Is baby wipes safe for wiping vagina?

Is baby wipes safe for wiping vagina?

sabuni ya nini au hizo Wiper imekuwa kioo cha gari (windscreen)
watu tunaitaitaka hiyo harufu nyie mnaiondoa
Mummy Farkina wewe na warumi ni wageni na hizi Papuchi ukiiosha sana na udi mara marashi ya pemba mm ntakimbia

  • km ni ngeni unapiga Katerer* itasafika
  • km ni yakila siku ni kuigia chumvini tu itasafika
  • na Beberu la mbuzi mbona haliioshi
  • hivyo ndivyo ilivyoumwa kuwa na harufu yake nzuri ya asili ili abdalaa kichwa wazi asimame bila miguu

Weee bwana weee taratibu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
we wa Zanzibar au Tanga naona haujambo? mi wangu namuosha na sabuni plus test tube brash kwa kusugua every corner!

Eeeeh kweli mie sijambo vipi nawe mzima?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Mimi nichukue nafasi ya kijana Tyta kuomba picha ya hiyo sijui baby nini sijui....embu tupiamo sisi kijijini kwetu hakuna!
 
Last edited by a moderator:
sabuni ya nini au hizo Wiper imekuwa kioo cha gari (windscreen)
watu tunaitaitaka hiyo harufu nyie mnaiondoa
Mummy Farkina wewe na warumi ni wageni na hizi Papuchi ukiiosha sana na udi mara marashi ya pemba mm ntakimbia

  • km ni ngeni unapiga Katerer* itasafika
  • km ni yakila siku ni kuigia chumvini tu itasafika
  • na Beberu la mbuzi mbona haliioshi
  • hivyo ndivyo ilivyoumwa kuwa na harufu yake nzuri ya asili ili abdalaa kichwa wazi asimame bila miguu

Kusafisha haimanishi unaondoa ile scent of woman mnayoipenda ila unahakikisha hali ya usafi eneo hilo mana hivo ulivosema yaani hata tukikojoa tusinawe na maji eti kisa harufu asilia itapotea.....

Sabuni lazima kusafisha sehemu karibia na hilo eneo kwa mfano pembezoni mwa mapaja hususan kwa wenye miili mikubwa kuondoa harufu ya jasho....

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Eeeeh kweli mie sijambo vipi nawe mzima?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
mi mzima ila nasikitika Zanzibar nitapasikia tu kila nikifikiria kupita juu ya maji naishiwa nguvu kwa Mbali naiona Mv Spice!
nikiwaza na mabomu,tindikali na sharia kama ile iliyotumika kwa binti mmoja uko kwa waarabu kupigwa mawe hadi kufa kisa kuposses facebook!kweli Kwetu pazuri.....siji kwenu Noooooooooooooooooooo
 
mi mzima ila nasikitika Zanzibar nitapasikia tu kila nikifikiria kupita juu ya maji naishiwa nguvu kwa Mbali naiona Mv Spice!
nikiwaza na mabomu,tindikali na sharia kama ile iliyotumika kwa binti mmoja uko kwa waarabu kupigwa mawe hadi kufa kisa kuposses facebook!kweli Kwetu pazuri.....siji kwenu Noooooooooooooooooooo

Ahhahahaha pole na woga wa kuvuka maji na hayo mengine ni uzushi mtupu....na usije ati lakini kwetu pazuri sana tu waulize waliowahi fika

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Ahhahahaha pole na woga wa kuvuka maji na hayo mengine ni uzushi mtupu....na usije ati lakini kwetu pazuri sana tu waulize waliowahi fika

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Sitaki hata kuuliza...........i love my home city! maji, tindikali,mabomu not safe!
 
Yaani yapo mambo mengine sijui tuna post ili tusifiwe au nini. Ati kila msichana ninaye fanya naye tendo la ndoa. We unaonesha huwa unaokotaga malaplap tu. Una tatizo kuubwa sana la kuwanyanyasa wanawake.
Hebu fikiri, ni mwanamke wa heshima zake, anayejistahi, afike kwako baada ya kusomeshwa mpaka akasahau njia ya kwao akajikuta yupo kwako, ameamua kuvua kwa ajili yako, kabla ya chochote umvue, umsafishe papuchi yake.
Anakuuliza, kunani kaka? Unamwambia una harufu mbaya ngoja nikusafishe kwanza ndo tu do. Kama lipo limama ulilolitenda hivyo, ni la hovyo hata miye nakuunga mkono, lisafishe halafu umpe na nyingine aende nazo awe akijisafi mwenyewe kwani msaada wako hautakuwepo naye kila wakati.
Huu ni udhalilishaji wa wanawake. Kama kuna mwanamke humu aliyemwelewa huyu mtu, amkemeee na awakemeee wanawake walio wahi kurudi kwa mdhalilishaji huyu. Nawasilisha. Namheshimu sana mwanamke aliyewahi kunivulia.
 
wengi huwa mnaangalia madhara ya kimwili je hao mabinti mind zao haziwezi kupata madhara the way unavyowafuta hawajisikiii vibaya kweli
 
Kusafisha haimanishi unaondoa ile scent of woman mnayoipenda ila unahakikisha hali ya usafi eneo hilo mana hivo ulivosema yaani hata tukikojoa tusinawe na maji eti kisa harufu asilia itapotea.....

