Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Serikali ya mapinduzi Zanzibar

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,904
Jamhuri ya muungano wa Tanzania Serikali huru ya Tanganyika (hii iko wapi?)
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda kuna umuhimu mkubwa kuanza kuuhoji muungano huu. Kuna kitu kilikosewa ama kilisahauliwa kwa makusudi na kamwe hakijawahi kuhojiwa popote!

Kwanza lazima tukubaliane hakuna uhuru wa Tanzania bali kuna uhuru wa Tanganyika.. Maana tuliungana tayari Tanganyika ikiwa huru

Baada ya muungano/muunganiko wa mataifa haya mawili nchi huru ya Tanganyika na nchi huru ya Zanzibar kukazaliwa taifa liitwalo TANZANIA.. Kwa maana ya kwamba serikali ya Tanganyika na serikali ya Zanzibar zilikufa rasmi na kuundwa serikali moja ya Tanzania iko wapi hii?

Hili kosa kubwa na la wazi ndio linatusumbua mpaka leo hii
Baada ya muungano wa haya mataifa mawili, taifa la Zanzibar likabaki na utambulisho wake kama taifa, lakini taifa la Tanganyika likaukana utambulisho wake asilia

Kwa taifa la Zanzibar kubaki na utambulisho wake kama taifa kukawapa nguvu ya kuunda serikali yao inayojulikana kama Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Kwa kuukana utambulisho wake asilia kama taifa, serikali ya Tanganyika ikakosa nguvu ya kuunda serikali yake ambayo ingeitwa serikali huru ya Tanganyika

Kilichotokea ninini sasa badala ya kuwa na serikali huru ya Tanganyika kukawa na serikali ya jamhuri ya Tanzania ambayo kwayo ni sehemu ya muungano..
Serikali ndio chombo cha kiutawala kinachoendesha nchi

Zanzibar ana faida mbili tayari ndani ya muungano
1. Utambulisho wake upo
2. Ana serikali yake
Kwa hiyo linapokuja swala la kuamua mambo yake ya ndani kiutawala.. Zanzibar ina chombo chake huru cha kufanya hivyo. Na linapokuja swala la kuamua mambo ya muungano ipo serikali ya Jamhuri ya muungano

Hapo ndipo Tanganyika alipopigwa bao la kisigino kwenye huu muungano.. Ndio maana leo hii watu wa Zanzibar wanaweza kuvuka maji na kuja kuwa viongozi Tanganyika kwa kofia ya muungano lakini mtanganyika kamwe hawezi kuvuka maji na kwenda kuwa kiongozi kule!

Muungano ni mzuri, kuungana kuna faida nyingi, USA ni muungano wa majimbo, UAE ni muungano wamajimbo pia.. Tunaziona faida za kuungana.. Lakini ni lazima uwe ni muunganiko wenye mizania sawa..
Suala la dpw litutoe sasa kwenye hii ganzi tuliyopigwa itutoke tuwe na mwanzo mpya sasa hasa kwenye huu muungano. Tungekuwa na utambulisho wetu wa Tanganyika ina maana tungekuwa na serikali yetu huru na hili suala la bandari lisingeamuliwa na serikali ya Muungano na kutufikisha hapa tulipofikia

Tuurejee mkataba wa muungano upya! Utambulisho wa Tanganyika uwepo ili tupate nguvu ya kuwa na serikali huru ya Tanganyika... Tukiliacha tena hili...TUTAHUKUMIWA NA WAKATI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swala la huu mkataba wa muungano ni siri nzito sana .
Ule udongo uliochanganywa nikikuuliza ulimwagwa wapi mimi na wewe hatujui,ila swala la dpw mkayaba wake na tanzania bara hauusu zanzibar wala huu mkataba haujui kitu kinaitwa zanzabar.
Kwa kifupi upande wa kwetu huku tushapigwa na kitu kizito kwenye uchogo
 
Swala la huu mkataba wa muungano ni siri nzito sana .
Ule udongo uliochanganywa nikikuuliza ulimwagwa wapi mimi na wewe hatujui,ila swala la dpw mkayaba wake na tanzania bara hauusu zanzibar wala huu mkataba haujui kitu kinaitwa zanzabar.
Kwa kifupi upande wa kwetu huku tushapigwa na kitu kizito kwenye uchogo
Hakuna lenye mwanzo linalokosa mwisho.. Nadhani huu ndio mwisho sasa

Huwa tunajadili mara kwa mara mambo yahusuyo muungano na yasiyo ya muungano! Wenzetu wana chombo chao linapokuja swala lisilo na muungano.. Sisi tunacho?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamhuri ya muungano wa Tanzania Serikali huru ya Tanganyika (hii iko wapi?)
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda kuna umuhimu mkubwa kuanza kuuhoji muungano huu. Kuna kitu kilikosewa ama kilisahauliwa kwa makusudi na kamwe hakijawahi kuhojiwa popote!

Kwanza lazima tukubaliane hakuna uhuru wa Tanzania bali kuna uhuru wa Tanganyika.. Maana tuliungana tayari Tanganyika ikiwa huru

Baada ya muungano/muunganiko wa mataifa haya mawili nchi huru ya Tanganyika na nchi huru ya Zanzibar kukazaliwa taifa liitwalo TANZANIA.. Kwa maana ya kwamba serikali ya Tanganyika na serikali ya Zanzibar zilikufa rasmi na kuundwa serikali moja ya Tanzania iko wapi hii?

Hili kosa kubwa na la wazi ndio linatusumbua mpaka leo hii
Baada ya muungano wa haya mataifa mawili, taifa la Zanzibar likabaki na utambulisho wake kama taifa, lakini taifa la Tanganyika likaukana utambulisho wake asilia

Kwa taifa la Zanzibar kubaki na utambulisho wake kama taifa kukawapa nguvu ya kuunda serikali yao inayojulikana kama Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Kwa kuukana utambulisho wake asilia kama taifa, serikali ya Tanganyika ikakosa nguvu ya kuunda serikali yake ambayo ingeitwa serikali huru ya Tanganyika

Kilichotokea ninini sasa badala ya kuwa na serikali huru ya Tanganyika kukawa na serikali ya jamhuri ya Tanzania ambayo kwayo ni sehemu ya muungano..
Serikali ndio chombo cha kiutawala kinachoendesha nchi

Zanzibar ana faida mbili tayari ndani ya muungano
1. Utambulisho wake upo
2. Ana serikali yake
Kwa hiyo linapokuja swala la kuamua mambo yake ya ndani kiutawala.. Zanzibar ina chombo chake huru cha kufanya hivyo. Na linapokuja swala la kuamua mambo ya muungano ipo serikali ya Jamhuri ya muungano

Hapo ndipo Tanganyika alipopigwa bao la kisigino kwenye huu muungano.. Ndio maana leo hii watu wa Zanzibar wanaweza kuvuka maji na kuja kuwa viongozi Tanganyika kwa kofia ya muungano lakini mtanganyika kamwe hawezi kuvuka maji na kwenda kuwa kiongozi kule!

Muungano ni mzuri, kuungana kuna faida nyingi, USA ni muungano wa majimbo, UAE ni muungano wamajimbo pia.. Tunaziona faida za kuungana.. Lakini ni lazima uwe ni muunganiko wenye mizania sawa..
Suala la dpw litutoe sasa kwenye hii ganzi tuliyopigwa itutoke tuwe na mwanzo mpya sasa hasa kwenye huu muungano. Tungekuwa na utambulisho wetu wa Tanganyika ina maana tungekuwa na serikali yetu huru na hili suala la bandari lisingeamuliwa na serikali ya Muungano na kutufikisha hapa tulipofikia

Tuurejee mkataba wa muungano upya! Utambulisho wa Tanganyika uwepo ili tupate nguvu ya kuwa na serikali huru ya Tanganyika... Tukiliacha tena hili...TUTAHUKUMIWA NA WAKATI

