Iran has killed all spies

Iran has killed all spies

Kwan HIZBULLAH Ndio Wenye Nchi HIZBU c Nikakikundi tu Chawanaharakati Kilichojikusanya Kupambana Na ISRAHELL Sasa wanashindwa Vipi Kukifuta (Kukiondoa Kwa Njia Yakijeshi au ndio wanazidi kuwaogopa kama hamas)

Wayahudi hawawezi kukabiliana na matishio ambayo yapo mlangoni mwao ya HAMAS na HIZBU watawaweza WAAAJEMI

Halafu Haya Mabikra Hua Ynawauma Sana Eeeh Poleni Lakinj

Sent using Jamii Forums mobile app
Na mawazo ya Aina hii ndio nayaona pale Hamas wakirusha maroket kwenda Israel (ingawa nadhara ni madogo) watu wanakaa kimya au wengine wanafurahi ila wakijibiwa na vifo vikawa vingi watu wanailaani Israel ..
*mwingine anakuja na simple argument kuwa mbona Israel hawajafa bila kujua kuwa wao wanawakinga RAIA wao kwa namna nyingi ikiwemo bomb shelter na air defense.. Wakati wao wanarusha ovyo maroket wakijua kuwa indapo kutajibiwa mashambulizi basi raia zao watukutwa bila ulinzi hivyo watakufa kama kuku..hii ndio reckless decision inayofanywa na haya makundi ya wanamgambo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Logic but sizani kama CIA wanaweza kuwa 63 ndani ya ndege moja uo ni uongo labda walikuwepo watu kama 3 pengine mmoja.

Kama ni kweli kitengo cha usalama cha marekani kiliruhusu wasafiri wote pamoja basi kuna haja ya kuwafanyia uchunguzi waliowatuma.

Mambo ya usalama yamechange siku izi mashirika ya kijasusi yanawatumia adi, wanamitindo, wasanii hasa wa nyimbo za dini, wachezaji, wafanyabiashara, walimu wanafunzi, vilema hata wangonjwa

UK inasemekana timu yake ya taifa iliyoenda Urusi kwenye kombe la dunia 2018 ilijaa majasusi kibao na waliondoka Urusi na nyaraka kibao.

Angalia taifa la Marekani lilivyowekeza kwenye kila mchezo lengo waweze kufika popote duniani kwa kutumia mgongo wa michezo na kuchukua chochote au kufanya chochote.

Hakuna nchi duniani inayoweza kujizuia isifanyiwe ujasusi.
Nimeelewa hivi; abiria 63 walikuwa wa kutoka katika hiyo nchi. Iran waligundua kuwa kati ya hao abiria 63 wa nchi hiyo, kulikuwema na hao spies wa USA. Na siyo abiria 63 walikuwa spies.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo rubani mjinga kiasi gani had arudishe ndege? Kwa hao spies kupanda hiyo ndege lazima walishaset kila kitu kwamba wakiruka tu uhakika wa safari na watakuwa salama. Hii ndo dunia bhana.
63 American spies with Canadian Passport waliwatambua baada ya ndege kupaa? Yaani intelligence yao ilishindwa kutambua all 63 Spies before??

Okey, let say walishindwa, so after being informed kwamba katika ile ndege kuna spies the only option ilikua kuitungua ndege, not even asking the pilot for emergency landing ili wawatie nguvuni hao so called spies??

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una uhakika kambi za Iraq zinazo-host wanajeshi wa Marekani zina mifumo ya kutungua makombora ya kimarekani kama Patriot,AEGIS au THAAD?

*navyojua Mimi hakuna mifumo hiyo huko Iraq(kwenye kambi hizi)

Sent using Jamii Forums mobile app
Inaingia akilini askari hao wawe kwenye kambi "zisizo na ulinzi" wakati tete kama huu? Kama ndivyo,huo ni uamuzi wa "kipumbavu" kufanywa.
 
Huyu alikubali kuwa wamedungua ndege na walilipa fidia. Hakukubali kuomba msamaha wala kutoa samahani. Hawa waligoma kuhusika na kisha wakakubali. Yote hayo hayanishtui, tatizo ni pale wanapodai operator alishindwa kutofautisha signature ya missile na ndege ya kiraia. Yaani ashindwe kutofautisha speed, direction path, heat signature, radar signature ya ndege kubwa vile na missile ambayo inakuwa ndogo. Whatever radar system aliyokuwa nayo hii inanishangaza bado. Ingekuwa wamelipua ndege yao ya kijeshi tungesema friendly fire maana vinaelekeana kwa hivo nilivotaja.
Walilipa baadhi.
 
Kama ni kweli kitengo cha usalama cha marekani kiliruhusu wasafiri wote pamoja basi kuna haja ya kuwafanyia uchunguzi waliowatuma.
Ebu fikiria kwa nini Trump kesho yake baada ya kuanguka ndege hiyo...alikuja kujibu shambulizi la Iran kule Iraq kwa kuhema na kuonyesha uchovu wa kupindukia!! Kuna uwezekano...! Hivi yule Gina wa si ai ae mbona haonekani kwenye viunga,!? Asije akawa amedakwa kwa uzembe !
 
Back
Top Bottom