Sabuni lazima kusafisha sehemu karibia na hilo eneo kwa mfano pembezoni mwa mapaja hususan kwa wenye miili mikubwa kuondoa harufu ya jasho....

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Namuunga mkono Ukwaju.
Farkhina hiyo kitu ni very very nice ikiwa na ile harufu yake ya asili. Hakuna harufu mbaya kwa yule umpendaye. Hivi Farkhina, si unajua dawa ya mwanamke ambaye siku zake humchanganya? Ni kwapa la yule mtu wake. Chimbia kichwa kwapani mwake. Kalenda yako itasimama wima pale pale.
Sasa, huyu kama ni wangu wa ubani nina haja gani kumsafisha na sabuni? Piga kate.re.r ya kikwetu, maji kibao kadiri ya ndoo yanaosha yenyewe.
Ile harufu inayo fuata ndo inaniamsha tena na tena hata goli 3 ndipo half time. Mnaleta za kuleta hapa, Nitakuosha mara ngapi mpaka mwisho wa mechi??
 
dah kweli mi ni mwanaume mwenye bahati sana, kitu cha my fiance sasha fierce hakinaga smell kabisa na ni very sweet so tight af yangu peke angu..
 
Yaani yapo mambo mengine sijui tuna post ili tusifiwe au nini. Ati kila msichana ninaye fanya naye tendo la ndoa. We unaonesha huwa unaokotaga malaplap tu. Una tatizo kuubwa sana la kuwanyanyasa wanawake.
Hebu fikiri, ni mwanamke wa heshima zake, anayejistahi, afike kwako baada ya kusomeshwa mpaka akasahau njia ya kwao akajikuta yupo kwako, ameamua kuvua kwa ajili yako, kabla ya chochote umvue, umsafishe papuchi yake.
Anakuuliza, kunani kaka? Unamwambia una harufu mbaya ngoja nikusafishe kwanza ndo tu do. Kama lipo limama ulilolitenda hivyo, ni la hovyo hata miye nakuunga mkono, lisafishe halafu umpe na nyingine aende nazo awe akijisafi mwenyewe kwani msaada wako hautakuwepo naye kila wakati.
Huu ni udhalilishaji wa wanawake. Kama kuna mwanamke humu aliyemwelewa huyu mtu, amkemeee na awakemeee wanawake walio wahi kurudi kwa mdhalilishaji huyu. Nawasilisha. Namheshimu sana mwanamke aliyewahi kunivulia.

Nakuunga mkono, big up.
 
mmh cjawah skia hl...nina maswal meng hapa.1.wana nuka?wananukaje sasa?kwan b4 tendo c lazma muoge.?au wewe pua yako ina allergy na harufu ya uke?
2..hv wapo wangap?na y ucmwambie mum kuna tatzo hl.au nenden hospt labda ana fungus..
3..hv unavyo mfuta b4 tendo nae anakenua tu meno?hao gals wako nao vlaza nahc.
lastly hazina madhara..bt kwa ushaur kama dem wako hajaja na ktambaa nunua vtambaa vyeupe each for tendo 1.n b4 n aftr tendo take bath..bt naogopa kama unao weng itakuaje na hvyo vtambaa...behave stck na 1 gal.

Hii style yako ya kuandika ni ya Facebook sio huku
 
Itakua wewe mwenyewe ni mchafu zaidi ya hao wanawake zako.
Mwaume mzima hauni aibu kubebaba na baby wipers ukiulizwa eti zakupangusia sehemu za wanawake unaolala nao. Shame up on you.
Jina lenyewe ni BABY WIPERS imagine.
Na kama wananuka means wako na problem kiafya coz sio kawaida kunaibfection tena ya hali ya juu inayosababisha harufu. Badala yake unajidanganya na vipangusio vya watoto na kusambaza magonjwa.

WE NI MCHAFU SANA.
Nakushauri ufanye uchunguzi kabla haujaanza kupata maumivu kabla na baada ya kwenda haja ndogo na mwisho wa siku kupata haja ndogo yenyemchanganyiko na damu.
 
Hivi maji hamna na sabuni? Waambie wajisafishe kwa maji na sabuni then wajikaushe kwa kitambaa safi na laini....na kwa siku wajitahidi kubadili vyupi walau 3 uone harufu itatokea wapi

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

sabuni ni NO NO huko kunako....maji vuguvugu tu ni tosha au baridi kama unataka kuongeza mnato. au waweza tumia feminine wash kama vile summer's eve
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom