Ipo Siku mtaelewa Umuhimu wa hizi Tozo

Mayunga234

JF-Expert Member
Feb 17, 2017
1,726
1,989
Ipo siku mtaelewa umuhimu wa hizi Tozo Kwa Mambo yatakayo fanyika mbeleni
Mama Samia ana nia nzuri sana na hii Nchi Mda ndo utatoa majibu pekee
Tutapata shida kwa kipindi hiki ila Miaka Ijayo hayo yote yatabaki story

Tuwe na Subra tusiwe watu wa Lawama Mda wote Serikali inajua nini inafanya na ina Malengo gani,

Sisi watanzania tumekuwa Wepesi sana Kulalamika without Reasoning ila Tozo zitafanya Mambo makubwa huko mbeleni ndo mtaelewa umuhimu wake
Tusipende kuwa Negative kwenye kila kitu tusubiri Matokeo yake ndipo tuanze kulalama

.Tuendelee kula Dagaa ipo Siku hizo Dagaa Zitabaki Historia Wakati Tukila Kuku na Maisha Yakienda Fresh
 
Leo hii TOZO ndio itakuwa chanzo cha maendeleo? Kwahiyo tusahau mapato kutoka Bandari, utalii, madini na viwanda.
 
Ipo siku mtaelewa umuhimu wa hizi Tozo Kwa Mambo yatakayo fanyika mbeleni
Mama Samia ana nia nzuri sana na hii Nchi Mda ndo utatoa majibu pekee
Tutapata shida kwa kipindi hiki ila Miaka Ijayo hayo yote yatabaki story
Tunaulewa hata sasa Mkuu, umuhimu wake ni kufidia hasara za miradi kama ATCL na SGR, na pia kuisaidia serikali mapato kwa sababu imefilisika mbaya na tozo ikawa ndio njia pekee ya kukusanya mapato.

Na tunajua tozo ni kodi inayokiuka sheria ya kodi kwamba kodi itolewe pale ambapo kipato kimeingia na anayetozwa ni yule aliyepata kipato na tozo inapaswa iwe sehemu ya faida aliyoipata. Kaman nikikuhamishia fedha kuja acount yako kwa malipo basi tozo inapaswa ukatwe kwenye faida ya kunihudumia, sio kwenye mimi kuhamisha fedha, kwa kuwa kwa kutoza tozo kwenye transfer serikali inakuwa imekata kodi zaidi ya mara moja jambo moja na kwa mtu zaidi ya mmoja.

Unaiona basi serikali yako ilivyo ya kijambazi? Ujambazi sio lazima uibe kwa silaha.
 
Ipo siku mtaelewa umuhimu wa hizi Tozo Kwa Mambo yatakayo fanyika mbeleni
Mama Samia ana nia nzuri sana na hii Nchi Mda ndo utatoa majibu pekee
Tutapata shida kwa kipindi hiki ila Miaka Ijayo hayo yote yatabaki story

Tuwe na Subra tusiwe watu wa Lawama Mda wote Serikali inajua nini inafanya na ina Malengo gani,

Sisi watanzania tumekuwa Wepesi sana Kulalamika without Reasoning ila Tozo zitafanya Mambo makubwa huko mbeleni ndo mtaelewa umuhimu wake
Tusipende kuwa Negative kwenye kila kitu tusubiri Matokeo yake ndipo tuanze kulalama

.Tuendelee kula Dagaa ipo Siku hizo Dagaa Zitabaki Historia Wakati Tukila Kuku na Maisha Yakienda Fresh
Matumizi ya TOZO yameshaonekana, kulipa mikopo ya chanjo, uhamasishaji chanjo, usambazaji chanjo, uanzishwaji wa vituo vya chanjo, kulipia matangazo ya chanjo, kulipa watumishi wa chanjo, chanjo , chanjo .........x1000
 
Ipo siku mtaelewa umuhimu wa hizi Tozo Kwa Mambo yatakayo fanyika mbeleni
Mama Samia ana nia nzuri sana na hii Nchi Mda ndo utatoa majibu pekee
Tutapata shida kwa kipindi hiki ila Miaka Ijayo hayo yote yatabaki story

Tuwe na Subra tusiwe watu wa Lawama Mda wote Serikali inajua nini inafanya na ina Malengo gani,

Sisi watanzania tumekuwa Wepesi sana Kulalamika without Reasoning ila Tozo zitafanya Mambo makubwa huko mbeleni ndo mtaelewa umuhimu wake
Tusipende kuwa Negative kwenye kila kitu tusubiri Matokeo yake ndipo tuanze kulalama

.Tuendelee kula Dagaa ipo Siku hizo Dagaa Zitabaki Historia Wakati Tukila Kuku na Maisha Yakienda Fresh
Wameshaelewa mbona,bado machadema na mke wao wa kambo wazee wa legacy almaarufu sukuma gang..

