Iranian commandos take over elite Syrian army unit

Iranian commandos take over elite Syrian army unit

Nilijua mujahidinas na ayatullahs mngekuja speed hapa mkitokwa na povu. Israeli makomandoo wao wanahistoria pevu ya kufanya vitu adimu duniani. Kukomboa mateka wao kwenye ardhi ya adui, mfano mmoja wapo Ni entebbe raid !
mkuu chanzo cha hii habari ni hiyo website ya Debka ambayo ni ya waisrael,
nadhani hata jerusalem post waliandika,etc.
Usipende kuweka mambo ya ideology kwenye discussion ya kawaida,we are just talking here..

Iran pia in achievement nyingi tu,wewe umetaja entebbe,

iran waliabort operation ya makomandoo wa delta force wa marekani kwenye operation Eagle claw,wakati wamarekani wakienda kukomboa mateka wao tehran miaka ya 70,

iran imeshakamata makomandoo wa marekani na kuwaweka ndani karibu mwezi ,

imeshadungua na kuteka drone za kijasusi za marekani,

ishafanya operation za kijasusi sehemu nyingi na kufanikiwa,

lakini ukipiga rivasi kwa maelfu ya miaka,iran imeshawahi kutawala eneo lote ya mashariki ya kati na sehemu kubwa ya asia.

Iran ina history ya miaka karibu 4000 ambayo iko recorded vizuri mno,
nijuavyo hakuna empire ilikuwa na record ndefu hapa duniani kama Persian empire
 
DCKRVFVXcAEaEyo.jpg:small

iran Navy special force.


Lebanese-Hezbollah.jpg


lebanese hezbollah
 
Kuonyesha kwamba hata hujui unachoongea pia unadhani kwamba Iran ni Waarabu...
Iran siyo Waarabu mkuu kajihabarishe zaidi.
Unawaita urojo watu ambao wanazidi pata influence mashariki ya kati kiasi kwamba wanawapa presha USA, Saudi Arabia na Israel?

US hana presha na iran, ni sawa na kusema UK ina presha na zimbabwe kisa vioja vya mgabe
 
US hana presha na iran, ni sawa na kusema UK ina presha na zimbabwe kisa vioja vya mgabe
Sasa anayepiga kelele juu ya mwenzake nani?
Huyu kasema yeye anataka tengeneza vinu vya nuclear huyu kaanza kelele mara vikwazo mara makubariano mara kashika mali zake sasa kama hana shida naye kinacho mfanya anahangaika nini?
 
Tayar inan baba yao.kama umeona wazir wamambo yanje wa marekan amewaomba waarabu uidhibiti iran kutokana na ushawishi wake mashariki yakati.jamaa wapo vizur kwasasa asikwambie mtu.

Wamewasaidia wahauthi wa yemen mpaka leo saudia imeshindwa kuwatoa.kumbuka pia kuna hilikundi ameanzisha iraq linaitwa ashdu shahabi limewapiga is balaa mpaka marekan anahaha kwasasa anataka lifutwe rudi sirya kuna hiz bullah usipime.hiyo ndo iran b
jamaa una hoja ila mwandiko wako ndio usiosomeka
 
Tayar inan baba yao.kama umeona wazir wamambo yanje wa marekan amewaomba waarabu uidhibiti iran kutokana na ushawishi wake mashariki yakati.jamaa wapo vizur kwasasa asikwambie mtu.

Wamewasaidia wahauthi wa yemen mpaka leo saudia imeshindwa kuwatoa.kumbuka pia kuna hilikundi ameanzisha iraq linaitwa ashdu shahabi limewapiga is balaa mpaka marekan anahaha kwasasa anataka lifutwe rudi sirya kuna hiz bullah usipime.hiyo ndo iran banaa
Unajua wahuthi lengo lao lilikuwa nini Yemen? Wamefanikiwa?
Halafu sijui unamaanisha nini unaposema Saudia imeshindwa kuwatoa wahuthi, kuwatoa wapi badala ya kuwa walitakiwa wawe wapi??

Acha kuchukulia vitu kishabiki...
 
US hana presha na iran, ni sawa na kusema UK ina presha na zimbabwe kisa vioja vya mgabe
usilinganishe Iran na zimbabwe.

Tangu dunia iumbwe hakuna nchi iliyotoa order ya kununua ndege,Boeing dreamliner ama airbus 500 kwa mpigo,uchumi wa iran ni mkubwa sana,

iran ina utajiri mkubwa wa mafuta inaweza kuwa katika Top 4.

Na katika gase kama sikosei ni top 3,

wewe unadhani kwanini europe inampinga mmarekani kuvunja mkataba wa nuclear na iran?.
 
