johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,114
Ni Muungano mkamilifu kwa sababu TANU ilitoa kila ilichomiliki kadhalika ASP wakatoa kila walichomiliki wakaingiza Kwenye kapu moja na wakawa kitu kimoja tena Wamoja wanaoishi kwa Umoja ambao ni Chama Cha Mapinduzi CCM
Ndio sababu CCM ni Imara Tanganyika na Zanzibar Tofauti na Vyama vingine vyote vya Siasa
Jumaa kareem!
Ndio sababu CCM ni Imara Tanganyika na Zanzibar Tofauti na Vyama vingine vyote vya Siasa
Jumaa kareem!