Mama Debora
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 1,482
- 2,582
Ni usiku (saa nne) wa kuamkia leo Agosti 9, 2022.
Gari ndogo IST inatokea Kahama, inaelekea Tinde. ikaparamia trekta lililokua mbele limejaza kuni halafu halina taa za nyuma wala reflector. Watu watatu wakafa kwenye IST!
Dereva wa Trekta akakimbia!
Wakati uokoaji unaendelea, ikaja Hiace iko full nyomi full speed, kutoka Kahama kuelekea Tinde.
Kufumba kufumbua mbele (kwenye ajali ya Trekta na IST) wametandaza majani, uokoaji unaendelea. It was too late!
Dereva wa Hiace akapoteza control, akakwepa lile Trekta akaparamia Lori lililokua limepunguza mwendo kupisha uokoaji upande wa pili wa barabara. Paaaaaahh!!
Watu 16 wakafa papo hapo (na dereva akiwemo)!
Jumla watu 3 + 16 = 19!
Majeruhi 15 wamekimbizwa Hospital ya manispaa ya Kahama (mmoja amekata moto, wamebaki 14)
Kwenye IST imekutwa chupa ya Konyagi (Kvant)
RPC na RC Shinyanga wamefika eneo la tukio Alfajiri.
Gari ndogo IST inatokea Kahama, inaelekea Tinde. ikaparamia trekta lililokua mbele limejaza kuni halafu halina taa za nyuma wala reflector. Watu watatu wakafa kwenye IST!
Dereva wa Trekta akakimbia!
Wakati uokoaji unaendelea, ikaja Hiace iko full nyomi full speed, kutoka Kahama kuelekea Tinde.
Kufumba kufumbua mbele (kwenye ajali ya Trekta na IST) wametandaza majani, uokoaji unaendelea. It was too late!
Dereva wa Hiace akapoteza control, akakwepa lile Trekta akaparamia Lori lililokua limepunguza mwendo kupisha uokoaji upande wa pili wa barabara. Paaaaaahh!!
Watu 16 wakafa papo hapo (na dereva akiwemo)!
Jumla watu 3 + 16 = 19!
Majeruhi 15 wamekimbizwa Hospital ya manispaa ya Kahama (mmoja amekata moto, wamebaki 14)
Kwenye IST imekutwa chupa ya Konyagi (Kvant)
RPC na RC Shinyanga wamefika eneo la tukio Alfajiri.