kitabera
Member
- Jan 16, 2017
- 63
- 75
Hivi mkuu iran na misri ipi yenye jeshi lenye nguvuHivi unajua hata kwa nini hicho cheo kimeitwa meja jenerali?
Hivi mkuu iran na misri ipi yenye jeshi lenye nguvuHivi unajua hata kwa nini hicho cheo kimeitwa meja jenerali?
Vyeo havina issue mkuu, issue ni utendaji wa kazi na kiukwel wapo vizuri,Washamba tu!
Iran ina jeshi lenye wanajeshi kama laki tano lakini walivyo washamba mkuu wa majeshi ana cheo cha meja jenerali ?!!
Halafu kamanda wa landforces ni brigedia! Wakati katika well civilized countries brigedia ni field officer !
Wee jamaa bora ukaekimya kama hujuiHao hamna kitu mkuu...hata wazee wetu wakuvunja matofali kwa kichwa wanawamudu vizuri sana tuu
wewe na Iran nani ana maendeleo?nani yuko civilized kuliko mwenzake?Washamba tu!
Iran ina jeshi lenye wanajeshi kama laki tano lakini walivyo washamba mkuu wa majeshi ana cheo cha meja jenerali ?!!
Halafu kamanda wa landforces ni brigedia! Wakati katika well civilized countries brigedia ni field officer !
Wewe mbumbumbu Iran sio waarabu ni waajemi kajifunze kwanza halafu uje tena uropokeWaarabu walivyolegea hivyo kuna commando hata mmoja ? Kitu gani makomandoo wa Iran walishawahi Fanya duniani zaidi ya kujihusisha tu na ugaidi ?
Mi naona wewe ndio mshamba, unaonekana umekariri muundo wa nchi fulani.Washamba tu!
Iran ina jeshi lenye wanajeshi kama laki tano lakini walivyo washamba mkuu wa majeshi ana cheo cha meja jenerali ?!!
Halafu kamanda wa landforces ni brigedia! Wakati katika well civilized countries brigedia ni field officer !
Media huwa zinajua kupamba!! Ndio hapohao waliobebwa na wanaendelea kubebwa na mataifa makubwa.Hawa waizraeli mbona wakawaida sana.sinihawa wanaopigana na hizbullah mwaka 2006 matokeo yakatoka wameshindwa jaman sinihawa
Pitia uzi huu ili utokwe tongotongo kwingine tutakuchanganya tu!Waarabu walivyolegea hivyo kuna commando hata mmoja ? Kitu gani makomandoo wa Iran walishawahi Fanya duniani zaidi ya kujihusisha tu na ugaidi ?
Kwanini hawawaiti mgambo kama unadhani jina sii kitu?Hivi kinachopigana ni jina la cheo au ni ubora wa jeshi?
How do you define civilization?
Wangewaita bado ungehojiKwanini hawawaiti mgambo kama unadhani jina sii kitu?
Halijapatikana jina zuri la kuanzishia vita! Iran ni urojo tu.Kwahiyo kukosekana kwa hivyo vyeo viwili ndiyo criteria uliyotumia kufikia hitimisho kuwa jesho lao la kishamba na hawana lolote?
Umesahau jeshi hilo hilo lilivyo ntercept na kukama USA Navy seal walioingia kwenye eneo la bahari la Iran?
Umesahau kuwa ni jesho hili hili kila mara lina intercept vyombo vya maji vya USA.
Siyo kwamba ni the best, ila wako vizuri
Waitwe ma general ili hoja zife pande zote.Wangewaita bado ungehoji
Kuonyesha kwamba hata hujui unachoongea pia unadhani kwamba Iran ni Waarabu...Halijapatikana jina zuri la kuanzishia vita! Iran ni urojo tu.
Watu weupe wote ni wanyama lakini waarabu licha ya unyama lakini pia ni wakatili sana. Ni hasara kwa dunia.
Nilijua mujahidinas na ayatullahs mngekuja speed hapa mkitokwa na povu. Israeli makomandoo wao wanahistoria pevu ya kufanya vitu adimu duniani. Kukomboa mateka wao kwenye ardhi ya adui, mfano mmoja wapo Ni entebbe raid !Mi naona wewe ndio mshamba, unaonekana umekariri muundo wa nchi fulani.
Hoja zako hazina effect kwenye perfomance ya jeshi lao hata wangeitwa viroboto bado isinge affect uwezo wao.Waitwe ma general ili hoja zife pande zote.
That was then this is now...Nilijua mujahidinas na ayatullahs mngekuja speed hapa mkitokwa na povu. Israeli makomandoo wao wanahistoria pevu ya kufanya vitu adimu duniani. Kukomboa mateka wao kwenye ardhi ya adui, mfano mmoja wapo Ni entebbe raid !