Kama kuna mtu anategemea eti tozo zitakuja kuondolewa uchaguzi ukikaribia akaote vizuri,hicho ni chanzo endelevu cha mapato na kinaonesha tija tayari..

Mfano tumeshaacha kuchangishwa michango ya kujenga shule,kuagizwa madawati na upuuzi kama huo..

Ndani ya miaka 5 ya Tozo zaidi ya vituo vya afya 700 vitajengwa,haya ni mapinduzi makubwa kwenye sekta ya Afya Tzn..

Na Ili kukabiliana na upungue wa watoa huduma ndio maana serikali imekuja na muongozo wa kuajiri watu kwa mkataba/ kujitolea
 
Serikali ingekuwa inatuelimisha na kutushirikisha wananchi katika maamuzi yo yote kusingekuwa na shida!
Huwa hampendi kufuatilia taarifa za serikali, mawaziri wanaongea sana tuu jinsi zitasaidia elimu,maji na afya na barabara Vijijini.
 
Matumizi ya TOZO yameshaonekana, kulipa mikopo ya chanjo, uhamasishaji chanjo, usambazaji chanjo, uanzishwaji wa vituo vya chanjo, kulipia matangazo ya chanjo, kulipa watumishi wa chanjo, chanjo , chanjo .........x1000
Wewe hatukushangai,picha yako hiyo inaonesha upande wako
 
Hizi porojo za CCM tulishazizoea.

Kipindi sakata la gesi ya Mtwara lipo hot mwaka 2012, tuliambiwa baada ya miaka kumi Tanzania itakuwa sio nchi maskini tena. Mwaka kesho inatimia miaka kumi bado bilabila.

Mmeiba rasimali za nchi hamjatosheka, Mmerudi kutuibia hadi pesa zetu za mifukoni. Ngoja iendelee kunyesha tuone panapovuja.
 


Ipo siku mtaelewa umuhimu wa hizi Tozo Kwa Mambo yatakayo fanyika mbeleni
Mama Samia ana nia nzuri sana na hii Nchi Mda ndo utatoa majibu pekee
Tutapata shida kwa kipindi hiki ila Miaka Ijayo hayo yote yatabaki story

Tuwe na Subra tusiwe watu wa Lawama Mda wote Serikali inajua nini inafanya na ina Malengo gani,

Sisi watanzania tumekuwa Wepesi sana Kulalamika without Reasoning ila Tozo zitafanya Mambo makubwa huko mbeleni ndo mtaelewa umuhimu wake
Tusipende kuwa Negative kwenye kila kitu tusubiri Matokeo yake ndipo tuanze kulalama

.Tuendelee kula Dagaa ipo Siku hizo Dagaa Zitabaki Historia Wakati Tukila Kuku na Maisha Yakienda Fresh
 
Ona mambo makubwa yanayofanywa na Mama 👇

Screenshot_20210917-201754.png


Screenshot_20210917-120243.png


Screenshot_20210917-042301.png


Screenshot_20210917-042321.png
 
Ipo siku mtaelewa umuhimu wa hizi Tozo Kwa Mambo yatakayo fanyika mbeleni
Mama Samia ana nia nzuri sana na hii Nchi Mda ndo utatoa majibu pekee
Tutapata shida kwa kipindi hiki ila Miaka Ijayo hayo yote yatabaki story

Tuwe na Subra tusiwe watu wa Lawama Mda wote Serikali inajua nini inafanya na ina Malengo gani,

Sisi watanzania tumekuwa Wepesi sana Kulalamika without Reasoning ila Tozo zitafanya Mambo makubwa huko mbeleni ndo mtaelewa umuhimu wake
Tusipende kuwa Negative kwenye kila kitu tusubiri Matokeo yake ndipo tuanze kulalama

.Tuendelee kula Dagaa ipo Siku hizo Dagaa Zitabaki Historia Wakati Tukila Kuku na Maisha Yakienda Fresh
Hakuna kitu nia nzuri, hata jambazi akifanya uharifu huwa ni kwa nia nzuri ya kufanya yale yampendezayo. Kila ukiisha uchaguzi CCM huanza maandalizi ya uchaguzi mwingine. Hata Kikwete alidai hela zilizochotwa benki kuu si za serikali.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Tatizo ni kuwa tuna sehemu nyingi amabazo tunaweza kupata hizo pesa ila usimamizi ni mbovu... Tuna rasimilimali ambazo zikisimamiwa vizuri kwa uzalendo serikali haitawaza kushindana na wananchi kwenye tozo
 
Back
Top Bottom