Sent using Jamii Forums mobile app
FaizaFoxy, johnthebaptist
 
Hakuna lenye mwanzo linalokosa mwisho.. Nadhani huu ndio mwisho sasa

Huwa tunajadili mara kwa mara mambo yahusuyo muungano na yasiyo ya muungano! Wenzetu wana chombo chao linapokuja swala lisilo na muungano.. Sisi tunacho?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unafuatilia angalia kinachotokea jana hapo niger hadi Rais amafurumushwa na wananchi kwa kushirikiana na jeshi lao na leo kiongozi wao kashauri jeshi za nchi za afrika kulinda rasilimali za nchi.
 
Jamhuri ya muungano wa Tanzania Serikali huru ya Tanganyika (hii iko wapi?)
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda kuna umuhimu mkubwa kuanza kuuhoji muungano huu. Kuna kitu kilikosewa ama kilisahauliwa kwa makusudi na kamwe hakijawahi kuhojiwa popote!

Kwanza lazima tukubaliane hakuna uhuru wa Tanzania bali kuna uhuru wa Tanganyika.. Maana tuliungana tayari Tanganyika ikiwa huru

Baada ya muungano/muunganiko wa mataifa haya mawili nchi huru ya Tanganyika na nchi huru ya Zanzibar kukazaliwa taifa liitwalo TANZANIA.. Kwa maana ya kwamba serikali ya Tanganyika na serikali ya Zanzibar zilikufa rasmi na kuundwa serikali moja ya Tanzania iko wapi hii?

Hili kosa kubwa na la wazi ndio linatusumbua mpaka leo hii
Baada ya muungano wa haya mataifa mawili, taifa la Zanzibar likabaki na utambulisho wake kama taifa, lakini taifa la Tanganyika likaukana utambulisho wake asilia

Kwa taifa la Zanzibar kubaki na utambulisho wake kama taifa kukawapa nguvu ya kuunda serikali yao inayojulikana kama Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Kwa kuukana utambulisho wake asilia kama taifa, serikali ya Tanganyika ikakosa nguvu ya kuunda serikali yake ambayo ingeitwa serikali huru ya Tanganyika

Kilichotokea ninini sasa badala ya kuwa na serikali huru ya Tanganyika kukawa na serikali ya jamhuri ya Tanzania ambayo kwayo ni sehemu ya muungano..
Serikali ndio chombo cha kiutawala kinachoendesha nchi

Zanzibar ana faida mbili tayari ndani ya muungano
1. Utambulisho wake upo
2. Ana serikali yake
Kwa hiyo linapokuja swala la kuamua mambo yake ya ndani kiutawala.. Zanzibar ina chombo chake huru cha kufanya hivyo. Na linapokuja swala la kuamua mambo ya muungano ipo serikali ya Jamhuri ya muungano

Hapo ndipo Tanganyika alipopigwa bao la kisigino kwenye huu muungano.. Ndio maana leo hii watu wa Zanzibar wanaweza kuvuka maji na kuja kuwa viongozi Tanganyika kwa kofia ya muungano lakini mtanganyika kamwe hawezi kuvuka maji na kwenda kuwa kiongozi kule!

Muungano ni mzuri, kuungana kuna faida nyingi, USA ni muungano wa majimbo, UAE ni muungano wamajimbo pia.. Tunaziona faida za kuungana.. Lakini ni lazima uwe ni muunganiko wenye mizania sawa..
Suala la dpw litutoe sasa kwenye hii ganzi tuliyopigwa itutoke tuwe na mwanzo mpya sasa hasa kwenye huu muungano. Tungekuwa na utambulisho wetu wa Tanganyika ina maana tungekuwa na serikali yetu huru na hili suala la bandari lisingeamuliwa na serikali ya Muungano na kutufikisha hapa tulipofikia