Sasa anayepiga kelele juu ya mwenzake nani?
Huyu kasema yeye anataka tengeneza vinu vya nuclear huyu kaanza kelele mara vikwazo mara makubariano mara kashika mali zake sasa kama hana shida naye kinacho mfanya anahangaika nini?
anaepiga kelele ni Netanyau,
utamwona sikuhizi hatulii,mara huyo kwa Putin kumuomba azuie iran isineze influence syria,putin anamsikiliza halafu anakauka,
kidogo anaibukia washington,anamjaza uzushi Trump,
trump nae alivyo zoba anapokea tu majungu,

kidogo tena unamsikia yuko moscow,wana putin tena,na hachoki,

iran wao wako kimya wanafanya yao,
juzi wamekamata mji wa wakurdi kule iraq,kirkuk,
ndo mji unaongoza iraq kwa kutoa mafuta,wakurdi waliukama toka kwa ISIS,
sasa wakawa na uhusiano mzursana na israel,
israel anafundisha wakurdi na kuwapa silaha pia,
kisha wakurd wanamuuzia mafuta israel,
wakurdi wakataka kuufanya huo mji ni wao,mbaya zaidi wakajitangazia uhuru,kujitenga na iraq,

mpaka sasa wanajilaumu maana majeshi ya iraq na militias wa naosuppotiwa na iran,wako kilomita chache toka mji mkuu wa iraq kurdistan,

marafiki wa wakurdi israel na marekani hawajui wafanye nini mpaka sasa
 
anaepiga kelele ni Netanyau,
utamwona sikuhizi hatulii,mara huyo kwa Putin kumuomba azuie iran isineze influence syria,putin anamsikiliza halafu anakauka,
kidogo anaibukia washington,anamjaza uzushi Trump,
trump nae alivyo zoba anapokea tu majungu,

kidogo tena unamsikia yuko moscow,wana putin tena,na hachoki,

iran wao wako kimya wanafanya yao,
juzi wamekamata mji wa wakurdi kule iraq,kirkuk,
ndo mji unaongoza iraq kwa kutoa mafuta,wakurdi waliukama toka kwa ISIS,
sasa wakawa na uhusiano mzursana na israel,
israel anafundisha wakurdi na kuwapa silaha pia,
kisha wakurd wanamuuzia mafuta israel,
wakurdi wakataka kuufanya huo mji ni wao,mbaya zaidi wakajitangazia uhuru,kujitenga na iraq,

mpaka sasa wanajilaumu maana majeshi ya iraq na militias wa naosuppotiwa na iran,wako kilomita chache toka mji mkuu wa iraq kurdistan,

marafiki wa wakurdi israel na marekani hawajui wafanye nini mpaka sasa
Yani anamfukuza mwizi kimya kimya kelele atapiga mwizi mwenyewe.
Sasa hivi mwendo wa kutibua mambo yao huko.
Netanyau amekuwa cry baby toka kipindi cha Obama, hadi Obama kuna madai kuwa alikuwa keshamchoka maana alikuwa against nuclear deal USA ililoingia na Iran ambalo Trump anataka kulivunja.
 
Do they compare with Israel's special forces, Sayeret Matcal or US SEALS or British SAS?
Some Persians are Jews,immigrated there from slavely in acient Bagdad.
Persians now known as Iranians are very intelligent,they might be equal to Israel in creative Intelligence,dont underestimate them.
 
anaepiga kelele ni Netanyau,
utamwona sikuhizi hatulii,mara huyo kwa Putin kumuomba azuie iran isineze influence syria,putin anamsikiliza halafu anakauka,
kidogo anaibukia washington,anamjaza uzushi Trump,
trump nae alivyo zoba anapokea tu majungu,

kidogo tena unamsikia yuko moscow,wana putin tena,na hachoki,

iran wao wako kimya wanafanya yao,
juzi wamekamata mji wa wakurdi kule iraq,kirkuk,
ndo mji unaongoza iraq kwa kutoa mafuta,wakurdi waliukama toka kwa ISIS,
sasa wakawa na uhusiano mzursana na israel,
israel anafundisha wakurdi na kuwapa silaha pia,
kisha wakurd wanamuuzia mafuta israel,
wakurdi wakataka kuufanya huo mji ni wao,mbaya zaidi wakajitangazia uhuru,kujitenga na iraq,

mpaka sasa wanajilaumu maana majeshi ya iraq na militias wa naosuppotiwa na iran,wako kilomita chache toka mji mkuu wa iraq kurdistan,

marafiki wa wakurdi israel na marekani hawajui wafanye nini mpaka sasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom