Is God fair ?

Is God fair ?

This should end here.
Please give respect to mwenye hoja ambae kwasasa ameridhishwa na jibu la hapo juuna.

"Let there be a God who created the heavens and earth so the world can make sense again"
He is always there. He is our creator and life source of our very being. He is the force behind that unexplainable energy that gives the heart charge to pump blood through our veins. He is the engineer of that wonderful central processing unit called the brain, which the most brilliant of scientist have yet to fully understand. I could go on, but I think you know where I'm heading.....
 
Amen amen amen,i now understand well that God os very good and very fair...i adore him....Thanks once again and bless you

Amen to that. Always here buddy, welcome.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
This should end here.
Please give respect to mwenye hoja ambae kwasasa ameridhishwa na jibu la hapo juuna.

"Let there be a God who created the heavens and earth so the world can make sense again"

Sure i am very satisfied....
 
Moyo ukabidhi wewe wa kumlaumu awe Mungu je,wewe uko fair?.By the way unapaswa kumjua vema huyo Mungu unayemzungumzia.Mungu huwa anashughulikia kusimamia na kukamilisha jambo ambalo amepewa nafasi kulianzisha!.
 
Mungu hakuwahi kumuumba mtu anayeitwa Shetani..Mungu alimuumba Lusifa malaika aliyekamilika,akiwa amejaaliwa vipaji lukuki...ulafi wa madaraka,kutoridhika na alichopewa,kujisikia ndiyo sababu ya yeye kuitwa Shetani....nimejifunza kitu,shetani alifanikiwa kuwarubuni theluthi ya Malaika kuwa Mungu ni Katili na ni dikteta..so Mungu alifanya kitu kizur sana kutokumuangamiza shetani kwa sababu moja ambayo binafsi nimeigundua...kama angemmaliza-Shetani na Malaika waliomsupport angejenga tabaka na malaika waliobaki upande wake kuwa kile Lucifer alichokuwa akiwaambia ni kweli

na anaendelea kuwarubuni akina Kiranga na wenzake
 
Last edited by a moderator:
I am in a deep thoughts,Is God really fair?

For instance...how come mtu unajitunza for so long timeas as a woman or a man)then it reaches a point unadecide kuwa na maisha...you open up your heart to sb...you give him/her everything full committed then what you get in return ni maumivu yasiyoeleweka na HIV juu

Kinachosikitisha ni kuwa....wale ambao ni waru waru,are enjoying life to the fullest...IS GOD REALLY FAIR?

NISAIDIENI cause spmetimes i do fail to explain

GOD is fair .. soma hiyo sentence inayosema " Kinachosikitisha ni kuwa....wale ambao ni waru waru,are enjoying life to the fullest. " .

From that sentence jiulize maswali yafuatayo . Je kwa nn usikitike wakati ni maisha yao , je kwa nn uwaite waruwaru una uhakika gani (imani iko moyoni siyo usoni), na hapo kwenye enjoying to the fullest inaonesha starehe zao unazikubali mpaka unaziita to the fullest sema tu baadhi ya mazingira yanakubana kuingia na mwisho hujajua kutofautisha starehe na raha ... God is always fair watu wengi wanaojifanyaga ma descent ni watu wanafki sana usipime isee .. most of them wakiona mtu kafanya kitu kwao ni kero na wepesi ku judge (reference;;;waru waru, enjoying to the fullest)
 
Huyo Lucifer ulafi wa madaraka na kutoridhika alivipata wapi?

Mungu aliwaumba malaika wakiwa na utashi na akili kamili. hivyo kutoridhika kwa Lucifer kulianzia ndani mwake mwenyewe
 
Mungu aliwaumba malaika wakiwa na utashi na akili kamili. hivyo kutoridhika kwa Lucifer kulianzia ndani mwake mwenyewe

Mungu alishindwa kuwaumba malaika wakiwa na utashi kamili katika ulimwengu usio na kutoridhika?
 
Mungu alishindwa kuwaumba malaika wakiwa na utashi kamili katika ulimwengu usio na kutoridhika?

ulimwengu upi? kutokuridhika kumeanzia kwa Lucifer mwenyewe, ndani yake mwenyewe. hakuna ulimwengu hapo
 
ulimwengu upi? kutokuridhika kumeanzia kwa Lucifer mwenyewe, ndani yake mwenyewe. hakuna ulimwengu hapo

Kwa hiyo mungu si muumba wa vyote?

Ulimwengu ambao unaruhusu kutokuridhika kuanzie ndani ya Lucifer mwenyewe kauumba nani?
 
Kwa hiyo mungu si muumba wa vyote?

Ulimwengu ambao unaruhusu kutokuridhika kuanzie ndani ya Lucifer mwenyewe kauumba nani?

unajua effect ya mtu kupewa utashi au free will? Mungu alimuumba Lucifer akiwa ni malaika mwema, akampa uhuru wa kuwaza chochote. Uhuru ukampelekea kuwa na kiburi. sasa je tumlaumu aliyemuumba Lucifer? MUNGU HAKUUMBA KUTORIDHIKA. ubaya wote umeanzia kwa Lucifer.
 
unajua effect ya mtu kupewa utashi au free will? Mungu alimuumba Lucifer akiwa ni malaika mwema, akampa uhuru wa kuwaza chochote. Uhuru ukampelekea kuwa na kiburi. sasa je tumlaumu aliyemuumba Lucifer? MUNGU HAKUUMBA KUTORIDHIKA. ubaya wote umeanzia kwa Lucifer.

Free will itoke wapi?

Mungu alipomuumba Lucifer alimuuliza kwanza kama anataka kuumbwa au hataki?
 
Free will itoke wapi?

Mungu alipomuumba Lucifer alimuuliza kwanza kama anataka kuumbwa au hataki?

wewe kabla ya kuzaliwa uliulizwa? yeye ni Mungu hivyo anaamua amuumbe nani kwa wakati gani. na Mungu hakutaka viumbe wake wawe kama misukule hivyo kuwapa akili na Uhuru wa kuchagua. wewe ulitaka Lucifer aulizwe?
 
wewe kabla ya kuzaliwa uliulizwa? yeye ni Mungu hivyo anaamua amuumbe nani kwa wakati gani. na Mungu hakutaka viumbe wake wawe kama misukule hivyo kuwapa akili na Uhuru wa kuchagua. wewe ulitaka Lucifer aulizwe?

Lama yeye mungu anajiamulia tu mwenyewe amuumbe nani, kqa wakati gani, wapi, kivipi etc, utasemaje sie viumbe tunaojikuta tumeshaumbwa tu bila kuulizwa wala kupewa uchaguzi tuna free will?

Mbona unajipinga mwenyewe?

Unafahamu free will ni nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom