Ipo siku Ustaadhi Ilunga atasababisha damu imwagike nchini!

Ipo siku Ustaadhi Ilunga atasababisha damu imwagike nchini!

Status
Not open for further replies.
ALIYOYAONGEA mwezi agosti,2012 YALITOKEA,makanisa yakachomwa oktoba,2012!!
Mafundisho kama haya yanajengwa kwa nadharia ambayo kizazi hiki cha sasa kinafanywa kusadiki maneno na kauli kuwa jamii ya imani fulani imeonewa tangu zamani[hata pale,shule zipofaifishwa na elimu kutolewa bure]

Swali la msingi ni kwa nini Mamlaka husika hazifuatilii kauli hizi na kuzifanyia kazi.?
 
Nimesoma Quran 178-179 hapo ndo nineelewa maana ya uislam. Kuuwa Mktisto ni njia ya kwenda Peponi. Na katika quran ametajwa Mkristo ndo dili zaidi na tiketi muhimu ya kwenda peponi kwa mwislam
 
Kwa serikali makini huyu Ustadh ILUNGA KAPUNGU ni suspect wa kwanza, lakini kwa serikali legelege kama hii ya chama cha majambazi utashangaa kusikia watakaokamatwa ni vijana wa vijiweni.
 
Mandi,

..vita ya kidini haina faida yeyote ile.

..waulize Lebanon walivyorudi nyuma kimaendeleo.

..zaidi, kwa huku Tanganyika kuna familia nyingi zimechangia dini za Uislamu na Ukristo. sasa mfarakano wake kwa kweli utakuwa ni kitu ambacho hakijapata kutokea.

..Shekhe Ilunga amekosea kutoa matamshi hayo ya kichochezi.

Kweri mkuu lebanoon ilikuwa inaitwa les vegas ya middle east.lakini sasa imekwisha
 
Last edited by a moderator:
Ilunga sawa na akina Ponda na Uamsho wanatapatapa kutaka kumuingiza kila mtu kwenye mtego wao. Hata hivyo hawatafanikiwa kutokana na kuwa vipofu wa uhalisia wa maisha ya maeneo husika.

Watu wana shida na kuondoa umaskini siyo kutafuta utakatifu wala kuishi kwenye pepo za kufikirika wakati hapa duniani wanaishi kwenye jehanamu. Nadhani matatizo ya watu maskini hayachagui dini. Hivyo ni suala la muda tu hili wimbi la mawazo ya kigaidi na mgando litapita. Naona Kenya wanajitahidi kuwaondolea mbali wachochezi kama hawa.

Nadhani huyu mchochezi ana muda mfupi tu kufanya huo uchochezi wake. Kenya wanafanya vitu vyao kimya kimya tofauti na Tz ambapo viongozi wetu hawana msimamo wala ajenda kwa taifa zaidi kuchumia tumbo.
Suala la muda..! Hebu assume wewe ndo yule padre aliye pigwa risasi kisa tu ni padre, then ndo mtu anakwambia ni wimbi tu, litapita. Gaidi hapaswi kuachwa, ni kumsaka na kisha kumfungia jiwe la kusagia na kutosa baharini, akaliwe na nyangumi.
 
Rais dhaifu, huunda serikali dhaifu, na wananchi huambukizwa udhaifu hivyo kila kitu kinakuwa dhaifu. Tuombe Mungu ifike 2015 tupate kiongozi imara. Tanzania ndio nchi pekee ktk historia ya ulimwengu iliyojiendesha yenyewe kwa miaka kumi bila rais.
 
Waasisi wa udini ni ccm,wamewasha moto wasioweza kuuzima
 
siamini kaka Dini ya kiislam, na kitabu chao (Qur'an) ndo vinafundisha namna hiyo. Nadhani huyo si shehe au Ustadh wa dini kama dini zinavyotutaka tuwe. Huyo ustadh ni Ibilis na Shetwani, hatakiwi kusikilizwa anachochea na mwislam yeyote mwenye akili ,anayejua dini na anayemjua Allah, hatokubaliana hata kidogo na maneno ya huyo Mchochez.
Mungu atuepushe naye mtu.
 
Ukichunguza jina Ilunga Kapungu utakuta mhusika si Mkenya wala Mtanzania. Hawa ni washenzi na makafiri wanaopenyezwa na magaidi kuja kutuvuruga. Huyu akipotezwa si kitu cha kusikitisha bali kushangiliwa. This piece of shit must be gotten rid as soon as possible.
 
mimi nadhani hawa jamaa inabidi waende shule, lakini nina wasiwasi kama elimu itawasaidia, kwa sababu kipinidi nilikuwa nasoma pale UCLAS (ardhi university now) ukiongea na hawa jamaa wanaovaa suruali saizi ya bukta unaweza kudhani unaoongea na mtu wa form two au form one aliyeenda tuition
 
Hapa utakuwa umedhihaki weledi wa umma wa Waislamu.

Kwa mtaji huu, hayawani yoyote anaweza kupost video kwenye youtube yenye inflammatory statements against Christians and Jews akaonekana mtu wa hatari.

Zee zima limeshamiri ndevu zenye mvi lakini bado lina hadhi ya "ustaadhi"?
 
hata wafanyaje hata wachocheeje hawaguswi.....

Kwani walochoma makanisa mbagala wameguswa?????

Kidumu chama cha mapinduzi ......

jaman irunga ni ustaz wangu na asemi maneno yake anatoa ktk kitabu kwamba akiuliwa sheqe na ww tafuta paroko muue ili mue sawa.dawa ya moto ni moto.itafaamika tu
 
ALIYOYAONGEA mwezi agosti,2012 YALITOKEA,makanisa yakachomwa oktoba,2012!!
Mafundisho kama haya yanajengwa kwa nadharia ambayo kizazi hiki cha sasa kinafanywa kusadiki maneno na kauli kuwa jamii ya imani fulani imeonewa tangu zamani[hata pale,shule zipofaifishwa na elimu kutolewa bure]

Swali la msingi ni kwa nini Mamlaka husika hazifuatilii kauli hizi na kuzifanyia kazi.?

ili watanzania tuwe na haman lazma tuwe tumefata mila za waklisto tupendane na tushilikiane.wazee wa
 
Serikali inajua kila kitu kuhusu hawa wapuuzi. Huyu jamaa aliwahi kukamata kipindi cha kauzu mahita kwa tabia yake ya uchochezi. Uzuri wetu tofauti na Kenya tuna mfumo wa kimya kimya wa kudili na wapumbavu kama hawa. Ponda mbona yuko hoi wakati walisema hakamatiki
 
mimi nadhani hawa jamaa
inabidi waende shule, lakini nina wasiwasi kama elimu itawasaidia, kwa
sababu kipinidi nilikuwa nasoma pale UCLAS (ardhi university now)
ukiongea na hawa jamaa wanaovaa suruali saizi ya bukta unaweza kudhani
unaoongea na mtu wa form two au form one aliyeenda tuition

jamani tusîingize nchi kwenye machafuko tumuhukumu Ilunga kama individual
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom