Doppelganger
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 1,858
- 759
Ukimya wa wakristo si udhaifu...take note.
Sidhani kama tutaelewana!Labda nikuulize; Umesema kwa mujibu wa hadithi ya Ahlul Ilm ni kwamba hayo ya kuua watu walioko kwenye nyumba za Ibada ni wakati wa vita..........lakini ukauliza wakati wa amani?.............Labda ungetoa jibu kwa mujibu wa mafundisho Je ni sawa kuwaua maadui wakati wa Amani? Au hili mmeachiwa kuamua wenyewe?
Kila kwenye fitnah lazima uwepo!...ningeshangaa sana kama usingejitokeza.Mzito Kabwela said:Kutibalaikuml kisasi...
Sidhani kama tutaelewana!
Ahlul Ilm ni watu wenye ilm.
Wanaposema kuwa tunakatazwa kuwaua viongozi wa Kikristo na Kiyahudi wakati tukiwa katika vita nao, ina maana wakati tukiwa hatuko katika vita nao ni katika mlango wa kwanza (makatazo yake yapo wazi zaidi)...hiki ni qiyaas.Kila kwenye fitnah lazima uwepo!...ningeshangaa sana kama usingejitokeza.
kwa sababu mimi si katika wanaostahiki kutoa Fatwa.Mbona yale maswali yangu mengine hujayajibu?!
kwa sababu mimi si katika wanaostahiki kutoa Fatwa.
La pili umesema mtoaji Fatwa anaweza kuwa sahihi au sivyo........Je? utajuaje yuko sahihi au hayuko sahihi?
Je? ni mwanazuoni wa kiwango kipi anatakiwa kutoa fatwa? kuna vigezo vyovyote vya mtu ku-qualify kutoa fatwa?
Je? ni nani anayethibitisha kwamba hii fatwa si sahihi? na inarekebishwa vipi?
Na mtu anayetekeleza fatwa kama maelezo ya Ilunga na ikathibitika kwamba fatwa si sahihi, ni nini adhabu ya mtoa na mtekeleza fatwa?
Nakubaliana nawe 100%, ikiwa Unguja padre kapigwa risasi halafu kiongozi anasema ni majambazi si muda mrefu kitanuka hapa!ipo siku hii nchi kitanuka tuu....mark my words........
mungu ampe umri mrefu sheih we2 illunga hassan kapungu.nachomkubali sheikh huyu anasema ukweli unaowauma makafiri.
wakristo ni makafir halafu na nyie waislam tuwaiteje?
Fatwa si fumbo la imani kwa wengine kutekeleza tu soma nilichoandika "Hivyo Muislamu halazimishwi kufuata Fatwa anachotizama ni ukaribu wa Fatwa; je iko karibu na usahihi au iko karibu na kosa? ..halafu anachagua mwenyewe.na mbona mwanzoni uliyaelezea maswala ya Fatwa, au Fatwa ni fumbo la imani na kwa wengine ni kutekeleza tu!
Mmesikiliza hyo vdio pary 1 na 2 au mnajamba tu hapa?
Ndio mana mnataka kumuweka padri slaa?
Mbona mkapa hamkusema n mchungaj? Achen ubaguz wakidin ogopen kuonea waislam kwakuwa wao wanafurahia kiifo kwenda kwa mungu na ndio mana hyo sheh kazikwa na dam zake kafa shahd kumbkn maneno ya osama,sadam na gadaf kuwa ata wakifa wao watazaliwa wakwel wengne
USA haina na rafk wa mtu wakudum ina maslah ya kudum na nchi ndichoo anachosema shehe
Mungu Mkubwa
Tyson,mohamed ali,maiko jako nk wanaiona njia ya kweli kama hery thiery baDo ww
Jamani tumuombe Mungu atujalie maarifa tuweze kuyatumia kuchambua yaliyo bora na kuyafuata, hivi kwa nini waislamu wawe ndo watu wanaojihisi kuonewa siku zote? Huyu shehe Mungu amfungue macho.