Iran has killed all spies

Iran has killed all spies

Kwan HIZBULLAH Ndio Wenye Nchi HIZBU c Nikakikundi tu Chawanaharakati Kilichojikusanya Kupambana Na ISRAHELL Sasa wanashindwa Vipi Kukifuta (Kukiondoa Kwa Njia Yakijeshi au ndio wanazidi kuwaogopa kama hamas)

Wayahudi hawawezi kukabiliana na matishio ambayo yapo mlangoni mwao ya HAMAS na HIZBU watawaweza WAAAJEMI

Halafu Haya Mabikra Hua Ynawauma Sana Eeeh Poleni Lakinj

Sent using Jamii Forums mobile app
Uwe unauliza kama hujui kitu, Hezbollah ni chama halali cha siasa nchini Lebanon, hahahah! Unafurahisha kweli 'eti kikundi cha wanaharakati kilichojikusanya kupambana na Israel!' Uko shallow sana asee. Haya sasa ni jikumu la Israel kufuta vyama vya siasa vya nchi zingine?!
Israel inajenga inavyotaka makazi ya walowezi kwenye ardhi ya wapalestina huku UN, waarab wakiwamo hao Hezbollah wako wakilaani na kulaumu tu na sehemu yakojengwa hayo makazi wanazijua lakin wanaufyata, sasa sijui hawapendi kwenda kujitwalia mabikra mapema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww ndio ulo shallow fatilia historia ya hao hizbullah
Uwe unauliza kama hujui kitu, Hezbollah ni chama halali cha siasa nchini Lebanon, hahahah! Unafurahisha kweli 'eti kikundi cha wanaharakati kilichojikusanya kupambana na Israel!' Uko shallow sana asee. Haya sasa ni jikumu la Israel kufuta vyama vya siasa vya nchi zingine?!
Israel inajenga inavyotaka makazi ya walowezi kwenye ardhi ya wapalestina huku UN, waarab wakiwamo hao Hezbollah wako wakilaani na kulaumu tu na sehemu yakojengwa hayo makazi wanazijua lakin wanaufyata, sasa sijui hawapendi kwenda kujitwalia mabikra mapema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia kama sio suala lao kuwafuta mwaka 2006 walienda kuwafanya nn nakwamalengo gan ?!.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww ndio ulo shallow fatilia historia ya hao hizbullahPia kama sio suala lao kuwafuta mwaka 2006 walienda kuwafanya nn nakwamalengo gan ?!.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Lete hiyo historia inayosema Hezbollah ni kikundi cha wanaharakati wa kupambana na Israel.
Umeuliza walienda kufanya? Jibu walienda kuwashikisha adabu baada ya hao Hezbollah kufanya walichokifa, au hujua walifanya nini nikueleze?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
we mtoa mada una akili matope, yaani uue watu zaidi ya 150 kwa ajili ya maspies wawili au watatu
Ikiwa komando mmoja anauwezo sawa na wanajeshi wa kawaida kama 100! Kwa nini spy mmoja anayeispy nchi asiwe hatari kwa nchi nzima anayoispy?.Vp umeshindwa kutambua kuwa mpelelezi mmoja aliyeipeleleza nchi yako kijeshi ni mtu hatari kwa jeshi lako lote?.
Acha basi kurahisisha mambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hakuna ukweli wowote ni propaganda za kipumbavu na kijinga.

Kuwakamata kungekuwa na faida maradufu kwa Tehran badala ya kuwauwa. Ni uzushi

Wameuwa raia wasio na hatia sasa ni uzushi tu.
Wasiyo na hatia kivipi!Maana hata wewe hapo ulipo una hatia ya uasherati mbele ya wenye imani zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kudunguliwa kwa Ile ndege ni uzembe ulifanyika! Ile mitambo ya kudungua ndege ilikuwa full alert kwa maana ya stand.2 kwa mategemeo us atalipiza kisasa bila kuchelewa!
Hivyo chochote kirukacho ni size yake!
Hivyo Ile mtambo ilipoona targert ikajifatua yenyewe, wakati controller anakunywa Ghahawa!
Ingekuwa kuna ma-spy Iran isingeacha kujigamba tena wangekamatwa kabla hawaja panda ndege!


Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sorry hivi hao ni maspy kama hawa wa CCM?How wapande ndege moja?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndege ilipo take off tu ndo wakajua ni ma spy waliomo onboard? Kwa nn wasinge wakamata before nakuwa interrogate kwa kuwa torture mpaka waseme who is behind them? Spy huwa anauliwa hatua ya mwisho Sana baada ya kuwa umevuna kwa kiasi kikubwa kutoka kwake na mazingira ya kumfanya double agent yameshindikana. Unatungua ndege ukiwawinda wa Canada 66 while the world is watching😆😆😆😆😆
 
Intelligence has to do that with all sophisticated means

1. Finger print

2. Face detection

3. Back ground

4. Existence

5. Communication facilities

6. Other intelligence techniques

Sio assumption ambayo ndio hasa tunasema uzushi na upumbavu
Napenda watu wanaotoa hoja mzito badala ya ushabiki..hongera mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaungaunga udaku wa 2006 ili upate faraja! Ni jambo jema kujifariji.
Hahahah! Hadi leo Israel imeyakalia kimabavu maeneo ya waarabu kitu ambacho waarabu wanakipinga, ebu waambia hao Hezbollah wakawatoe uone watakavyolambishwa mchanga.
...... Haya hamisha goli tena....

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi huwa nashangaa sana MTU anapojihaminisha kuwa Hezbollah wana nguvu ya kuwashinda Israel..how ? Kama nchi za kiarabu zenye standing army ,vifaru,ndege vita na vifaa lukuki vya kivita zilishindwa(zimeshindwa) itaweza Hezbollah?

*ila nachoona wanawasifia kwa kurusha maroket mengi ili kutia hasara Israel bila kujali wao watakufa wangapi au wananchi wao watapata athari gani ikiwemo nyumbani kugeuzwa vifusi..hii tunaita reckless decision!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah ni kweli najifariji maana Hezibollah ilitoa dozi takatifu mpk waziri mkuu wa Israel alijiuzulu.

dodge
Mkuu ulifuatilia kweli hiyo vita au ulisimuliwa?

Kati ya Hezbollah(Lebanon) na Israel nani alipata athari kubwa?

Unafahamu kuwa nusu ya Beirut iligeuzwa kifusi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una uhakika kambi za Iraq zinazo-host wanajeshi wa Marekani zina mifumo ya kutungua makombora ya kimarekani kama Patriot,AEGIS au THAAD?

*navyojua Mimi hakuna mifumo hiyo huko Iraq(kwenye kambi hizi)
BADO UJINGA UPO PALE PALE: Kitendo cha mfumo wao wa ulinzi kushindwa kuzuia makombora kupiga kambi kumewashtua. ni KAMA WAMEVULIWA NGUO HADHARANI. Kufa ama kutokufa kwa sasa siyo issue,issue ni USALAMA WA ASKARI WAO VITA VIKIZUKA! HAWAJIAMINI TENA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwan HIZBULLAH Ndio Wenye Nchi HIZBU c Nikakikundi tu Chawanaharakati Kilichojikusanya Kupambana Na ISRAHELL Sasa wanashindwa Vipi Kukifuta (Kukiondoa Kwa Njia Yakijeshi au ndio wanazidi kuwaogopa kama hamas)

Wayahudi hawawezi kukabiliana na matishio ambayo yapo mlangoni mwao ya HAMAS na HIZBU watawaweza WAAAJEMI

Halafu Haya Mabikra Hua Ynawauma Sana Eeeh Poleni Lakinj

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Mimi nitakuwa MTU wa mwisho kuamini kuwa hivyo vikundi vya militias ulivyovitaja (Hezbollah na Hama's) vinaweza kusimama na Israel kama zilishindwa nchi zenye ndege vita,helikopta,meli vita, standing army(professional) kama Egypt, Jordan,Syria ,Iraq nk.

*kilichopo hapo ni ubinadamu muda mwingine unatumika kwa sababu hivyo vikundi vinapigana Asymmetric war so vinahatarisha usalama wa wananchi wa kawaida. Ndio maana hata katika vita zilizopigana wananchi wa upande wao wanakufa wengi (wanawatumia kama shield) hivyo kum-limit mpinzani kutumia nguvu nyingi(siraha Kali) ndidi yao. Huo ndio ujanja wanao Fanya ila si kwamba wana nguvu hapana.

*wanachojua ni kullrusha maroketi ovyo bila kujali raia (wa Israel ) ili kuikomoa (ingawa ni war crime) ..

*hebu fikiria kama Israel nayo ingekuwa ina shell maeneo yanayokaliwa na hao Hamas au Hezbollah hali ingekuwaje(vifo) maana hawana ulinzi wowote wa anga tofauti na wenzao wanayo mifumo mbali mbali (iron dome,david sling,patriot nk) ikiwemo bomb shelter!

#fikiria upya!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom