Iran; Jerusalem itageuka kuwa kaburi la Israel

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,992
17,892
Jenerali Jaafari: Quds Tukufu Itakuwa kaburi la utawala bandia wa Kizayuni
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, lengo kuu la Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuubomoa Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds. Ameongeza kuwa: Mji wa Quds utakuwa kaburi la utawala bandia wa Kizayuni.
Meja Jenerali Mohammad Ali Jaafari ameyasema hayo Jumamosi wakati akizungumza na maafisa katika Kamandi Kuu ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu. Akiashiria uamuzi wa hivi karibuni wa Rais Donald Trump wa Marekani kutambua rasmi mji wa Quds kama mji mkuu wa utawala bandia wa Israel, ameongeza kuwa: "Hayo yote ni utangulizi wa kuangamiza Msikiti wa Al Aqsa na Waislamu wanapaswa kufahamu kuwa, iwapo hawatachukua hatua za haraka kukabiliana na njama hii chafu, basi watapoteza wakati kwa kasi."
Meja Jenerali Jaafari amesema Marekani na utawala wa Kizayuni zimetenda ujinga mkubwa zaidi wa kihistoria dhidi ya Quds Tukufu na kuongeza kuwa: "Uamuzi huu ni matokeo ya mazungumzo na maafikiano yaliyofikiwa na baadhi ya nchi za Kiarabu hasa Saudia Arabia." Amefichua Marekani ilizifahamisha nchi hizo za Kiarbau kuhusu uamuzi huo dhidi ya Quds miezi kadhaa iliyopita.
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ameendelea kusema kuwa: "Utawala wa Saudi Arabia inataka Waislamu walaani tu kwa maneneo jinai ya hivi karibuni ya Marekani na waridhike tu na kutoa taarifa za kulaani." Amesema Saudia imefikia mapatano na Markeani pamoja na Israel kutochukua hatua zozote za kutetea na kuulinda mji wa Quds na kuhakikisha kuwa kadhia ya Palestina inaondlewa katika duara la masuala muhimu ya Ulimwengu wa Kiislamu.
Meja Jenerali Jaafari ameashiria kusambaratika njama za maadui wa Umma wa Kiislamu na kusema: "Umma wa Kiislamu mara hii pia, sawa na kadhia za Kuristan ya Iraq, Lebanon na Yemen, itasambrataisha mehsabi ya maadui na kuwaadhibi wasaliti.
Source;parstoday
 
Hahaha! Mimi kitu nachokishangaa, Trump kaongea tu kuwa anaitambua Jerusalem kama mji mkuu wa esrael basi dunia nzima ime react. Alafu kuna watu watakuja kupiga kelele USA sio lolote, Yaan USA kaongea neno moja tu huko wengine wanatangaza vita, wengine wanaandamana, wengine mala ooh saudia atatusaliti. Hizi ndio zinazofanya niamini kuwa dunia inaendeshwa na tukio lolote litakalo anzishwa na USA, kila siku Iran anatamba kuwa ataifuta esral ila hakuna hata anayetingushika. Ila naamini esrael au Marekani akitangza kuifuta Irani nahisi dunia itakuwa kwenye tension kubwa. Kitu nilichojifunza ni kuwa Marekani bado anaitawala dunia kwa vyovyote iwe kauli zake au chochote atakachokifanya.
 
Israel ni Taifa teule la Mungu,huo msikiti lazima ubomolewe.Wale walioudhuria mkutano wa injili Masasi mwezi wa tisa ambao alikuwa anaubiri muisraeli yule alisema kabisa msikiti tunabomoa na maandalizi na vifaa vyote vya ujenzi wa kanisa tumekamilisha.Yule muubiri wa kiyahudi alitamba kuwa atayeye vita itakapoanza atapigana.Waulizeni makanisa ya kipentekoste yaliyokuwa wenyeji wa mkutano huo Masasi watawaeleza,mskiti LAZIMA UBOMOLEWE.
 
Teh teh sera ya divide and rule bado ni silaha kubwa kwa U.S maana naona Trump aliamua kuzivuruga kwanza nchi za kiarabu za Qatar, Saudi Arabia nakadhalika ili wasipatane wala kuwa na umoja wa kivita mara wanapochokozwa/dola ya kiislamu inapochokozwa,

baada ya kukamilisha mkakati wake wa kuwagawa(divide) sasa ametoa tamko la kuwatawala(rule), tamko lenyewe ndilo hili 'JERUSALEMU NI MJI MKUU WA ISRAELI'

Trump katoa tamko hili muda ambao kimahesabu ni muda mbaya kwa dola za kiislamu maana wengi wao hawaelewani kiasi cha kuungana na kupigana vita na Israeli.
 
