figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,483
- 54,853
Mkuu Wa Wilaya ya Iringa akitoka kwenye kusikiliza mgogoro wa wakulima na wafugaji Idodi, alikuta ajali ndio imetokea ikabidi asimame na kuanza kuokoa majeruhi ambapo dereva alikimbizwa hospital ya mkoa na amelazwa wodi 5 katika hospital hiyo hali yake inaendelea vizuri
Dereva aliyetambulika kwa jina moja tu Michael Mkoroma akiwa na abiria Deogras Luoga na Miraji Mohamed wote watumishi Wa chuo cha DUCE walikuwa kwenye gari
Gari ya chuo kikuu kishiriki DUCE ilikuwa ikitokea kwenye ziara ya utafiti Ruaha National Park ilipinduka kwenye kona ya Mlowa kutokana na barabara kuwa na tuta pamoja na viinuko vidogo vidogo maarufu kwa jina la rasta
Mkuu Wa wilaya mhe kasesela mwenye shati jeupe la maua akiongoza kunyanyua gari
Dereva aliyetambulika kwa jina moja tu Michael Mkoroma akiwa na abiria Deogras Luoga na Miraji Mohamed wote watumishi Wa chuo cha DUCE walikuwa kwenye gari
Gari ya chuo kikuu kishiriki DUCE ilikuwa ikitokea kwenye ziara ya utafiti Ruaha National Park ilipinduka kwenye kona ya Mlowa kutokana na barabara kuwa na tuta pamoja na viinuko vidogo vidogo maarufu kwa jina la rasta
Mkuu Wa wilaya mhe kasesela mwenye shati jeupe la maua akiongoza kunyanyua gari