Kuna taarifa kuwa kituo cha kuzalisha umeme cha IPTL ambacho kinatumia nishati ya mafuta mazito (HFO) sasa kinatembea katika full capacity (100MW) baada ya shehena ya mafuta hayo kuwasili hapa nchini mwishoni mwa juma lililopita.
Je tutarajie kuwa hii ni habari njema kwa watumiaji umeme hapa nchini...? kwamba makali ya mgawo wa umeme yatapungua au kilio cha makali ya giza kitaendelea?
Je tutarajie kuwa hii ni habari njema kwa watumiaji umeme hapa nchini...? kwamba makali ya mgawo wa umeme yatapungua au kilio cha makali ya giza kitaendelea?