Ipi simu nzuri ya OPPO

Ahsante mkuu
 
Kenya around 380,000 kwa 64GB, hapa Tz sijajua Tigo kama wamei restock, maana walikuwa na Version ya 128GB 6GB ram tu. Unaweza pitia Tigoshop yoyote kuulizia.
Redm note 11 (4/64)
Naambiwa bei yake 490k, vp ni kawaid kwa hyo bei au ipo juu kdg
 
Ni kweli kabisa..chaja za S22 ultra zinagonga mpk 150k
Hata Oneplus Latest warp charger ni $35 huko kwao, Madukani hapa ni 150k, na Haikubali fast charging ya kampuni nyengine tofauti na za BBK.
 
Oppo A72 my dream phone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…