BADO UJINGA UPO PALE PALE: Kitendo cha mfumo wao wa ulinzi kushindwa kuzuia makombora kupiga kambi kumewashtua. ni KAMA WAMEVULIWA NGUO HADHARANI. Kufa ama kutokufa kwa sasa siyo issue,issue ni USALAMA WA ASKARI WAO VITA VIKIZUKA! HAWAJIAMINI TENA.Mzee Iran waliwataarifu Iraq masaa6 kabla ya mashambulizi...Iraq wakawataarifu USA masaa mawil kabla sasa kama angekufa Mtu si ingekuwa ujinga?
Kumpiga teke chura sio kumkomoa bali ni kumuongezea mwendoBADO UJINGA UPO PALE PALE: Kitendo cha mfumo wao wa ulinzi kushindwa kuzuia makombora kupiga kambi kumewashtua. ni KAMA WAMEVULIWA NGUO HADHARANI. Kufa ama kutokufa kwa sasa siyo issue,issue ni USALAMA WA ASKARI WAO VITA VIKIZUKA! HAWAJIAMINI TENA.
I thought to ask the same question63 American spies with Canadian Passport waliwatambua baada ya ndege kupaa? Yaani intelligence yao ilishindwa kutambua all 63 Spies before??
Okey, let say walishindwa, so after being informed kwamba katika ile ndege kuna spies the only option ilikua kuitungua ndege, not even asking the pilot for emergency landing ili wawatie nguvuni hao so called spies??
Sent using Jamii Forums mobile app
Duhunashangaa iyo, al-shabab anajitoa muhanga anaua wasomalia 200 na mzungu mmoja, target ni uyo mzungu,

Wanatia huruma hawa watu
Mnatafuta pakutokea
Mbona mnatia hasira ndugu wa wafiwa nyie? Hii shughul Iran imechemka... acheni kuokoteza fix..spy wapande dege moja kama tipa la mchanga?
Sent using Jamii Forums mobile app
uko makini kiongoziBila kujali kama habari ni kweli au si kweli, lakini mnatakiwa kuelewa alichoandika mleta mada kwamba:-Kwamba intelligence iligundua ndani ya ndege kulikuwa na Majasusi wanaotumia passposrt za Canada! Aidha, kwenye ndege kulikuwa na ABIRIA (sio majusi) 63 waliokuwa wanatumia passport za Canada! Hivyo basi, kama kulikuwa na Majasusi waliokuwa wanatumia passport za Canada, basi majasusi hao wapo AMONG 63 passengers! Which means, kati ya hao 63, kulikuwa na ama jasusi 1, au 2, au 3, au 4 na kuendelea, au hata wote 63 lakini haku-conclude kwamba kulikuwa na majasusi 63!!!
Ndo maana Nchi za Ulaya na America kusini zinawapa watu uraia ili ziwatumie, au wanatuma watu wao huku kuja kuishi na kufanya shughuli kama kilimo au biashara ili kurahisisha mambo ya ujasusi, Wahindi na waarabu wanatumika katika hiliMkuu uko vizuri sana kichwani ,mada hii imewashinda wengi mno kuielewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wanaubavu si wayarudishe maeneo ambayo Israel inayakalia kibabe! Kama kweli wanapenda wakajitwalie mabikra wafanye hivyo basi teh! teh!Hahah ni kweli najifariji maana Hezibollah ilitoa dozi takatifu mpk waziri mkuu wa Israel alijiuzulu.
dodge
Sawa hawakufa watu ila mifumo yao yaulinzi ilikua wapi mpaka kuruhusu makombora yaka piga kambi zaoMzee Iran waliwataarifu Iraq masaa6 kabla ya mashambulizi...Iraq wakawataarifu USA masaa mawil kabla sasa kama angekufa Mtu si ingekuwa ujinga?






Teke anapopigwa Chura huongezewa mwendo ila ki us kimedhalilika na kuna taarifa IRAQ Wanataka s300 maana washaona kama us wapo hollywoodKumpiga teke chura sio kumkomoa bali ni kumuongezea mwendo
Hawajutii,wamejifunza so next time watakua more careful na usitegemee kitu kama hiko kitajirudia...
Kama wana ubavu c wakifute hako kakundi wanachokaita kakigaidi wauone moto wake utakavyo wawakiaKama wanaubavu si wayarudishe maeneo ambayo Israel inayakalia kibabe! Kama kweli wanapenda wakajitwalie mabikra wafanye hivyo basi teh! teh!
Sent using Jamii Forums mobile app



Kwan Israel ndo msajiri wa vyama vya siasa Lebanon hadi akifute cha hezbollah!! Kama ni kufuta chama si angefuta hamas! Israel haina mpango wa kufuta vyama vya siasa vya nchi nyingine, hao Hezbollah wanakwazana na Israel sababu ya kuisadia hamas, lakin pamoja na kusaidia bado wameshindwa kuizuia Israel kuendelea kukalia maeneo ya waarab, yaani mtu anakuja kujenga nyumba kwenye kiwanja chako afu wewe na ukoo wako mnaishia kupiga yowe tu!. Huko nyuma walijaribu kushirikia lakini mbabe akamaliza mchezo ndan ya siku 6.Kama wana ubavu c wakifute hako kakundi wanachokaita kakigaidi wauone moto wake utakavyo wawakia
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes since hao wenyewe wamekuja kwa nia ovu.we mtoa mada una akili matope, yaani uue watu zaidi ya 150 kwa ajili ya maspies wawili au watatu
Kwan HIZBULLAH Ndio Wenye Nchi HIZBU c Nikakikundi tu Chawanaharakati Kilichojikusanya Kupambana Na ISRAHELL Sasa wanashindwa Vipi Kukifuta (Kukiondoa Kwa Njia Yakijeshi au ndio wanazidi kuwaogopa kama hamasKwan Israel ndo msajiri wa vyama vya siasa Lebanon hadi akifute cha hezbollah!! Kama ni kufuta chama si angefuta hamas! Israel haina mpango wa kufuta vyama vya siasa vya nchi nyingine, hao Hezbollah wanakwazana na Israel sababu ya kuisadia hamas, lakin pamoja na kusaidia bado wameshindwa kuizuia Israel kuendelea kukalia maeneo ya waarab, yaani mtu anakuja kujenga nyumba kwenye kiwanja chako afu wewe na ukoo wako mnaishia kupiga yowe tu!. Huko nyuma walijaribu kushirikia lakini mbabe akamaliza mchezo ndan ya siku 6.
Iran ndo ajaribu kuifuta Israel kwenye uso wa dunia kama alivyawaaminisha nyie wananchi wake, si mnapenda mabikra?!
Sent using Jamii Forums mobile app
)
