matusi yanini unajua maana ya mfumko kirsto au unaendeshwa na chuki
wanamchukia ilunga kwa sababu katoa siri zao kama wanavyo chukia kitabu cha padre john sivalon
matusi yanini unajua maana ya mfumko kirsto au unaendeshwa na chuki
..kwanza Ustadh ILUNGA KAPUNGU anafanya makosa sana kujaribu kutuhusisha wa-Tanzania na matatizo yanayotokea Kenya, particularly Mombasa.
..huko ni kujaribu kuzua tatizo hata mahali ambapo hakuna tatizo.
..halafu anakwenda mbali na kutoa kauli kwamba "akiuawa Shekhe basi tafuta Askofu umuue"!! Is he out of his mind?!!
..hebu tembeleeni link ya video niliyoweka hapo chini. unaweza kuanzia dakika ya 13. kinachosikitisha video nzima imekaa kimachafuko-chafuko tu. haya ni mambo mabaya sana kuwaaminisha wa-Tanzania.
Kwa wanaotumia simu, tembelea http://www.youtube.com/watch?v=BaJHhlIdXK8
MAJIBU YA Mwanakijiji: