Iran has killed all spies

Iran has killed all spies

Kweli aisee,ngoja tuendelee kuwatia moyo US.View attachment 1320896

dodge
Hahahah! au umesahau kwamba walishawahi hadi kusign mkataba wa amani na baadae wakajitoa na vikwazo juu! Mnadanganywa kitoto sana. Amkeni nyie mashia, US yuko sambamba na Msunni adui wa mshia (Iran) na yuko sambamba na Myahudi adui wa Iran pia. Hakuna story wala mazungumzo hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah! au umesahau kwamba walishawahi hadi kusign mkataba wa amani na baadae wakajitoa na vikwazo juu! Mnadanganywa kitoto sana. Amkeni nyie mashia, US yuko sambamba na Msunni adui wa mshia (Iran) na yuko sambamba na Myahudi adui wa Iran pia. Hakuna story wala mazungumzo hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao mayahudi,mashia,masunni wote hao waambie waje tule kitimoto,beer na ndizi then wewe endelea kuiombea israel ukiamini na wewe utabarikiwa,hahah

Unaongelea myahudi huyo hapo chini aliyepata dawa toka kwa Hezbollah sio?hahah
Screenshot_2020-01-11-12-29-10-1.jpeg


dodge
 
Hao mayahudi,mashia,masunni wote hao waambie waje tule kitimoto,beer na ndizi then wewe endelea kuiombea israel ukiamini na wewe utabarikiwa,hahah

Unaongelea myahudi huyo hapo chini aliyepata dawa toka kwa Hezbollah sio?hahahView attachment 1321119

dodge

Unaungaunga udaku wa 2006 ili upate faraja! Ni jambo jema kujifariji.
Hahahah! Hadi leo Israel imeyakalia kimabavu maeneo ya waarabu kitu ambacho waarabu wanakipinga, ebu waambia hao Hezbollah wakawatoe uone watakavyolambishwa mchanga.
...... Haya hamisha goli tena....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Logic but sizani kama CIA wanaweza kuwa 63 ndani ya ndege moja uo ni uongo labda walikuwepo watu kama 3 pengine mmoja.

Kama ni kweli kitengo cha usalama cha marekani kiliruhusu wasafiri wote pamoja basi kuna haja ya kuwafanyia uchunguzi waliowatuma.

Mambo ya usalama yamechange siku izi mashirika ya kijasusi yanawatumia adi, wanamitindo, wasanii hasa wa nyimbo za dini, wachezaji, wafanyabiashara, walimu wanafunzi, vilema hata wangonjwa

UK inasemekana timu yake ya taifa iliyoenda Urusi kwenye kombe la dunia 2018 ilijaa majasusi kibao na waliondoka Urusi na nyaraka kibao.

Angalia taifa la Marekani lilivyowekeza kwenye kila mchezo lengo waweze kufika popote duniani kwa kutumia mgongo wa michezo na kuchukua chochote au kufanya chochote.

Hakuna nchi duniani inayoweza kujizuia isifanyiwe ujasusi.
Mkuu hawakuwa wote 63 majasusi, ni baadhi yao tu Kama 12 hivi, kwa sababu target ilikuwa ni kuzuia information zisifike US na Israel basi ilibidi wote wauawe .
Rejea kupotezwa kwa Malaysian Airlines nayo ilikuwa na majasusi wa China waliokuwa wameiba siri za US kisha CIA wakafanya yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaungaunga udaku wa 2006 ili upate faraja! Ni jambo jema kujifariji.
Hahahah! Hadi leo Israel imeyakalia kimabavu maeneo ya waarabu kitu ambacho waarabu wanakipinga, ebu waambia hao Hezbollah wakawatoe uone watakavyolambishwa mchanga.
...... Haya hamisha goli tena....

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah ni kweli najifariji maana Hezibollah ilitoa dozi takatifu mpk waziri mkuu wa Israel alijiuzulu.

dodge
 
Us: kaua =qasim Suleiman Mmoja
Iran: kaua =watu 50 Kwenye mazishi + watu 0 Kwenye makambi ya US pale Iraq + watu 176 Kwenye ndege ....total ya watu 226 na HAKUNA hata mmoja kati yao ni mmarekani......smh
Usidanganyike na Trump na CIA.Tuvute subira ukweli utajulikana tu. Kwa system ya ulinzi wao kuingiliwa bado wanajiuliza hawapati jibu. Trump alivyokuwa anaongea kuna alichokuwa anaficha. Time will tell.
 
Usidanganyike na Trump na CIA.Tuvute subira ukweli utajulikana tu. Kwa system ya ulinzi wao kuingiliwa bado wanajiuliza hawapati jibu. Trump alivyokuwa anaongea kuna alichokuwa anaficha. Time will tell.
Mzee Iran waliwataarifu Iraq masaa6 kabla ya mashambulizi...Iraq wakawataarifu USA masaa mawil kabla sasa kama angekufa Mtu si ingekuwa ujinga?
 
Back
Top Bottom