Wewe sema tu kwamba ni uzushi lakini kusema kuwakamata kungekuwa na faida maradufu sio hoja! Sio hoja kwa sababu unachoweza kupata ni intel kwamba ndani kuna spies or spy wanaotumia Canadian Passport lakini unaweza usiwe na uhakika ni yupi na yupi among 63 passengers with Canadian Passport!!Mkuu hakuna ukweli wowote ni propaganda za kipumbavu na kijinga.
Kuwakamata kungekuwa na faida maradufu kwa Tehran badala ya kuwauwa. Ni uzushi
Wameuwa raia wasio na hatia sasa ni uzushi tu.
Je, utawaweka wote ndani?! Mbaya zaidi, unaweza kuwa na intel ambayo haijakamilika na kuwafanya mukamate wasio husika na kuwaacha au kumwacha jasusi husika!!!
Halafu hiyo kuwakamata ingekuwa na faida mbona kama umeizungumzia kirahisi sana?! Hivi unaamini US wanaweza kupeleka spies uchwara Iran wakati wanajua kabisa wakidakwa kitanzi kinawahusu?! Sehemu kama ile lazima upeleke unbreakable spies!!! Mateso yakimzidia anakupa taarifa ambazo ungependa kuzisikia kumbe hazina impact yoyote!!!
Naweza kukubaliana na wewe ukisema ni habari za uzushi lakini eti ingekuwa na faida sana kwao kuwakamata wakati umeambiwa tu ndani kuna spies suspects with Canadian Passports!!!
