Kumbuka unazungumzia taifa ambalo limewekewa vikwazo vya kiuchumi since 1979. Embu chukulia ingekua Israel ndio imewekewa vikwazo vya kiuchumi ingekua wapi!??Kaka maandishi mengi huna facts, narudia tena kama iran angekuwa yupo vizuri as you said hapa asingekuwapo leo hapa alipo
Unaizungumzia Israel ambayo inapewa zaidi ya $5 billions na USA for millitary aids na $ 4 billions na zaidi for Tel Aviv government budget. Yani unaitaja Israel ambayo inajazwa misaada ya silaha na fedha toka USA na EU tena unconditional aids. Ilhali Iran kufikia ilipofikia imepitia vikwazo vya kiuchumi na ARMY EMBARGO. Embu iweke Israel nafasi ya Iran je ingetoboa!?Tukienda techniacal terms huend israel akamzidi kwa vifaa, literaly israel na udogo wake wana ndege vita nyingi kuliko hata iran, and that ni airforce . What does iran have? Zaid ya missiles na drones?
Maybe na infantry . Nje ya hapo what else?
Kwa missiles na drones hizo hizo alizonacho Iran anazitumia strategically na anasimama kivita.
Hoja nyingine ya dhaifu bro,unasahau kuwa Iran anashambuliwa na mataifa mawili yenye nguvu ya kijeshi tena yakitumia ndege zaiddi ya 200 kwa wakati mmoja. Embu chukulia kama ingekua hata Ufaransa ndio inashambuliwa na 200+ fighter jets kwa wakati mmoja je ingetoboa!??Ubora wa jeshi unaoimwa kwa uwezo wa kurepel mashambulizi ya adui. And so far iran defence imefeli.
It doesnt mean hawana uwezo but wamefeli.
Hadi hapo tuisifu Iran imeweza kusimama na kujibu mashambulizi na kama isingekua Air defense system zao basi Iran ingekua majivu.
-Vipi USA iliweza ku repel mashambulizi ya Iran katika oambi zake 27 na balozi zake katika mataifa tano ya gulf states??
Tena ulinzi uliopo katika hizo balozi na hizo kambi ni sawa na uliopo USA. Je USA sio dhaifu? Je USA haijafeli?? Tena hapo ni Iran peke yake imelipua kambi zote hizo za USA na balozi za USA kwenye nchi 5 na kuziteketeza kabisa.
-Vipi Israel imeweza kuzuia makombora ya Iran? Je nayo haijafeli?
Iran ilijikita kwa kuunda silaha za range ya middle east. Na sasa wanaunda silaha za ICBM. Mind you wakifanikisha kuziunda USA inaungua. Maana radar zote ambazo USA anazozimiliki zimeshindwa kufanya kazi mid east na ndio hizo hizo zinailinda USA soil.Kuachilia mbali wameshindwa kugusa ardhi ya Us. Means hawana jesh lenye uwezo wa kufika us na kushambulia.
ALIFUKUZWA NARUDIA TENA ALIFUKUZWA. Ufilipino ni swahiba lia lia wa USA visiwa vyake vilipotekwa alilia sana kwa USA amsaidie kuvirejesha. USA alipeleka aircraft carrier na navy fleet South China sea.Sourh china sea america hajafukuzwa, hajataka ku open war front nyingie as china ana us wanategemeana ki uchumi. So usitarajie direct war betwen china na us .
Walipewa onyo na wakarushiwa dongfeng missiles karibia na mpaka wa maji waliokuwepo WAKAGEUZA.
Hoja zako dhaifu.