Trump, Rais wa Marekani aliyesimamisha vita kwasababu ya makombora yaliyoshambulia Tel Aviv
Tumia akili japo kidogo Israel kwenye vita vya siku 12 ndiyo ilianza kuishambulia Iran kwenye usitishwaji mapigano unajua ilikuwaje mpaka aloyechokozwa akubali Ceasefire?
Najua swali hili litakuwa gumu kwako Acha nikusaidie tu!!
Baada ya Iran kupata kipondo cha kufa mtu kwa makamanda wake waandamizi akiwemo Mkuu wa majeshi IRGC ilikuwa imeparanganyika hawakuwa na uwezo tena wa kuzuia ndege-vita za Israel kupiga zinapotaka na baada ya siku 12 Iran walishukuru kwa Trump kusimamisha hiyo vita!! Maana walipata muda wa kupumua.
Katika vita hivyo ni dhahiri Israel aliibuka kidedea kwa kuweza kuilemaza mifumo yote ya ulinzi wa anga kulikosababisha Ndege-vita zao kutamba popote nchini Iran na kuweza kupiga popote bila kizuizi chochote na hakuna ndege-Vita yao iliyowrza kuangushwa na magaidi hao wa Iran.
Kuhusu Mashambulizi ya Iran nchini Israel hatakuwa na Impact kubwa kwa sababu makombola mengi sana yalipopolewa na mengine yaliangukia sehemu za wazi.
Kwa siku 12 hakuna askari wa Israel hata mmoja aliyekuwa na Iran alipoteza askari wengi sana Makamanda waandamizi akiwemo Mkuu wa Majeshi na ni Ujinga kudai kuwa Iran alishinda vita hivyo bila kuwa na Makamanda waandamizi na Mkuu wa Majeshi.
Makamanda wa IRGC waliuawa kwa kuviziwa. Hakukuwa na vita, walikuwa katika mkutano wa kawaida Israel ikawaua. Ni wakati wa mazungumzo.
Ni ujinga uliopitiliza kwenye vita unapoleta visingizio vya
Kuviziwa hii inaonyesha wazi ni jinsi gani IRGC ilivyo dhaifu hawana uwezo wa kujilinda wenyewe na viongozi wao na ndiyo maana hata Ayatollah Ali Khamenei aliliwa kichwa asubuhi tu!!
Jeshi makini huwezi kuua Makamanda wake wakuu maana ukiua hao umeua Jeshi zima, Jeshi Makini huwezi kuua mkuu wa nchi kiulaini hivyo!!
Kinyume chake Jeshi la Israel limejizolea umaarufu mkubwa kwa kuwaangamiza viongozi wa Jeshi dhaifu la Iran
Mpaka leo hakuna kiongozi yeyote wa Israel aliyeuwawa zaidi tu ya Propaganda za kujifariji kuwa Netanyahu wamemuua wakati si kweli.
Kwa upande wa viongozi wa kijeshi hakuna hata Coplo aliyeuwawa narudia tena ni Ujinga kuendelea kuaminisha watu kuwa Iran alishinda vita vya siku 12 hata vita vya sasa ni ujinga kufikiria Iran anaweza kushinda.
Rais Trump na wewe nani anajua !
Watu ambao hawajapitia mambo ya kijeshi mara zote hawawezi kumwelewa Trump katika Statements zake Trump anaweza kusema hili kumbe anamaanisha jingine kabisa!!
Leo Israel inachukua kichapo ambacho haijawahi kupigwa tangu mwaka 1948.
BB Netanyahu yupo katika TV akiziomba nchi za Ulaya zishiriki vita kwa kujua hawezi yeye na Marekani
BB Netanyahu anasema '' Taifa linapitia maumivu makali
Unasahau jinsi Iran inavyopoteza viongozi wa kijeshi na viongozi wengine?
Umesahau jinsi Jeshi la anga la Iran ambavyo halionekani kuonyesha upinzani kwa Ndege-vita za Israel na Marekani nchini Irani? Umesahau Mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran ambayo imeshindwa kuzuia Ndege-vita za Israel kupiga zinapotaka huko Iran? Au umesahau nini wakati Meli-Vita za Iran 36 zimezamishwa? Hilo hulioni umekalia ushabiki maandazi!!