Kataa Rushwa
JF-Expert Member
- May 15, 2015
- 718
- 745
landcruiser hard top kwenye rasta ukimbwela umebinuka
Sahihi! Na ni imani yangu umeisoma sentensi yangu ya mwisho vizuri na kuitafakari "myala" Kapwela.Tusipende kukatisha watu tamaa wafanyapo jambo la heri.
kali-PHii imekaa vibaya.
Nimeshamkumbuka kumbe ni yule mkuu wa wilaya anayeokoa sana kwenye majanga itabidi JPM ampandishe cheo tu anahistoria nzuri ya kuokoa watu katika majanga tena kwa mikono yake mwenyeweIla Kasesera kwa kiki yupo juu. Yeye kuokoa tu. Mara utasikia "... kaokoa watu kwenye mafuriko Idodi, kabeba waathirika kwenye janga. Na hii amenyanyua gari kwa mikono yake mwenyewe..."! Safi lakini.
Ni kweli lakin angewekwa kwa kitengo cha uokoaji angeleta tija sana mie huyu nimemjua katika issue hizi hizi za uokoajiTusipende kukatisha watu tamaa wafanyapo jambo la heri.
Sahihi. Ni mcheshi, bado ana nguvu, kichwa chake hutumika kufikiria vema, anajumuika na jamii, mchapakazi nk. He is fine!Nimeshamkumbuka kumbe ni yule mkuu wa wilaya anayeokoa sana kwenye majanga itabidi JPM ampandishe cheo tu anahistoria nzuri ya kuokoa watu katika majanga tena kwa mikono yake mwenyewe
Hilo ni jina Moja!!!?Dereva aliyetambulika kwa jina moja tu Michael Mkoroma
Hii ni habari ya kukoleza, maana hapo wanaonekana watu wengi nadhani alijumuika katika uokozi, in real sense he could not do it alonealikuta ajali ndio imetokea ikabidi asimame na kuanza kuokoa majeruhi ambapo dereva alikimbizwa hospital ya mkoa na amelazwa wodi 5
Umeona!!! nahisi mwandishi wa thread kapigwa tip kwa madhumuni maalumu bila kujua kuwa wasomaji wana ufahamu wa kutosha zaidi ya ya yeye ajuavyoIla Kasesera kwa kiki yupo juu. Yeye kuokoa tu. Mara utasikia
HII KATIKA TASNIA YA HABARI NI SAWA NA MBWA 'KUMKULA' BINADAMU SIO HALISI KAMA BINADAMU 'KUMKULA' MBWA.Ila Kasesera kwa kiki yupo juu. Yeye kuokoa tu. Mara utasikia "... kaokoa watu kwenye mafuriko Idodi, kabeba waathirika kwenye janga. Na hii amenyanyua gari kwa mikono yake mwenyewe..."! Safi lakini.