Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
DEWJI, Hebu nipe ushahidi wa jinsi waislamu wanavyoonewa, je kule wanakoishi waislamu wengi zaidi mbona ndo kuna machafuko sana tu, naheshimu mawazo yako kwa sababu ni yako sio yangu, endeleeni kufundisha watoto wenu hivyo hivyo waue wakristo mpaka waishe, wakishaisha kwa sababu watakuwa wamezoea kuuwa wataanza kuuwana wenyewe kwa wenyewe.Siku zote anaekanyagwa ndo hulalamika sio anaekanyaga. Hivyo waislamu ndo wanaoonewa na mfumo kristo kwanini wasiseme?
Siungi mkono kabisa kitendi cha ustaadhi kushawishi watu wauwane. hiyo kazi mwachieni shetani, tuungane kupiga vita umaskini ili kujenga Tanzania iliyo bora kwa kila Mtanzania inawezekana kama tukikataa kuwa brain washed.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Last edited by a moderator: