Ipi simu nzuri ya OPPO

Mjomba una madini sana aiseee.... Appreciate comment
🤏
 
yaani mimi nashangaa sana karibu flagships zote za lg zina sd card slot ila hzi kampuni nyingine ni ngumu sana kukuta hilo.
 
yaani mimi nashangaa sana karibu flagships zote za lg zina sd card slot ila hzi kampuni nyingine ni ngumu sana kukuta hilo.
Hata Sony Mkuu zina sd card, sema bei zake zinahitaji mtu anaejiweza kidogo.

Na Asus pia wana model za Sd card
 
Ninabudget ya 400k
Nichukue simu gani??
vipaumbele
Performance
Kukaa na charge
Kioo kiwe kizuri.
Kwa matumizi ya kawaida.

CHIEF:
 
Sijawahi ona oppo ambayo haikai na charge mkuu😂 ipi hio ambayo ulinunua ikawa haimalizi siku bila kuchaji na je ilikuwa brand new?
 
Bajeti ingekua nzuri ungedaka series ya inaitwa Reno sa hv wako kwenye Reno 7 na Reno 7 pro, flagship yao ya X series ni expensive sana na sijawahi kuiona bongo!

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Wabongo sijui kwanini X series hatuna. Ila Reno zimetulia na very slim hazina hata uzito
 
Nikiangiza kenya iko sawa ni Ile iliyoko Tigo shop hapa tz.
Kenya nmeiona ina ram 4 na 64gb kwa bei hii.
Model za kenya ni International version kama za Huku. Pia Redmi 11 ni hio unless imekuwa specified vyengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…