warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,213
- 18,455
Frankly speaking,uwa natumiaga izi baby wipes kuwafuta baadhi ya wasichana ninaolala nao before and after sexual intercourse,na sababu kubwa ya kufanya ivi ni kutokana naukweli kwamba baadhi ya dada zetu hawako makini na sehemu zao izo private,hivyo kupunguza ladha ya tendo la ndoa au kutofanyika kabisa kutokana na harufu mbaya inayotoka sehemu hizo.
Nimegundua mbinu ambayo for somehow imekuwa ni nzuri kwangu,kwani nikigundua mwenza ninayeshiriki naye tendo hilo sehemu zake haziko safi,uwa natumia baby wipes kwa ajili ya kusafisha sehemu za siri za uke na kutoa pleasant smell ambayo unifanya nijisikie vizuri ninaposhiriki tendo hilo.kwa mujibu wa izo wipes ambazo zimetengenezwa mahususi kwa ajili ya watoto wadogo pindi wanapojisaidia haja kubwa au ndogo,je ina madhara yeyote kwenye sehemu za siri za mwanamke?,nimekwisha tumia ila sijasikia malalamiko yeyote ya michubuko je? kuna madhara mengine ya sehemu hizo kisayansi zaidi?,anayejua kuhusu hili anielezee vizuri...
Nimegundua mbinu ambayo for somehow imekuwa ni nzuri kwangu,kwani nikigundua mwenza ninayeshiriki naye tendo hilo sehemu zake haziko safi,uwa natumia baby wipes kwa ajili ya kusafisha sehemu za siri za uke na kutoa pleasant smell ambayo unifanya nijisikie vizuri ninaposhiriki tendo hilo.kwa mujibu wa izo wipes ambazo zimetengenezwa mahususi kwa ajili ya watoto wadogo pindi wanapojisaidia haja kubwa au ndogo,je ina madhara yeyote kwenye sehemu za siri za mwanamke?,nimekwisha tumia ila sijasikia malalamiko yeyote ya michubuko je? kuna madhara mengine ya sehemu hizo kisayansi zaidi?,anayejua kuhusu hili anielezee vizuri...