Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 14,396
- 18,203
Sawa Irani ni kubwa kupita Israeli:
kwahiyo sisi tufanyeje hapo?
kwahiyo sisi tufanyeje hapo?
Bado huna facts kijana, usaliti ndani ya jeshi ni moja ya madhaifu ndani ya jeshi. The fact kwamba mpaka location za viongoz zinajulikana means kuna shidaWe kapime akili zako kama kupoteza viongozi ndio wako chini Kumbuka ni wale wasaliti ndio wanatoa siri kwa kununuliwa kwa mamillion au billion bila vile Israel na USA hawana uwezo wa kugundua wewe upo wapi.
Kula hiyoMifumo ya ulinzi inayolinda Israel na kambi za USA mashariki ya kati ni mifumo ile ile inayolinda Washington DC na Pentagon.
Sasa chukulia Iran ingekua na kombora la kufika USA sijui ingekuaje.
Kambi zako zote 27 zimeshambuliwa kwa wakati mmoja na zimeharibika.
Iran inapigika hatukatai ila Iran imeonesha uanaume.
sasa kwa nini wasiwekeze na wao?Assassination ni task tofauti na nguvu za jeshi,watu wakewekeza kwenye assassination kama walivyowekeza Israel hawashindwi kupukutisha hao wateule feki
Iran amewekeza sana, lakini hata simba akikutana na mbwamwitu wengi watampa changamoto. Halafu, Marekani na Israel wote wanamiliki silaha za nyukilia ambazo wanaweza kuzitumia kama watazidiwa sana na Iran.sasa kwa nini wasiwekeze na wao?
Vipi sina facts hivi wewe unaishi wapi Iran alipewa infomation yote ya Nuclear ya Israel na nani kama sio hao wanajeshi na mossad wa Israel kitu cha kwanza alicho fanya Iran katika mashambulio kule Israel aliwamaliza wote wanao husika na Nuclear na Israel wanaficha sa hivi hawana access tena ya Nuclear side hio Nuclear yao ni kama yai tu kwa sasa.Bado huna facts kijana, usaliti ndani ya jeshi ni moja ya madhaifu ndani ya jeshi. The fact kwamba mpaka location za viongoz zinajulikana means kuna shida
Jeshi la amrekani lina wasaliti jeshini, kiongozi wao ameshafikiwa’ no
Udhaifu wa jeshi ni pamoja na kufeli kuwalinda viongozi wake haswa kufeli si zaidi ya mara moja
Vipi sina fact hivi wewe unaishi wapi Iran alipewa infomation yote ya Nuclear ya Israel na nani kama sio hao wanajeshi na mossad wa Israel kitu cha kwanza alicho fanya Iran katika mashambulio kule Israel aliwamaliza wote wanao husika na Nuclear na Israel wanaficha sa hivi hawana access tena ya Nuclear side hio Nuclear yao ni kama yai tu kwa sasa.
Hebu soma hapa
View: https://www.instagram.com/p/DVlqAXmEk4_/?igsh=MTFhbXdkN3V3bGQwZA==
Hahaha hivi wewe hujasikia babu yenu analalamika Russia intelligence wanampa infomation Iran. Ikiwa USA anasema vile na yeye super power uje wewe uitilie shaka hahaha 😂Russia intelligence claim? How is israel intelligence?
Kwamba na resources zote walizonazo wameishindwa , i doupt that and once again. Hiyo sio indication ya jeshi makini.
When viongoz wako wanapigwa na adui yule yule miaka nenda rudi, wajitafakari
huko kwenye nuclear mbali sana..mbona iran hata sasa makombora yake anayalenga yakatue makazi ya hao viongozi lakini hawafanikiwi na hayafiki? kwa nini wasiwekeze kwenye hilo kama unafikiri ni kazi rahisi?Iran amewekeza sana, lakini hata simba akikutana na mbwamwitu wengi watampa changamoto. Halafu, Marekani na Israel wote wanamiliki silaha za nyukilia ambazo wanaweza kuzitumia kama watazidiwa sana na Iran.
Ukinipa jina hata la diwani wa Israel aliyeuwawa nitaamimi hizi ngano zako!Iran iko juu ya israel kijeshi kutoka na video moja huko youtube?
Kaka fanya more research , else iran isingepoteza viongozi kirahis
Huwezi kulipata hata lile la mfagia barabara kwakuwa hakuna mtu hata mmoja anaruhusiwa kupiga picha wala kuandika na kusambaza tukio lolote lile. Matukio yao yamefungiwa gizani.Ukinipa jina hata la diwani wa Israel aliyeuwawa nitaamimi hizi ngano zako!
Sisi haturopoki tunapoandika humu. Wameufyata mkia wao kwa Iran. Hasara waliyoipata Israel na Marekani is unspeakable. Very huge than expected. Israel will not remain the same for decades.Makobaz bhana 😂
Kelele nyingi, ila vitani mnalambishwa mchanga
Kama mnaona wivu Israel kuwa na USA, nanyi kuweni na Russia na China then moto uko pale pale
Kwahiyo kuua viongozi ndio kuwa na nguvu za kijeshi!?Ukinipa jina hata la diwani wa Israel aliyeuwawa nitaamimi hizi ngano zako!
Ujinga ntupu unawasumbua Israel huwezi linganisha na Iran!! Ninyi mnaumizwa na Mahaba niue tu wala si chochote.Iko wazi, yaani ukiacha wapigane peke Yao, Israel hatoboi wiki