Iran intercontinental ballistic missile kupiga USA

Iran intercontinental ballistic missile kupiga USA

Hiyo n
Iran itaishambulia America kwenye ardhi yake very soon kwa kutumia ICBM vitu vinasubiri amri mpaa USA aseme maji uji
Ndoto ya bunuasi kama Iran inashindwa kuipiga Israel ambapo JWTZ ukiwatuma kupiga Israel ndani ya miezi 6 watakuwa washafutwa imeshindwa ndio itaweza kupiga marekani ambapo mrusi anaogopa kundulako wew
 
Hiyo n
Ndoto ya bunuasi kama Iran inashindwa kuipiga Israel ambapo JWTZ ukiwatuma kupiga Israel ndani ya miezi 6 watakuwa washafutwa imeshindwa ndio itaweza kupiga marekani ambapo mrusi anaogopa kundulako wew
Iran ipi imeshindwa kupiga Israel??
Yale majengo na kaya 10000 zilizoharibiwa Galilaya,Beit shemesh ni za bwana wako!?
Bandari ya Haifa,Eilat,Haifa refinery plant zilizolipuliwa ni za bwana wako!??
 
Iran hana jeuri hiyo anajua kitakachofatwa ni kufutwa kwenye uso wa dunia......Muhuni pekee aliyewaweza Wamerekani kuwapiga kwenye ardhi yao ni Osama peke yake......na tulishuhudia balaa kwenye kumtafuta...walikua hawaulizi wakipata tu tetesi hata kama ni milimani watalipua mlima wote
Iran sio wepesi hivyo. Unadhani wao hawajajipanga?
 
irani hana teknologia yake msidanganyane, hiyo shahed yenyewe wanayotamba nayo teknolojia ni ya ujerumani, amefanya tu copy&paste, sasa kama ame-reengineer technology ya ujerumani unafikiri wao west hawana uwezo zaidi ya irani? ...
We ndo huna akili....US NDO KACOPY DRONE ZA IRAN
 
Hizi ndio Habari njema sasa.
Sio ule utoto wanaoufanya huko kwa waarabu.

Piga New York au Washington DC. Hata ukishindwa unakuwa umeshinda kishujaa.

Wajue tuu Marekani akipigwa kwenye ardhi yake, atadhihirisha maana halisi ya ukafiri. Hilo wakae nalo kichwani

Kuna hoja nyingine mnatoa kama vile mmekosa akili kabisa!

Tofautisha matamanio na uwezo. Hata kama mtu ukawa na akili ndogo kabisa, unaweza kuamini kuwa Iran ingekuwa na uwezo wa kupiga ndani ya Marekani, asingefanya hivyo?

Pamoja na Iran kutumia hela yake karibia yote kuwekeza kwenye masuala ya vita, lakini haijaweza kufika mbali sana.

Ufahamu kuwa, tangu Ayatollar achukue madaraka, ni marufuku kampuni binafsi au mtu binafsi, ndani ya Iran, kumiliki kisima cha mafuta, wala mgodi wa kuchimba madini. Mali zote za asili zinavunwa na Serikali tu, na sehemu kubwa ya pesa inaishia kwenye silaha na kufadhili makundi ya kigaidi, huku wananchi wengi wakiishi kwenye umaskini mkubwa, hata hivyo, bado haijaisaidia Iran kuwa miongoni mwa military superpowers.

Iran ina uwezo wa kuleta madhara kwa nchi majirani zake, na hata kwa Marekani, lakini haina uwezo kabisa wa kuzishinda kivita nchi kama USA, Israel, Uturuki, Misri au Saudia.
 
We ndo huna akili....US NDO KACOPY DRONE ZA IRAN

Loh! Kiuhalisia umekuwa mgonjwa wa akili au unajifanya ni mgonjwa wa akili?

Aina gani ya drone ya Marekani ni copy ya drones za iran!!
 
Iran itaishambulia America kwenye ardhi yake very soon kwa kutumia ICBM vitu vinasubiri amri mpaa USA aseme maji uji
Iran uwezo wanao, na walishafanya hizo projects miaka ya nyuma ya kutengeneza missiles za kwenda more than 10000 kms..

Juzi hapo alirusha missile ikaenda 4000 kms..

So kitaalamu kama aliweza kurusha 4000 kms ambayo ilikuwa single stage rocket.. akiongeza ikawa 3 stages sawa na 4000x3=12000KMS ... hio range inaipita hadi US..

So Iran huo uwezo anao..
Ni muda sasa kuitandika usa ambayo huwa inavamia wenzake halafu yeye hataki kuguswa kwake...

Nadhani hili linakuja baada ya kuhakikisha bases zake zimekuwa majivu hapo mashariki ya kati sasa anafuatwa nyumbani..
 
Kuna hoja nyingine mnatoa kama vile mmekosa akili kabisa!

Tofautisha matamanio na uwezo. Hata kama mtu ukawa na akili ndogo kabisa, unaweza kuamini kuwa Iran ingekuwa na uwezo wa kupiga ndani ya Marekani, asingefanya hivyo?

Pamoja na Iran kutumia hela yake karibia yote kuwekeza kwenye masuala ya vita, lakini haijaweza kufika mbali sana.

Ufahamu kuwa, tangu Ayatollar achukue madaraka, ni marufuku kampuni binafsi au mtu binafsi, ndani ya Iran, kumiliki kisima cha mafuta, wala mgodi wa kuchimba madini. Mali zote za asili zinavunwa na Serikali tu, na sehemu kubwa ya pesa inaishia kwenye silaha na kufadhili makundi ya kigaidi, huku wananchi wengi wakiishi kwenye umaskini mkubwa, hata hivyo, bado haijaisaidia Iran kuwa miongoni mwa military superpowers.

Iran ina uwezo wa kuleta madhara kwa nchi majirani zake, na hata kwa Marekani, lakini haina uwezo kabisa wa kuzishinda kivita nchi kama USA, Israel, Uturuki, Misri au Saudia.
Israel si nchi ambayo ina uwezo mkubwa kivita...
Israel uwezo wao mkubwa ni kupambana na makundi ya wanamigambo kama Hezbollah na Hamas..

Israel kwa kufahamu hilo ndio maana wana i push US kuingia vitani, maana Israel haina uwezo kukabiliana na Iran..

Israel wepesi sana..
 
Waisrael wataanza kuondoka wenyewe na mizigo yao kwenye Ardhi ya watu👈

Maana ikiwa uwezo wa Makombora ya Iranian unaweza kufika Marekani manake ❗️
Ushawishi wa Israel unaenda kufa kibudu ✍️
 
Hata kiingereza hujui mbwa wewe.
Wacha tukutafsirie.
"Kama marekani itaendelea kuishambulia Iran basi Iran itaanzisha vita kamili. Rezae amesema kwamba kwasasa Iran imeweka mipaka kwenye kujibu mashambulizi ila hilo halitadumu muda mrefu".
Hapo kutoa milio ni wapi Iran ametoa milio!? Mkiambiwa msomw hamtaki.
😄😄😄😄😄😄 Muue
 
Back
Top Bottom