Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,647
- 20,984
Tutakapo badilisha jina hili kwa kuliongezea mambo ya kitaifa na ya kimuungano imara zaidi itapendeza sana,ningependekeza kwa wakati tulionao na kwa wakati ujao kwa chama imara zaidi na cha kitaifa jina la chama chetu likawa, "" CHAMA CHA KIMAPINDUZI CHA WATU WA TANZANIA""
Kwa jina hili pekee, Muungano wetu na umoja wetu na utaifa wetu utasimama katika mstari mmoja,hili likifanyika na maboresho mengine kidogo yakafanyika tutavuka kwa miaka mingi zaidi.
•Neno chama cha mapinduzi, pekee linautenga utaifa.
TUCHANGIE KATIKA KUBORESHA MUUNGANO WETU.
Kwa jina hili pekee, Muungano wetu na umoja wetu na utaifa wetu utasimama katika mstari mmoja,hili likifanyika na maboresho mengine kidogo yakafanyika tutavuka kwa miaka mingi zaidi.
•Neno chama cha mapinduzi, pekee linautenga utaifa.
TUCHANGIE KATIKA KUBORESHA MUUNGANO WETU.