figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Hii imekaa vibaya.Dereva alietambulika kwa Jina moja tu.
MICHAEL MKOROMA.
Hii imekaaje kaaje!
Pole majeruhi wote.Daah umenikumbusha barabara ya Ngorongoro-Mar(l?)anja,Naabi,Seronera,Ikoma/Ndabaka.Hiyo ndiyo barabara hatari ya rough road kwa Tanzania kama sijakosea.Ina mbavu za mbwa,mawe(loose rocks) na kona konaaiseee sasa huyu driver anaitupaje mahali kama hapo ? angeingia ngorongoro crater ingekuwaje / rasta ya serengeti
Tusipende kukatisha watu tamaa wafanyapo jambo la heri.Ila Kasesera kwa kiki yupo juu. Yeye kuokoa tu. Mara utasikia "... kaokoa watu kwenye mafuriko Idodi, kabeba waathirika kwenye janga. Na hii amenyanyua gari kwa mikono yake mwenyewe..."! Safi lakini.