Teh teh sera ya divide and rule bado ni silaha kubwa kwa U.S maana naona Trump aliamua kuzivuruga kwanza nchi za kiarabu za Qatar, Saudi Arabia nakadhalika ili wasipatane wala kuwa na umoja wa kivita mara wanapochokozwa/dola ya kiislamu inapochokozwa,

baada ya kukamilisha mkakati wake wa kuwagawa(divide) sasa ametoa tamko la kuwatawala(rule), tamko lenyewe ndilo hili 'JERUSALEMU NI MJI MKUU WA ISRAELI'

Trump katoa tamko hili muda ambao kimahesabu ni muda mbaya kwa dola za kiislamu maana wengi wao hawaelewani kiasi cha kuungana na kupigana vita na Israeli.

Ingelikuwa waarabu kitu kimoja na wakashirikiana kwa mambo mbali mbali..wazungu wasingethubutu kuwavuruga....lakini waarabu wao kwa wao wanapigana vita,, nchi za western pia zinachangia kuvuruga amani tena sio kidogo.......
 
Tat
Ingelikuwa waarabu kitu kimoja na wakashirikiana kwa mambo mbali mbali..wazungu wasingethubutu kuwavuruga....lakini waarabu wao kwa wao wanapigana vita,, nchi za western pia zinachangia kuvuruga amani tena sio kidogo.......
tatizo hawana technology, nimeshangaa kusikia Saudia kanunua silaha za dola bil00 hapo hapo qatar kanunua na yeye za dola bil30, wote wanauziwa na mmarekani, unafikili wanaweza kupumua kweli hawa! Nilishangaa
Kuona trump alivyoenda saudia, mataifa karibia yote ya kiarabu yakaenda kumsujudia. Nikajiuliza kuwa hawa wa Arab hawamjui mchawi wao?
 
H
Jenerali Jaafari: Quds Tukufu Itakuwa kaburi la utawala bandia wa Kizayuni
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, lengo kuu la Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuubomoa Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds. Ameongeza kuwa: Mji wa Quds utakuwa kaburi la utawala bandia wa Kizayuni.
Meja Jenerali Mohammad Ali Jaafari ameyasema hayo Jumamosi wakati akizungumza na maafisa katika Kamandi Kuu ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu. Akiashiria uamuzi wa hivi karibuni wa Rais Donald Trump wa Marekani kutambua rasmi mji wa Quds kama mji mkuu wa utawala bandia wa Israel, ameongeza kuwa: "Hayo yote ni utangulizi wa kuangamiza Msikiti wa Al Aqsa na Waislamu wanapaswa kufahamu kuwa, iwapo hawatachukua hatua za haraka kukabiliana na njama hii chafu, basi watapoteza wakati kwa kasi."
Meja Jenerali Jaafari amesema Marekani na utawala wa Kizayuni zimetenda ujinga mkubwa zaidi wa kihistoria dhidi ya Quds Tukufu na kuongeza kuwa: "Uamuzi huu ni matokeo ya mazungumzo na maafikiano yaliyofikiwa na baadhi ya nchi za Kiarabu hasa Saudia Arabia." Amefichua Marekani ilizifahamisha nchi hizo za Kiarbau kuhusu uamuzi huo dhidi ya Quds miezi kadhaa iliyopita.
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ameendelea kusema kuwa: "Utawala wa Saudi Arabia inataka Waislamu walaani tu kwa maneneo jinai ya hivi karibuni ya Marekani na waridhike tu na kutoa taarifa za kulaani." Amesema Saudia imefikia mapatano na Markeani pamoja na Israel kutochukua hatua zozote za kutetea na kuulinda mji wa Quds na kuhakikisha kuwa kadhia ya Palestina inaondlewa katika duara la masuala muhimu ya Ulimwengu wa Kiislamu.
Meja Jenerali Jaafari ameashiria kusambaratika njama za maadui wa Umma wa Kiislamu na kusema: "Umma wa Kiislamu mara hii pia, sawa na kadhia za Kuristan ya Iraq, Lebanon na Yemen, itasambrataisha mehsabi ya maadui na kuwaadhibi wasaliti.
Source;parstoday
Hata Goliat alimwambia same words Daud ila mwisho Goliat alikatwa kichwa na kijana mdogo Daud.... Iran wanacheza na moto lazima uwaunguze...
 
