Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 9,000
- 7,618
Kama una Jeshi dhaifu unawezaje kuwaua viongozi wa nchi adui?Assassination ni task tofauti na nguvu za jeshi,watu wakewekeza kwenye assassination kama walivyowekeza Israel hawashindwi kupukutisha hao wateule feki
Kama Iran yeye ana nguvu kuliko Israel nitajie kiongozi yeyote wa Israel waliyemuua!!
Viongozi kote duniani wanalindwa sana ukiweza kumuua basi itakuwa umetumia mbinu za halo ya juu sana kumuua kiongozi huyo.
Kwa Israel kitendo hicho ni rahisi sana kuliko kumsukuma mlevi na kama huamini muulize Hassan Nasrallah aliyekuwa akilindwa kama mboni ya jicho lakini aliangamizwa.
Israel huwezi kuolinganisha na magaidi wa Iran