Ile thread ya Invisible juu ya Shimbo kuweka shs trillion 3 Afrika Kusini. Iliniuma sana baada ya kugundua kuwa ni uzushi na unafiki mkubwa. Hakuna cha trillion 3 wala nini.
Hii hapa uliyoandika wewe! Siredi ndiyo kitu gani!
Thread ile ya watoto ambao wapo abused (kulawitiwa),
Thread ya habari ya Gaddaffi ilokua inaonesha picha
walivoomuingiza chuma sehemu za siri,NA Thread ilonizushia kifo....
(Sikuiona BUT ile tu habari ilini BOA na KUNIUMIZA!
Hata mimi sikuziona hizo threads, thanks God...Thread ile ya watoto ambao wapo abused (kulawitiwa),
Thread ya habari ya Gaddaffi ilokua inaonesha picha
walivoomuingiza chuma sehemu za siri,NA Thread ilonizushia kifo....
(Sikuiona BUT ile tu habari ilini BOA na KUNIUMIZA!
Ile thread ya Invisible juu ya Shimbo kuweka shs trillion 3 Afrika Kusini. Iliniuma sana baada ya kugundua kuwa ni uzushi na unafiki mkubwa. Hakuna cha trillion 3 wala nini.
Mbona hizo thread zote ulianzisha wewe mwenyewe sasa inakuwaje tena zitokee kukuboa. Au wewe mwenzetu neno kuboa unalitafsirije?
Hata mimi sikuziona hizo threads, thanks God...