Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,500
- 7,104
Khaaa Mzee umenichekesha sana, ndugu yangu yaaniNa hao wanaofunika kichwa ndo mmoja wao kanipa gonno hapa naugulia
Khaaa Mzee umenichekesha sana, ndugu yangu yaaniNa hao wanaofunika kichwa ndo mmoja wao kanipa gonno hapa naugulia
Mkuu lazima ufahamu kwamba Qur-an ndio new revelation ambayo ndani yake kuna hizo habari zooote za hivyo vitabu vinne unavyodai hakuna verse yake ata moja, Quran imezungumzia habari za Taurat, Injil na Zabur. Jitosheleze kuisoma Qur-an vizuri na uifahamu utapata habazi zote za hivyo vitabu vilivyopita ndio maana ya New Revelation.Weka wazi uislamu ulitambulishwa rasmi lini? kuna waislamu wanasema ulitambulishwa toka Adamu kuumbwa na kuna vitabu vya kiislamu kabla ya Muhammad vilikuwepo na vilikuwa vinatumiwa na waislamu , Kuna kitabu cha Muislamu Musa, Isa, Daudi n.k (ila hakuna ata verse moja ya ivyo vitabu imebaki)
Msome mtoa mada , kasema uislamu ulianza lini? na wakati kuna madai tofauti na alivyodaiMkuu lazima ufahamu kwamba Qur-an ndio new revelation ambayo ndani yake kuna hizo habari zooote za hivyo vitabu vinne unavyodai hakuna verse yake ata moja, Quran imezungumzia habari za Taurat, Injil na Zabur. Jitosheleze kuisoma Qur-an vizuri na uifahamu utapata habazi zote za hivyo vitabu vilivyopita ndio maana ya New Revelation.
Lakini pia kumbuka kwamba hakutakuwa na Revelation nyengine ukitoa Qur-an, Quran ndio ya mwisho na hakutakuwa na Mtume mwengine.
Soma Quran mkuu ndio new revelation utapata habari za hivyo vitabu usijitie pamba za masikio., soma Qur-anMsome mtoa mada , kasema uislamu ulianza lini? na wakati kuna madai tofauti na alivyodai
Alafu hivyo vitabu vya waislamu vinatajwa tu viliwahi kuwepo ila hakuna ushahidi ata mstari mmoja ulibaki vyote vilipotea
Embu tuambie toka kitabu cha mwisho kupotea ilimchukua Allah mda gani kuleta Koran?
Koran nimesoma sanaSoma Quran mkuu ndio new revelation utapata habari za hivyo vitabu usijitie pamba za masikio., soma Qur-an
Hiyo interval ya kutoka Mtume hadi Mtume na kuteremshiwa kitabu chake ipo pia nikitulia nitakuambia ni jambo linahitaji reference kidogo
Hujasoma Qur-an mkuu na kama umesoma hukuifahamu usingekuja na maswali haya., nilikuambia kuhusu yaliyomo katika Quran ni pamoja na Mitume iliyopita na vitabu vyao vyote, nikakwambia Quran ndio New Revelation lakini bado hujataka kuituma akili yako na kuifahamu Quran.Koran nimesoma sana
Vitabu vya waislamu wa kabla ya Muhammad vilipotea , swali rahis sana toka kitabu cha mwisho kupotea allah alikaa mda gani ndio akaleta kingine?
Na ni kina nani walihusika kupoteza vitabu vya Allah?
Kama umeshindwa maswali yangu sema umeshindwa ,usiandike mashahiriHujasoma Qur-an mkuu na kama umesoma hukuifahamu usingekuja na maswali haya., nilikuambia kuhusu yaliyomo katika Quran ni pamoja na Mitume iliyopita na vitabu vyao vyote, nikakwambia Quran ndio New Revelation lakini bado hujataka kuituma akili yako na kuifahamu Quran.
Huko kwenye biblia yenu si muna agano jipya na la kale, sasa kama kuna jipya lile kongwe ni la nini tena na kila kimo kwenye agano jipya??? ni mfano tu nakupa maana ya new revelation
Kuna mtume na nabii mwamposa vipi unalizungumziaje hili..Mkuu lazima ufahamu kwamba Qur-an ndio new revelation ambayo ndani yake kuna hizo habari zooote za hivyo vitabu vinne unavyodai hakuna verse yake ata moja, Quran imezungumzia habari za Taurat, Injil na Zabur. Jitosheleze kuisoma Qur-an vizuri na uifahamu utapata habazi zote za hivyo vitabu vilivyopita ndio maana ya New Revelation.