Tuurejee mkataba wa muungano upya! Utambulisho wa Tanganyika uwepo ili tupate nguvu ya kuwa na serikali huru ya Tanganyika... Tukiliacha tena hili...TUTAHUKUMIWA NA WAKATI

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kupoteza muda tu,na wewe kuwa mvivu wa kazi,ndio unalalamika.Kuna watu huu muungano wanautumia kifursa sana.Kuna watu wako Tanzania bara,wanalima mazao na kuyauza Zanzibar,kuanzia Michele,nafaka aina zote,viazi,nyanya,vitunguu aina maji,saumu,karoti,pilpili,hoho, karanga nk,malori kwa malori ya bidhaa yanasafirishwa kwenda huko,kwa kupitia vyombo vya baharini.
 
Kwakuwa ndipo tofauti ama ombwe linapoonekana kwa uwazi zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Nasi kama waislamu huwa tunaona ombwe la wazi sana pindi mtawala anapokuwa kutoka upande ule mwengine. Na kwa kuwa pia vitendo vya watawala wa ule upande wa pili huwa ni kukandamiza huu muungano lkn pia kukandamiza na uislamu basi kwa nyakati hii mnapaswa kuwa wa pole na ndio maana ya kupokezana vijiti.
 
Jamhuri ya muungano wa Tanzania Serikali huru ya Tanganyika (hii iko wapi?)
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda kuna umuhimu mkubwa kuanza kuuhoji muungano huu. Kuna kitu kilikosewa ama kilisahauliwa kwa makusudi na kamwe hakijawahi kuhojiwa popote!

Kwanza lazima tukubaliane hakuna uhuru wa Tanzania bali kuna uhuru wa Tanganyika.. Maana tuliungana tayari Tanganyika ikiwa huru

Baada ya muungano/muunganiko wa mataifa haya mawili nchi huru ya Tanganyika na nchi huru ya Zanzibar kukazaliwa taifa liitwalo TANZANIA.. Kwa maana ya kwamba serikali ya Tanganyika na serikali ya Zanzibar zilikufa rasmi na kuundwa serikali moja ya Tanzania iko wapi hii?

Hili kosa kubwa na la wazi ndio linatusumbua mpaka leo hii
Baada ya muungano wa haya mataifa mawili, taifa la Zanzibar likabaki na utambulisho wake kama taifa, lakini taifa la Tanganyika likaukana utambulisho wake asilia

Kwa taifa la Zanzibar kubaki na utambulisho wake kama taifa kukawapa nguvu ya kuunda serikali yao inayojulikana kama Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Kwa kuukana utambulisho wake asilia kama taifa, serikali ya Tanganyika ikakosa nguvu ya kuunda serikali yake ambayo ingeitwa serikali huru ya Tanganyika

Kilichotokea ninini sasa badala ya kuwa na serikali huru ya Tanganyika kukawa na serikali ya jamhuri ya Tanzania ambayo kwayo ni sehemu ya muungano..
Serikali ndio chombo cha kiutawala kinachoendesha nchi

Zanzibar ana faida mbili tayari ndani ya muungano
1. Utambulisho wake upo
2. Ana serikali yake
Kwa hiyo linapokuja swala la kuamua mambo yake ya ndani kiutawala.. Zanzibar ina chombo chake huru cha kufanya hivyo. Na linapokuja swala la kuamua mambo ya muungano ipo serikali ya Jamhuri ya muungano

Hapo ndipo Tanganyika alipopigwa bao la kisigino kwenye huu muungano.. Ndio maana leo hii watu wa Zanzibar wanaweza kuvuka maji na kuja kuwa viongozi Tanganyika kwa kofia ya muungano lakini mtanganyika kamwe hawezi kuvuka maji na kwenda kuwa kiongozi kule!

