kwamba mabaya kama kuibiana yanawezekana katika ulimwengu huu inaonyesha kwamba ulimwengu huu haujaumbwa na mungy mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.
 
Sio fair.

In a fair world nobody can steal from anybody, because everybody has tye same mental capacity. Hakuna aliyemzidi mwingine.

That is a world pointing to intelligent design.

The fact kwamba mabaya kama kuibiana yanawezekana katika ulimwengu huu inaonyesha kwamba ulimwengu huu haujaumbwa na mungy mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Huyu mwizi ameacha kubeba box amekuja kuiba je hii ni free will au sio free will ??
 
Kwanini huwezi kuli contor ??
unataka liweje ili ulicontrol ??

Kwa sababu linataka kula kila baada ya masaa fulani, hata pale mimi nisipokuwa nataka kula.

Utasemaje nina free will wakati siwezi hata kusema mwezi huu sina hela ya kula hivyo nisile mwezi mzima?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom