Unknown philosopher
Member
- Sep 3, 2022
- 40
- 90
But Israel inashutumiwa sana koz mosad ndo wahusika wakuuOkay!
Tukumbuke kuwa, bado kuna issue ya kusudi (intent) na mwenye kusudi, ambapo katika case hii, mwenye kusudi bado hajajitokeza hadharani na wala aliyeshambuliwa hajatoka rasmi na kumthibitisha mwenye kusudi. Suala ambalo linakosa vigezo kamili vya kutambulika kama ugaidi kwa viwango vya kimataifa vinavyokubalika na jumuiya ya kimataifa.
Of course, Israel inashutumiwa. Ila tulichokuwa tunajadili ni kuhusu maana sahihi ya neno "ugaidi".But Israel inashutumiwa sana koz mosad ndo wahusika wakuu
Yeaah apo tafsiri ya ugaid ni changamoto but mara nyingi inhushwa na uislamu yaan ikitokea mauwaji yoyote kama aliyeua si muislamu inakua so shida but akiwa muslim that is terrorist........ dunia ina mambo😁Of course, Israel inashutumiwa. Ila tulichokuwa tunajadili ni kuhusu maana sahihi ya neno "ugaidi".
Kila mmoja humu anaweza kuwa na maana yake tofauti. Hata nchi mbalimbali duniani zina tafsiri na sheria zake tofauti-tofauti kuhusu suala la ugaidi. Kwa maana hiyo, sio sahihi sana kujikita katika tafsiri na sheria hizo.
Kwa maoni yangu, ni sahihi zaidi kutumia maana na vigezo vinavyokubalika katika ngazi ya kimataifa (jumuiya ya kimataifa) ambayo pia ina sheria, mikataba pamoja na miafaka mbalimbali inayohusu suala la ugaidi duniani.
Maeneo kama yapi na yapi MKUU ambayo yakipigwa unajua hawa MAGAIDI ndio wametenda hayaNdio!
Kama unadhania shambulio la kwenye ile ndege lilikua la bahati mbaya kazi ipoItajibu kwa nani? Kwani mhusika anajulikana?
Pia, tatizo moja kubwa kwao, majibu (retaliation) yao huwa hayako 'tactical'!
Mwaka juzi waliishia kushambulia ndege ya kiraia ya Ukraine na kuua wasafiri wote waliokuwemo ndani huku wengi wao wakiwa ni raia wa Iran.
Leta state tuioneHabari imeandikwa na vyombo kibao na hata Iran wametoa statement yao.
Hakuna mwingine bali Israel akisaidiwa na shoga zake wa magharibi. Hapo ndiyo mimi huwa nawadharau Waarabu, maana wao wanamchukia Muirani kwa sababu dhehebu lake la dini ya Kiislamu ni tofauti na Waarabu. Divide and rule inafanya kazi kweli. Ila sasa naona BRICS inakuwa tishio kwa Magharibi. BRICS ikiimarika vikwazo vyote vya madharibi vitakufa kifo cha mende.kimsboy iran ina teketea uko
[emoji1130][emoji95][emoji91]The Mejlis of Iran will send a commission to Isfahan to investigate the UAV attack on a military plantKatafute mtandaoni ipo.
Hiki ndicho kilichotokea Iran, mengine ni propaganda.Kama drones zimerushwa toka ndani ya iran,, hana justification ya kukurupuka kushambulia nchi yeyote,
Halafu hii habari imejaa propaganda nyingi sana, eneo lishambuliwa na drone , wanadai ni moja tu, na shambulio halikufaulu, drone moja ilipigwa, mbili zilinasa kwenye drone net, zikalipuka bila kuleta madhara makubwa,
Tunasubiri confirmation ya picha za satelites kutoka maeneo yanayodaiwa kushambuliwa