natanguliza shukrani
wengine husema kwamba ikifika 100% una unplug power the unatumia mpaka ikiisha ndo unacharge tena,pia nilimuona jamaa flan yeye akisha charge anatoa bettr ktk computer na kisha anatumia direct,wengine hata kama betr ikijaa yeye anaendelea kuicha ikiwa inajicharge huku anaendelea kutumia......nikitaka betr yangu iwe na maisha marefu kidogo....nitumie njia gani?
wengine husema kwamba ikifika 100% una unplug power the unatumia mpaka ikiisha ndo unacharge tena,pia nilimuona jamaa flan yeye akisha charge anatoa bettr ktk computer na kisha anatumia direct,wengine hata kama betr ikijaa yeye anaendelea kuicha ikiwa inajicharge huku anaendelea kutumia......nikitaka betr yangu iwe na maisha marefu kidogo....nitumie njia gani?