Iranian commandos take over elite Syrian army unit

Iranian commandos take over elite Syrian army unit

Iran has won the war already mko dunia gani nyie ati eeehh [emoji56]
 
Victories against terrorists thanks to Iran support: Syrian diplomat

Wed Oct 25, 2017 11:15AM

Syrian Deputy Foreign Minister Faisal al-Mekdad (IRNA photo)
Syrian Deputy Foreign Minister Faisal al-Mekdad (IRNA photo)
Syrian Deputy Foreign Minister Faisal al-Mekdad says his country owes its significant military achievements against the terrorists to Iran’s unwavering support.

Mekdad made the remarks at a Wednesday meeting with Ali Akbar Velayati, senior advisor to Leader of the Islamic Revolution Ayatollah Seyyed Ali Khamenei, in Tehran.

Iran has been providing military advisory support to the Syrian and Iraqi armies in their campaigns against Takfiri terror groups, enabling them to deal heavy blows to the militants on several fronts.
 
That was then this is now...
Hata Japan aliwah kutawala China yuko wapi sasa?
Hata Germany nusura aitawale dunia.
Hata Roma iliwahi kutawala ulimwengu.
Hata jeshi la Tz lilimpiga Idd Amina akakimbia nchi yake.
Weka mahaba ya kuangalia na kujenga hoja kwa kuzingatia sijui hawa ni wajahidin sijui hawa ni wakina nani...
Huwezi kuwa under-estimate uwezo wao kwasasa hawa Waajemi.
Hao waarabu hawana kitu zaidi ya kupenda misifa !
 
Washamba tu!

Iran ina jeshi lenye wanajeshi kama laki tano lakini walivyo washamba mkuu wa majeshi ana cheo cha meja jenerali ?!!

Halafu kamanda wa landforces ni brigedia! Wakati katika well civilized countries brigedia ni field officer !
acha upuuzi unahisi akili zako ziko juu ya watu wa irani wanaohangaika na nyukilia wewe unamlilia magufuli njaa?
 
Kwanza kumbukeni vita vya Iran na Iraq... Kama kuna baadhi yenu hata mlikuwa mmezaliwa??? [emoji115] [emoji87] nadhani msinge subutu kutamka hizo cheapest blah blah zenu [emoji113].... And now Iran has won in Syria
 
Kwanza kumbukeni vita vya Iran na Iraq... Kama kuna baadhi yenu hata mlikuwa mmezaliwa??? [emoji115] [emoji87] nadhani msinge subutu kutamka hizo cheapest blah blah zenu [emoji113].... And now Iran has won in Syria
Are you living in the past?
 
Halijapatikana jina zuri la kuanzishia vita! Iran ni urojo tu.

Watu weupe wote ni wanyama lakini waarabu licha ya unyama lakini pia ni wakatili sana. Ni hasara kwa dunia.
Kwa wewe unavyojua kuwa Iran ni waarabu??
 
Back
Top Bottom