Iran Threatens To Strike First!

jmushi1

Platinum Member
Nov 2, 2007
24,987
22,515
Wanadai si lazima washambuliwe kwanza, wanasema mambo ya kusubiri hadi washambuliwe hayapo tena.
120221015337-iran-military-story-top.jpg


Habari zaidi gonga chini...

Iran threatens preemptive action - CNN.com
 
I spoke to a Persian friend akasema internally Govt haina kabisa support ya population... sasa sijui wanataka kufanya nini kwa kweli.
 
Sawa, naona Sare nzuri za kijeshi Lakini such preemptive actions yaonyesha wako na jambo wanafanya sio haki
 
Sawa, naona Sare nzuri za kijeshi Lakini such preemptive actions yaonyesha wako na jambo wanafanya sio haki
Lets wait and see, sometimes ni rhetorics tu ili kujilinda na maadui, however Iran si wa kupuuziwa, sidhani kama west wataingia kichwa kichwa...

@Mwali, ni kweli unayosema, serikali yao hina sapoti kubwa sana ya wananchi kama wanvyoamini ama kutaka kutuminisha, hakuna mwananchi atakayetaka kuona vita vya kibeberu, unless kama na wao washakuwa brainwashed.
 
Mungu aepushe hili!
Obama baada ya kupata taarifa hizo, alifanya kikao cha dharura na waziri wake wa ulinzi Pannetta.

Kiukweli Iran naona wameamua iwe mbaya, na hiyo ni a smart move kwa upande wao, kwasabu kama nilivyosema huko nyuma, subiri subiri kwa Iran wont be on their side.

This is the time wanatakiwa ku make it or break it, kama ni kweli wanahisi kuwa interests zao ziko hatarini, basi ni bora tu wa strike first kwasababu wako kwenye position ambayo ni better kuliko baadae endapo vikwazo vitawa cost na kuwadhoofisha ama kama Europe na washirika wake wataregain influence na momentum ya hoja yao against mpango wa nyuklia wa Iran, kuhusiana na uvamizi ili kuufuta mpango hu nk.
 
Lets wait and see, sometimes ni rhetorics tu ili kujilinda na maadui, however Iran si wa kupuuziwa, sidhani kama west wataingia kichwa kichwa...

@Mwali, ni kweli unayosema, serikali yao hina sapoti kubwa sana ya wananchi kama wanvyoamini ama kutaka kutuminisha, hakuna mwananchi atakayetaka kuona vita vya kibeberu, unless kama na wao washakuwa brainwashed.

Iran walikuwa washa kadiria miltary action kitambo walikuwa wanatafuta kisingizio. wajumbe wakutafuta vifaa vya kinyuklia wamezozana na kuzuiawa kutofanya upelelezi katika site moja ya kijeshi.
 
Iran walikuwa washa kadiria miltary action kitambo walikuwa wanatafuta kisingizio. wajumbe wakutafuta vifaa vya kinyuklia wamezozana na kuzuiawa kutofanya upelelezi katika site moja ya kijeshi.
Obvious wameamuwa iwe mbaya, wamewazuia wakaguzi wa UN kukagua site ya nukes, nadhani wanahisi kuna CIA na MOSSAD ndani.

Na wanajuwa kuwa this will provoke more tensions.
 
Salute to Ahmad Nijad
Jamaa ni mjanja sana, ngoja tusubiri west na Israel kama watafanya kitu gani, sema moto kila mahali huko middle east, na Syria nako Iran yumo.

Sasa tatizo ni kama Iran wataanza kuattack first kama wanavyodai, what will be the reaction?

Halafu ni miaka imepita mingi tu huku kila mara wakisema Iran ina either miaka miwili or so kabla ya kuwa na bomu la nyuklia, na wao Israel and west wanajiridhisha kuwa mashambulizi ya hapa na pale ambayo wamekuwa wakiyafanya kwenye sites hizo pamoja na kuwauwa baadhi ya wanasayansi, wanaamini kuwa ndivyo vimewarudisha nyuma wairan kwenye speed yao ya ku posses neuclear bomb, lakini hawajui for sure uwezo halisi wa muiran.

Na pia ile technolojia waliyoitumia ya kui manipulate system na kui guide ile ya predator drone na kuishusha bila kuipiga bomu wala kuharibika, iliwashtua sana US, kwasababu wana amini kuwa wairan watakuwa wamejifunza mambo mengi sana kuhusiana na technology hiyo pamoja na inteligensia kutoka kwenye vifaa vya mawasiliano vya hiyo drone.
 
Iran pia imejifunza mengi, hasa katika vita ya mwezi mmoja vya Hizbulah na Israel. Tanks za kuaminika zaa Israel ziliharibiwa kwa wingi kiasi cha kuwashangaza wazayuni!
 
Bora wakinukishe kwanza mimi sa hivi sina muvies za kuangalia torrents zote nimeshaona so I'm ready for the live show
 
utaona kuwa hii miaka yote Iran imekuwa ikijikakamua kujiundia silaha kali na kujiandaa vilivyo. hata utakuta watu wao wanalala njaa. hii ndio tatizo kubwa za nchi za kigaidi. US defence mechanisms leaked ambapo Marekani watakua na kibarua kigumu.


2vxnbys.jpg
 
Back
Top Bottom