Ngwasa Omuyaya
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 2,619
- 2,717
Uwekezaji Mzuri ,Uchumi anao tatizo alikua anaukalia.
Na anapambana kwelikweli Mwenyewe ameamua asiukalie uchumi wake autumiesawa sawa hongera sana kwa uwekezaji
halafu haisumbuagi.Mwanangu una mawazo Kama yangu, huwa nashangaa watu wanasema Paula ni pisi Ila Mimi naona uwoya,kajala na mishangazi Kama hiyo ndio pisi kali
AbeeeeeeCoca
Ila jamani kuna wanawake wamejaliwa na mnyaaaaazi MUNGU..Irene kila akizeeka anazidi kuwa mcharo
Mkuu sorry nipo nje ya mada
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Yaani angekua anajiwekeza angekua mbaali Sana shogaaauwoya huyu amiliki mall? Show off atafanya mda gan? But nimeelewa ulichokusudia kuleta, woiiiiiiii
Sio GSM hataaa ashatoka hukoo mdaa!!!!GSM money
Yani huyu muuza papuchi ndio anunue mall? Gimme a break.Celebrity wa kike tajiri Tanzania bara na visiwa vyake Irene uwoya rasmi sasa anajikita katika uwekezaji wa biashara ya mall nchini Tanzania. Katika maeneo ambayo ameona patafaa ni kigamboni au mbezi beach. Pia tajiri huyo wakike ameunda timu ya watu 10 wakiwemo wachumi na wanasiasa kwaajili ya kuangalia uwezekano wa kuinunua quality mall na kuifufua upya!
Yani huyu muuza papuchi ndio anunue mall? Gimme a break. Unless unamaanisha kiduka pale sinza Mori.Celebrity wa kike tajiri Tanzania bara na visiwa vyake Irene uwoya rasmi sasa anajikita katika uwekezaji wa biashara ya mall nchini Tanzania. Katika maeneo ambayo ameona patafaa ni kigamboni au mbezi beach. Pia tajiri huyo wakike ameunda timu ya watu 10 wakiwemo wachumi na wanasiasa kwaajili ya kuangalia uwezekano wa kuinunua quality mall na kuifufua upya!
Ndo hapo sasa ngoja atemane na Ze Don atahaha huyu, na huwa anachafuka na kupauka mnoo, sema mganga wake kibokoo, maana huwa akija kushine anakutana na bopa la maana.Yaani angekua anajiwekeza angekua mbaali Sana shogaaa
Tanteeeeeh nakupenda pia.Nakupenda xna coca!