Israel ni Taifa teule la Mungu,huo msikiti lazima ubomolewe.Wale walioudhuria mkutano wa injili Masasi mwezi wa tisa ambao alikuwa anaubiri muisraeli yule alisema kabisa msikiti tunabomoa na maandalizi na vifaa vyote vya ujenzi wa kanisa tumekamilisha.Yule muubiri wa kiyahudi alitamba kuwa atayeye vita itakapoanza atapigana.Waulizeni makanisa ya kipentekoste yaliyokuwa wenyeji wa mkutano huo Masasi watawaeleza,mskiti LAZIMA UBOMOLEWE.
Pole sana kijana. Primitive.
 
Umepotea nj
Israel ni Taifa teule la Mungu,huo msikiti lazima ubomolewe.Wale walioudhuria mkutano wa injili Masasi mwezi wa tisa ambao alikuwa anaubiri muisraeli yule alisema kabisa msikiti tunabomoa na maandalizi na vifaa vyote vya ujenzi wa kanisa tumekamilisha.Yule muubiri wa kiyahudi alitamba kuwa atayeye vita itakapoanza atapigana.Waulizeni makanisa ya kipentekoste yaliyokuwa wenyeji wa mkutano huo Masasi watawaeleza,mskiti LAZIMA UBOMOLEWE.
Umepotea njia mkuu..
 
And we think we've had it bad �

Read this speech from the prime minister of Israel..... Benjamin Netanyahu, with all Glory to God.

Mr. Nethanyahu said:
Only 70 years ago! The Jews were taken to the slaughter like sheep.

60 years ago! We had no country. No Army.

Seven Arab countries declared war on our small Jewish state, just a few hours after its creation!

We were only 650 Jews, against the rest of the Arab world! NO IDF (Israel Defense Army).
No powerful Air Force, only brave people with nowhere to go.

Lebanon, Syria, Iraq, Jordan, Egypt, Libya, Saudi Arabia all attacked us at the same time.

The country that the United Nations gave us was 65 % desert. The country was out of nowhere!

35 years ago! We fought the three most powerful armies in the middle east, and we swept them... yes... in six days.

We fought against various coalitions of Arab countries, which had the modern armies and many Soviet weapons, and we had always beaten them!

Today we have:
*A country*
*An army*
*A powerful air force*
*A State-of-the-Art economy which exports millions of dollars*
*Intel - Microsoft - IBM develops products at home*
*Our doctors receive awards for medical research*

We make the desert bloom, and sell oranges, flowers and vegetables all over the world.

Israel has sent its own satellites into space!
Three satellites at the same time!

We are proud to be at the same rank as: The United States, which has 250 million inhabitants,

Russia, which has 200 million inhabitants

China, which has 1.3 billion inhabitants

Europe - France, Great Britain, Germany - with 350 million inhabitants..

The only countries in the world to send objects into space! Israel is now part of the family of the nuclear powers, with the United States, Russia, China, India, France, and Great Britain.

We have never officially admitted it, (but everyone knows it) and say that only 60 years ago, we were led, ashamed and hopeless, to slaughter!

We have extirpés the smoking ruins of Europe, we have won our wars here with less than nothing. We built our little "Empire" from nothing.

Who's Hamas to scare me? To terrify me? You make me laugh!

Passover was celebrated; Let's not forget what this is about.

>We survived Pharaoh.
>We survived the Greeks.
>We survived the Romans.
>We survived the inquisition in Spain.
>We have the pogroms in Russia.
>We survived Hitler.
>We survived the Germans.
>We survived the Holocaust.
>We survived the armies of seven Arab countries.
>We survived Saddam.
>We will continue to survive the enemies present today too.

Think of any time in human history! Think about it, for us, the Jewish people, the situation has never been better! Then let's face the world.

Let us remember: All nations or cultures who once tried to destroy us, no longer exist today - while we still live!

Egypt?
The Greeks?
Alexander of Macedonia?
The Romans? (does anyone still speak Latin these days? )
The Third Reich?

And look at us,
>The Bible Nation.
>The slaves of Egypt.
>We are still here.

And we speak the same language! then, and now! Arabs don't know yet, but they will learn that there is a God ....as long as we keep our identity, we are forever.

So forgive us for not worrying.
>Not to cry.
>Not to be afraid.
>Things are fine here.
>They could certainly get better.

However: Don't believe the media, they don't tell you that parties continue to take place, people continue to live, people keep coming out, people continue to see friends.

Yes, our morale is low. So what? Only because we mourn our deaths, while others rejoice in the blood shed. That is why we will win, in the end.

He never sleeps or will ever sleep.... the guardian of Israel.... Yahweh God of Abraham, Isaac and Jacob.

Forward this speech to the whole community, and to people around the world. They are part of our strength.
 
Back
Top Bottom