Muungano ni mzuri, kuungana kuna faida nyingi, USA ni muungano wa majimbo, UAE ni muungano wamajimbo pia.. Tunaziona faida za kuungana.. Lakini ni lazima uwe ni muunganiko wenye mizania sawa..
Suala la dpw litutoe sasa kwenye hii ganzi tuliyopigwa itutoke tuwe na mwanzo mpya sasa hasa kwenye huu muungano. Tungekuwa na utambulisho wetu wa Tanganyika ina maana tungekuwa na serikali yetu huru na hili suala la bandari lisingeamuliwa na serikali ya Muungano na kutufikisha hapa tulipofikia

Tuurejee mkataba wa muungano upya! Utambulisho wa Tanganyika uwepo ili tupate nguvu ya kuwa na serikali huru ya Tanganyika... Tukiliacha tena hili...TUTAHUKUMIWA NA WAKATI

Sent using Jamii Forums mobile app
Na siku ya 9 Desemba huwa wanasema siku ya Uhuru wa Tanzania Bara siyo Tanganyika, shangaa hapo sasa.
 
Ni kupoteza muda tu,na wewe kuwa mvivu wa kazi,ndio unalalamika.Kuna watu huu muungano wanautumia kifursa sana.Kuna watu wako Tanzania bara,wanalima mazao na kuysuza Zanzibar,kuanzia Michele,nafaka aina zote,viazi,nyanya,vitunguu aina maji,saumu,karoti,pilpili,hoho, karanga nk,malori kwa malori ya bidhaa yanasafirishwa kwenda huko,kwa kupitia vyombo vya baharini.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hii reply inaitwa mtazamo kimo cha mbilikimo ni wapi nimesema muunganiko ni mbaya ama uvunjwe!? Usikurupuke tulia soma kitu ukielewe kabla hujakimbilia kujibu! Una haraka gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasi kama waislamu huwa tunaona ombwe la wazi sana pindi mtawala anapokuwa kutoka upande ule mwengine. Na kwa kuwa pia vitendo vya watawala wa ule upande wa pili huwa ni kukandamiza huu muungano lkn pia kukandamiza na uislamu basi kwa nyakati hii mnapaswa kuwa wa pole na ndio maana ya kupokezana vijiti.
Mimi hakuna mahali nimetaja dini ama imani yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani Mshana yuko sahihi

TANU na ASP ziliungana 1977 ikazaliwa CCM

Baada ya hapo ndio Zanzibar ikaanza kuchachamaa kudai Mamlaka kamili, tunawakumbuka Akina Jumbe, Faki, Maalim Seif na sasa Othman Masoud

Jiulizeni, Mamlaka Kamili ni nini?

Watakapopata Mamlaka Kamili ndipo Mshana jr ataipata hiyo Tanganyika!
 
Kama unafuatilia angalia kinachotokea jana hapo niger hadi Rais amafurumushwa na wananchi kwa kushirikiana na jeshi lao na leo kiongozi wao kashauri jeshi za nchi za afrika kulinda rasilimali za nchi.
Watu wa kawaida ,wakulima na wafanyabiashara wananufaika na huu Muungano.Bidhaa kama Michele,maharage,kunde,mbaazi,uwele,ufuta,viazi,nyanya,machungwa,vitunguu maji,saumu,karoti,hoho,pilipili,tangawizi nk,malori kwa malori,yanapakia kwenye vyombo vya bahari na kupelekwa Zanzibar,nyinyi mwabakia kupiga kelele tu.Badala kujishughulisha,mkapata pesa,kwa kulima mashamba makubwa bado mwakalia uvivu tu.
 
Mimi hakuna mahali nimetaja dini ama imani yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mahali utahoji uhali wa muungano ama ukandamizwaji wa Zanzibar ama Tanganyika alafu ndani yake usitaje dini uwe uislamu au ukristo. Andiko lako ni kweli hujataja dini lakini ndani ya hoja yako mtazamo utakaopatikana ni wa dini hizi mbili.

Na habari ya muungano wa Tanganyika na zanzibar base yake ndio iko hapo. Utamkumbuka Lukuvi na hofu aliyobainisha nyakati za nyuma.
 
Yote haya ni nyerere na ccm iliyokuwepo hapa
IMG_0099.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom