kengeledoi
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 326
- 230
Habari za humu ndani wakuu,
Tukiwa tupo katika mapumziko ya mwisho wa mwaka na wengine wakiwa bado wanaendelea na shughuli zao za kawaida siyo vibaya tukapata muda wa kupitia page ya facebook ya huyu mama maana anafundisha hasa.
Hii siyo kwa wamama na mabinti bali hata kwa vijana na wababa hasa yule aliyeweka mada ya kuchagua makabila wakati wa kuoa. Kama kuna ambaye amehudhuria semina aje atujuze zaidi maana me namsoma tu fb ila masomo yake ni mazuri sana.
Tukiwa tupo katika mapumziko ya mwisho wa mwaka na wengine wakiwa bado wanaendelea na shughuli zao za kawaida siyo vibaya tukapata muda wa kupitia page ya facebook ya huyu mama maana anafundisha hasa.
Hii siyo kwa wamama na mabinti bali hata kwa vijana na wababa hasa yule aliyeweka mada ya kuchagua makabila wakati wa kuoa. Kama kuna ambaye amehudhuria semina aje atujuze zaidi maana me namsoma tu fb ila masomo yake ni mazuri sana.