Lakini pia kumbuka kwamba hakutakuwa na Revelation nyengine ukitoa Qur-an, Quran ndio ya mwisho na hakutakuwa na Mtume mwengine.
Hakuna wa.. f.. r.. j. wazuri kama waarabu, ni washenzi hakuna mfano, eti ndio wameleta uislam!! ha ha ha ha!! dini ni uzombiHuko roma papa amebariki ushoga nenda kaolewe!
Hivyo vitabu vya mchongo tu, Adam, mussa wala sijui nani ni hadithi za kubunibuni tu hazina mbele wala nyuma, We Mungu gani hawezi kujipigania mpaka mkalipue watu kumpigania, mnachinja wasioitaka dini yenu kumpigania!! Mungu hapiganiwi anajipigania ana uwezo mkubwa, sio hiyo habari ya mavitabu yenu yaliyoletwa kwenye majahazi.Weka wazi uislamu ulitambulishwa rasmi lini? kuna waislamu wanasema ulitambulishwa toka Adamu kuumbwa na kuna vitabu vya kiislamu kabla ya Muhammad vilikuwepo na vilikuwa vinatumiwa na waislamu , Kuna kitabu cha Muislamu Musa, Isa, Daudi n.k (ila hakuna ata verse moja ya ivyo vitabu imebaki)
Mwamposa anaganga njaa utume kapewa na nani? kama huna hoja za maana bora tuishie hapaKuna mtume na nabii mwamposa vipi unalizungumziaje hili..
Acha kukaza fuvu hilo..njoo jpl ukanyage mafuta na ule keki ya upako mapepo yakutoke.
Karibu sana.
#MaendeleoHayanaChama
Uislamu umekataza kuua labda kwa hakihilo halikuuhusu mpe mafundisho akikaidi mwache mambo ya kuuwana yanatoka wapiii sasa kuna mahali umeagizwa mtu akikosea umuuwe??
Na yeye amekutaka u-reason ndani ya misingi yake na siyo utakavyo wewe.Mungu anetuumba kwa mfano wake maana yakekatupa uwezo wa ku-reason
Tanzania ni nchi isiyo ya kidini ni sisi raia tu ndiyo wenye dini.Mbona huku kwetu wake zenu hua hawavai
Kama DINI haitamuingiza mtu huko mbinguni!Unaonaje sasa uende ukaufunue uchi wa mzazi wako kwa matamanio tuone kama ndiyo utaingia mbinguni.Kwa maana ni dini pekee ndiyo zimezuia mtu kuufunua uchi wa wazazi wao na atakaye fanya kinyume na katazo hilo,hasira ya Mwenyezi Mungu itakuwa juu yake.Lakini mjue mnahangaika bure kwa ujinga wenu hakuna dini itakayomuingiza mtu mbinguni, hizi dini ni za hapa hapa duniani.
Sasa unasema leo waislamu ni wengi wakati unasahau kwamba ni dini ambayo eti ukishaingia hauruhusiwi kutoka na ukitaka kutoka unakabiliwa na kifo sasa hiyo ni dini gani, bure kabisa.
Na yeye amekutaka u-reason ndani ya misingi yake na siyo utakavyo wewe.
Na ndiyo maana aliyekiuka sheria na kanuni,alikamatwa na kupewa adhabu kisha akifia mahabusu.Na wale waliojaribu kuandamana wamekula kibano pia.Wingi wa nyumbu kwenye hifadhi hakuwafanyi kuwa wafalme wa mwitu.
Ukisikia neno KUTAMBULISHWA wewe unaelewa nini?.Weka wazi uislamu ulitambulishwa rasmi lini? kuna waislamu wanasema ulitambulishwa toka Adamu kuumbwa na kuna vitabu vya kiislamu kabla ya Muhammad vilikuwepo na vilikuwa vinatumiwa na waislamu , Kuna kitabu cha Muislamu Musa, Isa, Daudi n.k (ila hakuna ata verse moja ya ivyo vitabu imebaki)
Neno KUANZA na neno KUTAMBULISHWA,ni maneno yenye maana moja?.Msome mtoa mada , kasema uislamu ulianza lini? na wakati kuna madai tofauti na alivyodai
Alafu hivyo vitabu vya waislamu vinatajwa tu viliwahi kuwepo ila hakuna ushahidi ata mstari mmoja ulibaki vyote vilipotea
Embu tuambie toka kitabu cha mwisho kupotea ilimchukua Allah mda gani kuleta Koran?
Subhanallah!Wanamtetea Mungu asiyeweza kujitetea.