mkude kibwana
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 348
- 27
Watanzania wasikubali kulishwa ujinga wa namna hii na kafulila bila kujua ukweli wa ndani kwani kufanya hivyo ni kufedheheshwa na siku nyingine wasikubali kuwachagua wabunge wenye uelewa mdogo kama Kafulila maana ni majanga matupu kwetu sisi wananchi.Bora wamtore uvivu maana kazidi sana kutumika