Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,726
- 1,989
Ipo siku mtaelewa umuhimu wa hizi Tozo Kwa Mambo yatakayo fanyika mbeleni
Mama Samia ana nia nzuri sana na hii Nchi Mda ndo utatoa majibu pekee
Tutapata shida kwa kipindi hiki ila Miaka Ijayo hayo yote yatabaki story
Tuwe na Subra tusiwe watu wa Lawama Mda wote Serikali inajua nini inafanya na ina Malengo gani,
Sisi watanzania tumekuwa Wepesi sana Kulalamika without Reasoning ila Tozo zitafanya Mambo makubwa huko mbeleni ndo mtaelewa umuhimu wake
Tusipende kuwa Negative kwenye kila kitu tusubiri Matokeo yake ndipo tuanze kulalama
.Tuendelee kula Dagaa ipo Siku hizo Dagaa Zitabaki Historia Wakati Tukila Kuku na Maisha Yakienda Fresh
Mama Samia ana nia nzuri sana na hii Nchi Mda ndo utatoa majibu pekee
Tutapata shida kwa kipindi hiki ila Miaka Ijayo hayo yote yatabaki story
Tuwe na Subra tusiwe watu wa Lawama Mda wote Serikali inajua nini inafanya na ina Malengo gani,
Sisi watanzania tumekuwa Wepesi sana Kulalamika without Reasoning ila Tozo zitafanya Mambo makubwa huko mbeleni ndo mtaelewa umuhimu wake
Tusipende kuwa Negative kwenye kila kitu tusubiri Matokeo yake ndipo tuanze kulalama
.Tuendelee kula Dagaa ipo Siku hizo Dagaa Zitabaki Historia Wakati Tukila Kuku na Maisha Yakienda Fresh