dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,588
- 60,784
🤣 🤣 🤣 🤣haya majamaa yana vichwa vibovu sana.
macson
🤣 🤣 🤣 🤣haya majamaa yana vichwa vibovu sana.
macson
We jamaa nilikuona una akili ila nimegundua ni jinga kabisa... Kama wangekuwa spies ndege ingeambiwa irudi uwanjani ingerudi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah! au umesahau kwamba walishawahi hadi kusign mkataba wa amani na baadae wakajitoa na vikwazo juu! Mnadanganywa kitoto sana. Amkeni nyie mashia, US yuko sambamba na Msunni adui wa mshia (Iran) na yuko sambamba na Myahudi adui wa Iran pia. Hakuna story wala mazungumzo hapo.
Hao mayahudi,mashia,masunni wote hao waambie waje tule kitimoto,beer na ndizi then wewe endelea kuiombea israel ukiamini na wewe utabarikiwa,hahahHahahah! au umesahau kwamba walishawahi hadi kusign mkataba wa amani na baadae wakajitoa na vikwazo juu! Mnadanganywa kitoto sana. Amkeni nyie mashia, US yuko sambamba na Msunni adui wa mshia (Iran) na yuko sambamba na Myahudi adui wa Iran pia. Hakuna story wala mazungumzo hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao mayahudi,mashia,masunni wote hao waambie waje tule kitimoto,beer na ndizi then wewe endelea kuiombea israel ukiamini na wewe utabarikiwa,hahah
Unaongelea myahudi huyo hapo chini aliyepata dawa toka kwa Hezbollah sio?hahahView attachment 1321119
dodge
Mkuu hawakuwa wote 63 majasusi, ni baadhi yao tu Kama 12 hivi, kwa sababu target ilikuwa ni kuzuia information zisifike US na Israel basi ilibidi wote wauawe .Logic but sizani kama CIA wanaweza kuwa 63 ndani ya ndege moja uo ni uongo labda walikuwepo watu kama 3 pengine mmoja.
Kama ni kweli kitengo cha usalama cha marekani kiliruhusu wasafiri wote pamoja basi kuna haja ya kuwafanyia uchunguzi waliowatuma.
Mambo ya usalama yamechange siku izi mashirika ya kijasusi yanawatumia adi, wanamitindo, wasanii hasa wa nyimbo za dini, wachezaji, wafanyabiashara, walimu wanafunzi, vilema hata wangonjwa
UK inasemekana timu yake ya taifa iliyoenda Urusi kwenye kombe la dunia 2018 ilijaa majasusi kibao na waliondoka Urusi na nyaraka kibao.
Angalia taifa la Marekani lilivyowekeza kwenye kila mchezo lengo waweze kufika popote duniani kwa kutumia mgongo wa michezo na kuchukua chochote au kufanya chochote.
Hakuna nchi duniani inayoweza kujizuia isifanyiwe ujasusi.
Marekani walipomuua KAMANDA walitegemea nini kama siyo wengi kufa?we mtoa mada una akili matope, yaani uue watu zaidi ya 150 kwa ajili ya maspies wawili au watatu
Hahah ni kweli najifariji maana Hezibollah ilitoa dozi takatifu mpk waziri mkuu wa Israel alijiuzulu.Unaungaunga udaku wa 2006 ili upate faraja! Ni jambo jema kujifariji.
Hahahah! Hadi leo Israel imeyakalia kimabavu maeneo ya waarabu kitu ambacho waarabu wanakipinga, ebu waambia hao Hezbollah wakawatoe uone watakavyolambishwa mchanga.
...... Haya hamisha goli tena....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii mada iko juu mno ya uwezo wako, wewe kaa kwenye kundi la watoto wanaoamini kuwa ndege ilifananishwa na kombora.Hao Canadians ni Iranians pia. Walikuwa na Duo nationality. Hii sijui ma spy ni pumba kama pumba zingine tu.
Sasa unaniona mimi jinga, Kwani mimi ndo CIA? mjumbe hauawi banaWe jamaa nilikuona una akili ila nimegundua ni jinga kabisa... Kama wangekuwa spies ndege ingeambiwa irudi uwanjani ingerudi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu uko vizuri sana kichwani ,mada hii imewashinda wengi mno kuielewaHujui mambo ya Intelligence, watu wenye uraia pacha waogope sana wengi wao ni agents wa mashirika ya ujasusi ya huko Duniani, inawezekana hawakuwa wote 176 lakini inawezekana walikuwa wengi
MV Bukoba (1996) ilizamishwa kwa kuwa kulikuwa na Al-Qaeda 1 tu,, imagine 1 tuwe mtoa mada una akili matope, yaani uue watu zaidi ya 150 kwa ajili ya maspies wawili au watatu
Shambulizi la kigaidi Nairobi kwenye Supermarket ya West Mall, waliuawa raia 68 na miongoni mwao wasomali 21,na magaidi walikuwa wasomaliWeka Source tuone ni lini msomali mmoja alijitoa muhanga akaua wasomali 200 kisa kutaka kuua mzungu mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Usidanganyike na Trump na CIA.Tuvute subira ukweli utajulikana tu. Kwa system ya ulinzi wao kuingiliwa bado wanajiuliza hawapati jibu. Trump alivyokuwa anaongea kuna alichokuwa anaficha. Time will tell.Us: kaua =qasim Suleiman Mmoja
Iran: kaua =watu 50 Kwenye mazishi + watu 0 Kwenye makambi ya US pale Iraq + watu 176 Kwenye ndege ....total ya watu 226 na HAKUNA hata mmoja kati yao ni mmarekani......smh
Hayo maelezo yako yamejibu nilichoulizaShambulizi la kigaidi Nairobi kwenye Supermarket ya West Mall, waliuawa raia 68 na miongoni mwao wasomali 21,na magaidi walikuwa wasomali
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee Iran waliwataarifu Iraq masaa6 kabla ya mashambulizi...Iraq wakawataarifu USA masaa mawil kabla sasa kama angekufa Mtu si ingekuwa ujinga?Usidanganyike na Trump na CIA.Tuvute subira ukweli utajulikana tu. Kwa system ya ulinzi wao kuingiliwa bado wanajiuliza hawapati jibu. Trump alivyokuwa anaongea kuna alichokuwa anaficha. Time will tell.